Ni wakawaida kwa maana ipi? Ebu fafanuaNikimcheki Jamaa namuona wa Kawaida Sana Kulinganisha na huyo Zamaradi. Tena Jina la Shabani ni kama Mwamedi. Anyway Bro unabahati sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wakawaida kwa maana ipi? Ebu fafanuaNikimcheki Jamaa namuona wa Kawaida Sana Kulinganisha na huyo Zamaradi. Tena Jina la Shabani ni kama Mwamedi. Anyway Bro unabahati sana
Usifikiri mambo ni rahisi hivyo rafiki yangu, kuwa na ndugu mwenye wadhifa au utajiri kuwa ndio kila kitu.Uschukulie powa! Wanasema ni ndugu na KASSIM
Waiting akikujibu niite tafadhaliNi wakawaida kwa maana ipi? Ebu fafanua
Mzigua90 Kuna vitu Unaweza kukuta huyo jamaa anavifanya kwa Zamaradi vinavyofanya Zamaradi azidi kumpenda jamaa Mfano mzuri Mimi kusema ukweli binafsi ni wakawaida sana na wala Sina fedha lakini wanawake niliobahatika kuingia nao kwenye mahusiano kipindi tofauti tofauti wananipenda ile mbaya mpaka najishangaa wengine Wananiona ni handsome lakini binafsi nikijicheki najiona wakaiwaida hata Wanaume wenzengu Wananiona kama navyojiona Mimi lakini nikaja kugundua personality ya upole, hekima, busara niliyonayo na maneno ya kimahaba ninayowaonesha ndio vinawa zinawavutia kingine na kikubwa zaidi ambacho wanawake wengi hawaongei ni kwenye sita kwa sita na mimi kwenye Hili eneo nipo vizuri Sana asilimia kubwa nawaridhisha ndio maana wananikubali.So huyo jamaa anaweza akawa na silaha ambazo kwa jicho la mtazamaji haoni lakini mwenye mali yake ndio anaona vizuriMapenzi mkuu. Mimi naogopa sana mapenzi maana unaweza ukafariki kwa mtu ambae huko nje wakikuona wanashangaa ni nini kinakutia kichaa. Bwana Shaban kwa macho ya sisi watazamaji ni mtu wa kawaida tu. Sidhani kama hata kifedha anamfikia Zama ila ndo kashapendwa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nacheka km mazuri, poleWangu sijui hata kama anajua kile ki imoji cha moyo kiko sehemu gani...
Lipia tangazo HARAKAMzigua90 Kuna vitu Unaweza kukuta huyo jamaa anavifanya kwa Zamaradi vinavyofanya Zamaradi azidi kumpenda jamaa Mfano mzuri Mimi kusema ukweli binafsi ni wakawaida sana na wala Sina fedha lakini wanawake niliobahatika kuingia nao kwenye mahusiano kipindi tofauti tofauti wananipenda ile mbaya mpaka najishangaa wengine Wananiona ni handsome lakini binafsi nikijicheki najiona wakaiwaida hata Wanaume wenzengu Wananiona kama navyojiona Mimi lakini nikaja kugundua personality ya upole, hekima, busara niliyonayo na maneno ya kimahaba ninayowaonesha ndio vinawa zinawavutia kingine na kikubwa zaidi ambacho wanawake wengi hawaongei ni kwenye sita kwa sita na mimi kwenye Hili eneo nipo vizuri Sana asilimia kubwa nawaridhisha ndio maana wananikubali.So huyo jamaa anaweza akawa na silaha ambazo kwa jicho la mtazamaji haoni lakini mwenye mali yake ndio anaona vizuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wa jf baadhi tuna makasirikio sana single mother hana haki ya kupendwa?!!!au dhambi!poleni sana!
Mnateseka na mapenzi ya Zamaradi ya kwenu hovyooo!!
Hakuna njia isiyo na kona...muacheni aiishi Leo zama wa watu!
Single mama wakati ana ndoa halali kabisaa inatambulika mpk kwa Mungu!endeleeni kuteseka na vichefuchefu wenu wanaowapa stress....mda wote mnaona mapenzi machungu
Ukihisi umeumia na Zamaradi alichokifanya jua wewe unachembechembe za kichawi na ukizerrka utakua mwanga!
Muacheni Dada wa watu hajaomba mumchangie pesa ya tangazo na Mungu amlinde Zamaradi na kizazi chake na hasadi zenu wajaa!
Wangefanya wazungu mngesifia[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]wanaafiki
We mbona hujamfungulia[emoji1787][emoji1787]Wa kwangu yupo humu humu yaani kashindwa hata kunifungulia uzi sijui anajiamini nini huyu bibie!
Fanya haraka mkweee...[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]love in the air Zama kajua kutupiga na kitu kizito kichwaani...Kesho itajihangaikia. Mkweo nataka nikampost pale Salender panapokuaga na kideo.
Mnooo!ni wivu unawasumbua kabisaa...chuki tuWanaume wenzangu wengine Wana wivu kwasababu hawafanyiwi na wapenzi wao ndio maana wanaponda
😂😂😂😂😂mpenzi wangu atanisamehe kwa Hilo..... siweziiKwakweli mimi siwezi ukute huyo bwana leo yupo busy na kumtumia mchepuko tu sms.😂😂
Fact kumuonesha Umpendaye jinsi gani unampenda na kwa namna gani unamjali si dhambiWatu wa jf baadhi tuna makasirikio sana single mother hana haki ya kupendwa?!!!au dhambi!poleni sana!
Mnateseka na mapenzi ya Zamaradi ya kwenu hovyooo!!
Hakuna njia isiyo na kona...muacheni aiishi Leo zama wa watu!
Single mama wakati ana ndoa halali kabisaa inatambulika mpk kwa Mungu!endeleeni kuteseka na vichefuchefu wenu wanaowapa stress....mda wote mnaona mapenzi machungu
Ukihisi umeumia na Zamaradi alichokifanya jua wewe unachembechembe za kichawi na ukizerrka utakua mwanga!
Muacheni Dada wa watu hajaomba mumchangie pesa ya tangazo na Mungu amlinde Zamaradi na kizazi chake na hasadi zenu wajaa!
Wangefanya wazungu mngesifia[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]wanaafiki