Hawajui kuwa unaweza ukawa na baba proffessor na chuo usikanyage kabisa😅Bro una hoja za kizamani sana. Zamani ndio tulikuwa tunasema " Usimuone yule jamaa Simple tu, yule wana undugu na Mkuu wa Mkoa". Mjomba wake ni Balozi Ulaya huko.
Sawa mama huna mdogo mtu hapo anisitiriHaya ufanye kusimamia vizuri uitwe baba na wewe umri unaenda.
Na yule mrembo ulimpost?Sawa mama huna mdogo mtu hapo anisitiri
Dah basi sio swala ntakuwepo kuwepo hadi uki divorce au kuwa mjane tutaanzia hapo😅Na yule mrembo ulimpost?
Bahat mbaya au nzuri sina mdogo wala mkubwa. Niko peke yangu
Mfyuuuuu. Haya endelea kusubiria meli mji mkuu au litiDah basi sio swala ntakuwepo kuwepo hadi uki divorce au kuwa mjane tutaanzia hapo[emoji28]
Umeamua kunitusi kabisa jamani tatizo mi naogopa kuiba 😅Mfyuuuuu. Haya endelea kusubiria meli mji mkuu au liti
Kuna watoto wanajua kuonesha mapenzi mzee akisema anakuacha lazma uchachawe vibaya mno!Sasa naelewa kwann marehemu Rugemalila Mutahaba alikuwa akilia kama mtoto alipokuwa akimbembeleza huyu bibie asimuache. Pengine ana mapenzi ya ukweli sana.
Wapi huyo ni mtoto wa kiswazi namkumbuka kipindi ndo kanaingia kwenye utangazaji miaka ya 2005-2007 anatangaza kipindi cha mziki kituo cha C2C... Ni mtoto wa kiswazi tuSio tu kukojoza, tenderness, mshiko na ubunifu ndio silaha za maangamizi!
Viji uzungu uzungu kwa mtoto kama Zamaradi ndio komeshea yani!
Sawa ni mtoto wa kitaa ila ana passion na uzunguWapi huyo ni mtoto wa kiswazi namkumbuka kipindi ndo kanaingia kwenye utangazaji miaka ya 2005-2007 anatangaza kipindi cha mziki kituo cha C2C... Ni mtoto wa kiswazi tu
Na nandy nae si kapita na jasiri muonesha njia? Hii imekaaje wadauHalafu si nasikia ana “Banyamulenge” huyo manzi!
Anabugia ile dozi ya saa 2 usiku...
Huenda wote wamekubali kuishi kwa matumaini na upendo!
Show offs tu hakuna kituSawa ni mtoto wa kitaa ila ana passion na uzungu
Atakuwa aliunasaNa nandy nae si kapita na jasiri muonesha njia? Hii imekaaje wadau
Inakuwa Pretty thing pale ambapo kuna millions za kufanyia upuuzi wowote unaojiskia kwa mpenzi wako.
Njaa ingekuwepo mwamba angepokea boxer na vest tu kama kawaida ya wanawake wengi[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahio sahizi mumeamua kuwa mwili mmoja sasa mpaka kwenye ID[emoji23] mi sijapenda ERoni mumeamua kuwekeana mabango Jeiefu [emoji23] Espy Eroni
So Ruge na Status yake yote and he was pedestalizing this woman? Kweli Beta is the mindset.Sasa naelewa kwann marehemu Rugemalila Mutahaba alikuwa akilia kama mtoto alipokuwa akimbembeleza huyu bibie asimuache. Pengine ana mapenzi ya ukweli sana.
Kama umebadilika kweli nimefurahi maana ile ilikuwa ni pepo mchafu! Naona jini katoka sasa mwache braza ERoni ale mema ya nchi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We si huwa unatusisitiza tuwe na mapenzi ya dhati, ndio tumeanza hivi.
Kwani hatuwapi?Wee tupe mbususu kwa style zote mambo ya pda sio mambo yetu wabongo, hayo kafanye na wazungu.
Unampenda mtu mpaka watu wanahisi una uchizi maana hawaoni maajabu ila ule upofu sasa unaweza ukamuona bambo kama chris brown[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama umebadilika kweli nimefurahi maana ile ilikuwa ni pepo mchafu! Naona jini katoka sasa mwache braza ERoni ale mema ya nchi