[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alaf nilitaka nikuwish sema id inanichanganya saana.
Happy valentine my shem darin Espy Eroni
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Lazima aafanye hivyoo..kwenda kuoa na kuzaa na mtu mwenye naniliu lazima uamin kama anakupenda tu..huon nandy anavyojitoa kwa nenga..Maisha ya sinema yalisha mgharimu sana Zamaradi, lakini naona haiishi kukoma bado...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi mkuu. Mimi naogopa sana mapenzi maana unaweza ukafariki kwa mtu ambae huko nje wakikuona wanashangaa ni nini kinakutia kichaa. Bwana Shaban kwa macho ya sisi watazamaji ni mtu wa kawaida tu. Sidhani kama hata kifedha anamfikia Zama ila ndo kashapendwaNikimcheki Jamaa namuona wa Kawaida Sana Kulinganisha na huyo Zamaradi. Tena Jina la Shabani ni kama Mwamedi. Anyway Bro unabahati sana
My kaka habari za siku nyingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me ndo imenichanganya zaidi ujue, mpaka nimeshindwa hata kumpa like
Imekuaje kwan mkuu, hebu muulize vizuri chemba
Kwahiyo nyie mkifanyiwa ni kawaida ila akifanyiwa Shaban mnaona Zama anabembeleza penzi?Lazima aafanye hivyoo..kwenda kuoa na kuzaa na mtu mwenye naniliu lazima uamin kama anakupenda tu..huon nandy anavyojitoa kwa nenga..
Pacha happy valentine.Yes anamiliki garage
Demu haamin mwana kampenda na hali yake hyohyo ya ki afya..dunia ina mambo meng hii..tehtehte...my badDaah aise jamaa kaula.. saivi atazichakata mpaka achoke. Maana wanawake watamiminika kwake kutaka kujua ni kipi hasa alicho nacho mpaka apendwe kiasi hicho..! [emoji1]
Nikimcheki Jamaa namuona wa Kawaida Sana Kulinganisha na huyo Zamaradi. Tena Jina la Shabani ni kama Mwamedi. Anyway Bro unabahati sana
Kwenda kuoa single mama mwenye situation ya ki afya..lazima ajue unampenda sana..huon nandy anavyomganda nenga...Wasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaka hadi wewe unanisengenya[emoji2297][emoji85][emoji85]Hadi sister ka-edit username yake ujue si kitu kidogo mkuu, yaan hapo sista kafa kaoza kabisaa kwa jamaa yaan
Yaan hata ningekua mim..dada ajue nna ngwengwe na nna watoto mkewangu alidanja kwa ngwengwe...huyo dada lazima ntamfanyia makubwa snaaKwahiyo nyie mkifanyiwa ni kawaida ila akifanyiwa Shaban mnaona Zama anabembeleza penzi?
Mlimpima jamani au ndo ule UKIMWI wenu wa kupimana kwa macho?Kwenda kuoa single mama mwenye situation ya ki afya..lazima ajue unampenda sana..huon nandy anavyomganda nenga...
Hawa viumbe jamani!! Wakipendwa taabu, tukiwaigizia napo taabu. Sijui wanataka nini walahi[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Kwahiyo nyie mkifanyiwa ni kawaida ila akifanyiwa Shaban mnaona Zama anabembeleza penzi?
Sema hujapata wa kukufanyia mambo ya ngwengwe mnasema nyiee madokta wa mtaani. Msimseme mtu hali yake ya afya wakati hujampima na huna majibu yake. Sana sana mnakua mnamuonea wivu jamaa kupendwa. Maana Zama akitaka bwana wa maana zaidi anampata vizuri tu ila ndo kampenda fundi garage wake.Yaan hata ningekua mim..dada ajue nna ngwengwe na nna watoto mkewangu alidanja kwa ngwengwe...huyo dada lazima ntamfanyia makubwa snaa
Akitoka zamaradi anafuata huyu shemej Espy EroniHadi sister ka-edit username yake ujue si kitu kidogo mkuu, yaan hapo sista kafa kaoza kabisaa kwa jamaa yaan
Wadada mnakuaga wagum sana kuamin mambo..unaambiwa kabisa yule bwana ana ngoma achana nae husikii..mwisho wa siku unayavagaa unalaumu..aisee...mim huyo dada namjua kuliko unavyodhan..niishie hapa..na huyo jasiri muongoza way..nishafanya nae had kazi fulan fulan..so nawajua fika..na the whole industry ya entertainment inajua ...wako kimya tu..ni wewe tu dada angu ndo hujui...au useme kama unataka umbea(in warumis voice...RIP).. sawa..hahahaSema hujapata wa kukufanyia mambo ya ngwengwe mnasema nyiee madokta wa mtaani. Msimseme mtu hali yake ya afya wakati hujampima na huna majibu yake. Sana sana mnakua mnamuonea wivu jamaa kupendwa. Maana Zama akitaka bwana wa maana zaidi anampata vizuri tu ila ndo kampenda fundi garage wake.
Jikazeni kina kaka na nyie mtakuja mpate kina Zama
Hata kama anazoanazo lakini kuna vitu vingi tunaangalia.Uschukulie powa! Wanasema ni ndugu na KASSIM
Maisha ya sinema yalisha mgharimu sana Zamaradi, lakini naona haiishi kukoma bado...
Sent using Jamii Forums mobile app