Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Twende taratibu jamani, mbona yanazungumzika haya jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeeeh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende taratibu jamani, mbona yanazungumzika haya jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeeeh!
Angalau nimeonyesha efforts jamani![]()
![]()
![]()
Vihela vikipatikana nitafanya mengine zaidi
Ghafla umekuwa wife materialAngalau nimeonyesha efforts jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vihela vikipatikana nitafanya mengine zaidi.
Huwez kuja kuwaelewa wanawake mkuu...
Na kama umeanza kujua sababu ya wanawake kupenda bas unakaribia kufa..
Yule kaka nilimpendaga vile alikuwa na akili nyingi sana, Mungu amuweke salama huko alikoSasa naelewa kwann marehemu Rugemalila Mutahaba alikuwa akilia kama mtoto alipokuwa akimbembeleza huyu bibie asimuache. Pengine ana mapenzi ya ukweli sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ghafla umekuwa wife material
Vijana hakikisheni mnatafuta pesa na pia mnasimamia ukucha katika kuwakojoza hawa viumbe....mwanamke kama humkojozi hawezi kupagawa na wewe kiasi hicho.
Sanaaaa...Kupendwa ni raha sana
Hata wangu niliweka bango lake hukuu kitaan but naona wahuni walipita nalo[emoji849][emoji849][emoji849]
Yaan sielewi kinachoendelea dada yangu, hebu nambie ukweli kama huyu Eroni ndo semeki yangu nimpe heshima anayostahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaka hadi wewe unanisengenya[emoji2297][emoji85][emoji85]
Kaka hilo ni swali kweli? Huyu si ndio yule shemeji yako ambae nimeshindwa kumuacha, maana kila nikimuacha najikuta nimemrudia. Sasa imebidi niache kiranga nitulie nae tu.Yaan sielewi kinachoendelea dada yangu, hebu nambie ukweli kama huyu Eroni ndo semeki yangu nimpe heshima anayostahili
Kabisa yaan, naona ndo anakoelekea huyu sista, make si kwa kudata hivi
Ooh hapo sasa nimekuelewa barabara, hapo kwa kweli kamatia kabisa kabisa.Kaka hilo ni swali kweli? Huyu si ndio yule shemeji yako ambae nimeshindwa kumuacha, maana kila nikimuacha najikuta nimemrudia. Sasa imebidi niache kiranga nitulie nae tu.
@ERoni kuna ujumbe wako huku love.Ooh hapo sasa nimekuelewa barabara, hapo kwa kweli kamatia kabisa kabisa.
Basi mwambie shemeji tumempokea kwa mikono 2
Nimerudi tena kukwoti dadaKaka hilo ni swali kweli? Huyu si ndio yule shemeji yako ambae nimeshindwa kumuacha, maana kila nikimuacha najikuta nimemrudia. Sasa imebidi niache kiranga nitulie nae tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] habari anazo kabisa.