Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
NdiooooKumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba. Hivi unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiooooKumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba. Hivi unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh.
Sasa kwa maneno yale unataka sema we una lengo gan nje ya kutega nyavu hapo hahahahha....Umeenda mbali Sana mzee baba si kila mwanaume anapigo kama hizo jitahidi kuheshimu Maoni ya mtu
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]kabisa kabisaaYani mpende mtu mpaka ukimwambia nakupenda anajibu najua mama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninayo taarifa kamili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mpende mtu mpaka ukimwambia nakupenda anajibu najua mama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hatuna nyota cc turudi home tukatambike.[emoji1787][emoji1787]zama Bwana..
Dulla makabila nae akaona isiwe shida kachora tattoo ya uso wa mkewe..jinamizi wangu sijui anakwama wapi aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787]zama Bwana..
Dulla makabila nae akaona isiwe shida kachora tattoo ya uso wa mkewe..jinamizi wangu sijui anakwama wapi aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Stress mkuuMuda mwingine waja tunaweza hisi labda dada amemfanyia kosa kubwa kaka anajikosha au anataka awakomeshe wanaonyemelea au waliokwisha kula asali yake [emoji28][emoji28]
Inakuwa Pretty thing pale ambapo kuna millions za kufanyia upuuzi wowote unaojiskia kwa mpenzi wako.Love is a beautiful thing....ukipenda na ukapendwa raha sana!!!!
Happy Valentine's Day ❤️
Hahahhaha kama hujawahi pendwa haswa huwezi elewa inakuaje mtu analipia bango kama hivyo😅Wasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizo
😅😅😅😅😅😅 its so strange unayempenda kichizi wala hawazi kufanya mambo ya aina hio!Hapo kuna watu wanatamani wangependwa hivyo na watu wanaowapenda ila ndo vileee.
Zama katisha sana. Ukimpenda mtu unamfanyia tu linakokufurahisha
Hahahahahahahah we ulifikiri Zamaradi ni bwege amkimbie Ruge aangukie kwa Boda boda!?siri imefichuka wakuu...bwana Shaabani mme wa zamaridi ni mpwa wake na waziri mkuu kassim majariwa, kwa hiyo zamaridi anaendelea kuchonga mizinga ili kupata asali ya kutosha......." ukitembea na muuza pafyumu na wewe utanukia tu.
Ile ni elastic hata uzae wangapi inarudi kwenye hali ya kawaida. Halafu zama watoto wake anazaaga kwa operationIla huyu demu zamaradi ruge alimfaidi coz alikuwa ana chuchu nzuri kinoma niliiona picha yake ya kitambo chuchu zimesimaa balaa tamu kinomaa yaani kitu kimenyooka kinoma, ruge akanipigia watoto wawili, huyu wa sasa inabidi abembelezwe tu coz mashine iliisha tepeta watoto wawili??mi mwanamke tu akiwa na mtoto mmoja tu najiulizauliza coz mwanamke aliyezaa huwa sipendagi kiivyo, so mjomba huyu inabidi abembelezwe coz akimuacha tu huyo zamaradi hatoolewa
Sio tu kukojoza, tenderness, mshiko na ubunifu ndio silaha za maangamizi!Vijana hakikisheni mnatafuta pesa na pia mnasimamia ukucha katika kuwakojoza hawa viumbe....mwanamke kama humkojozi hawezi kupagawa na wewe kiasi hicho.
Hahahahah jiongopee eti ni Elastic😅 nilitafuna singo maza moja nikasema yeleuwiii kama mambo ndio haya huyo mke wangu Mungu awe upande wake tu!Ile ni elastic hata uzae wangapi inarudi kwenye hali ya kawaida. Halafu zama watoto wake anazaaga kwa operation