mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mtupende basi na sisiWasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizo
😂😂😂
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtupende basi na sisiWasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizo
Okay okay okay...Dogo najua huna wivu wewe...hasa kwa braza wako! We elewa hivyo tu!!
Eeeh mkuu! Tuzidi kuwapenda!!Okay okay okay...
Mambo ya valentine haya...safi sana
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 Wee ni Phaller ujue!!😂😂😂😂😂
Kutoa mfano hai ni dhambi my beloved darling mahondaw ?🤣🤣🤣🤣🤣 Wee ni Phaller ujue!!😂😂😂😂😂
Yes anamiliki garageKumbe "he's a garage man", safi sana!
Duuh basi imetosha mkuu, tushaelewa
Umesahau ulivyonifundisha katereroNani beloved wako??? Shindwaaaaa
Hadi sister ka-edit username yake ujue si kitu kidogo mkuu, yaan hapo sista kafa kaoza kabisaa kwa jamaa yaanOkay okay okay...
Mambo ya valentine haya...safi sana
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
😂😂😂Duuh basi imetosha mkuu, tushaelewa
Kila la kheri[emoji122][emoji122]
Hahaha, mkuu acha kunichekesha!😂😂Hadi sister ka-edit username yake ujue si kitu kidogo mkuu, yaan hapo sista kafa kaoza kabisaa kwa jamaa yaan
Mtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Ohhhh....Acha wivu mzee baba wewe umefanyiwa nini na mke wako au mpenzi wako?