Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Mapenzi mkuu. Mimi naogopa sana mapenzi maana unaweza ukafariki kwa mtu ambae huko nje wakikuona wanashangaa ni nini kinakutia kichaa. Bwana Shaban kwa macho ya sisi watazamaji ni mtu wa kawaida tu. Sidhani kama hata kifedha anamfikia Zama ila ndo kashapendwa

Zamaradi ana pesa gani? Kwa mishe gani unayoijua?

Huyo Shabanii unamfahamu?

Kwa ufupi sana: Shabanii ni kijana wa familia ya Kasimu (Prime Minister), na ana mke mwingine.

Hilo tu litoshe kukuamsha kuwa Zamaradi yuko pale kimchongo tu, na anatumia nguvu nyingi mno kujishikiza…. pia kujitekenya na stress alizopigwa na Nandy kwa Ruge.

Sasa nyie mnaomwona Shabanii wa kawaida sijui mnazingatia sura au umaarufu, mwenzenu anapigania royal fame ya familia.

The less you know the better.
 
Zamaradi ana pesa gani? Kwa mishe gani unayoijua?

Huyo Shabanii unamfahamu?

Kwa ufupi sana: Shabanii ni kijana wa familia ya Kasimu (Prime Minister), na ana mke mwingine.

Hilo tu litoshe kukuamsha kuwa Zamaradi yuko pale kimchongo tu, na anatumia nguvu nyingi mno kujishikiza…. pia kujitekenya na stress alizopigwa na Nandy kwa Ruge.

Sasa nyie mnaomwona wa kawaida sijui mnazingatia sura au umaarufu, mwenzenu anapigania royal fame ya familia.

The less you know the better.
Sawa
 
Zamaradi ana pesa gani? Kwa mishe gani unayoijua?

Huyo Shabanii unamfahamu?

Kwa ufupi sana: Shabanii ni kijana wa familia ya Kasimu (Prime Minister), na ana mke mwingine.

Hilo tu litoshe kukuamsha kuwa Zamaradi yuko pale kimchongo tu, na anatumia nguvu nyingi mno kujishikiza…. pia kujitekenya na stress alizopigwa na Nandy kwa Ruge.

Sasa nyie mnaomwona wa kawaida sijui mnazingatia sura au umaarufu, mwenzenu anapigania royal fame ya familia.

The less you know the better.
Uko sahii San mkuu Ni stress hzo siyo mapenz single maza
 
M
Ninavyoisoma picha:-
1. Bwana is hostile and very passive.
2. Mioyo yao haina connections hata kidogo.
3. Hiyo ndoa mama ndiye anaithamini zaidi, huku upande wa pili ukiwa full irresponsible.
4. Hiyo sura ya mshangao kwa baba ni drama . Moyo wake wala hauko hapo.
5. Analazimisha kuonyesha furaha lakini kiuhalisia wala hana mpango na anaonekana hajali wala hakutaka hii itokee.
6. Kwa namna wanavyoishi na watu wao wa karibu wanavyowafahamu, bwana anaona kama embarassment.
7. Analia kwa kushindwa kubeba deni analopewa na mama, kwa sababu anajua hawezi kubadilika na kufanya anachotaka mama.
8. Mjukuu wangu wa kiume haonyeshi huba, lolote kwa mke wake. Ama hayuko romantic na kwamba anaonekana ni mtu wa kuwa provoked na mke wake ili angalau achangamke.
9. Mwanamme anaonekana kuwa na majuto makubwa sana ndani ya huo uhusiano.
10. Mama anajua yote niliyoyasema na zaidi ya haya. Mengine siwezi kuyaandika mtandaoni kwa heshima ya ubinadamu wa wahusika.
11. Mama anajua ana upinzani mkali sana katika hayo mahusiano, lakini ameamua kuyalinda kwa uvumilivu na gharama kubwa ili kuepusha madhara kujirudia.
12. Mama anatunza mahusiano kwa kulinda hadhi yake katika jamii na familia yake.
13. Anajua anapita katika vipindi vigumu sana katka mahusiano yale lakini ameamua kujitoa dhabihu kwa hehsima yake na ama watoto au watu wanaomtegemea.
14. Mama kisaikolojia anajitegemea wala hategemei chochote kikubwa kutoka kwa huyo jamaa ambaye moyo wake uko mbali, isipokuwa jina ili kuepuka aibu.
15. Hiyo picha hajapeleka ili kuonyesha namna gani anampenda mme, wake bali ni kuwathibitishia wapinzani wake kwamba yeye zaidi, na kutaka kumrejesha moyo wa mmewe kwa kudhani kwamba pengine kwa tukio hilo, ataona mama anajali na huenda atarejesha moyo na kuplay nafasi yake.
16. Mwanamme anaonekana anadeka lakini pia hana hakika na uaminifu wa mke wake.
17. Mama anajitahidi kuonyesha weupe wa moyo ili kumfanya bwana yule kuona kwamba tuhuma anazotumia kujustify umbali wake katika mahusiano si za kweli.
18. Mama ana IQ kubwa kubwa but lonely, wakati baba ana IQ ya chini na ndiyo sababu anaonekana kuishi kwa kufuata upepo wa mitazamo ya watu wengine, bila juhudi zake za kuelewa na kupima kwa usahihih kabla ya kuamua. Actually anaamuliwa na yeye anapata amani ya kutii maamuzi ya watu wa nje over his wife.

Ninaona mengi sana katika picha ile hadi naanza kupata hasira, acha niishie hapa.
Lakini hii siyo tangazo la furaha katika mahusiano wala tangazo la upendo, bali ni sauti ya mwanamke, baada ya kulia sana katika utumwa wa mapenzi, kujitoa na kufanya mengi makubwa kwa kujipendekeza ili akubalike, bila mafanikio, sasa anakata rufaa kwenye mahakama iitwayo dunia. Dunia ione, dunia iwe shahidi, dunia isuluhishe, dunia ifurahi, dunia icheke, dunia ijifunze, iamue na kwa lolote litakaloendelea, baada ya hapa, "mama kanawa", ingawa kwa huzuni kubwa.

Wanawake acheni kuolewa na wanaume wasioonyesha kuwapenda, haijalishi umepitia mahusiano mangapi, haijalishi watu watakuonaje, lakini afadhali kuchelewa na kupata mme atakayekupenda na kujali upendo wako, kuliko kuwa mtumwa wa mapenzi na mwanamme asiyejali thamani yako. Matokeo yake ndiyo haya.

BANGO LIKO KWENYE PUBLIC DOMAIN, NA NDIYO NGUVU YANGU YA KUANDIKA NILIYOYAONA KWENYE PICHA ILE.
Mi nilifikiri ki watu wa karibu unawafahamu maana umechambua haswa
Usifikiri mambo ni rahisi hivyo rafiki yangu, kuwa na ndugu mwenye wadhifa au utajiri kuwa ndio

Huyo jamaa ni mpwa wa Waziri mkuu usimkadirie boss
Hawana undugu alikuwa mfanyakazi wa nyumbani kwa mwimishiwa na kuangalia miradi kule namungo
 
Mbna marehemu hakufanyiwa hvyo
Swali zuri sana. Ila yasijeyakayokea mambo ya kimaisha tukasikia anahitaji michango tu!
Hiyo hela ingekaa fixed deposit ingesaidia watoto baadaye. Kumbuka baba hayupo…
 
Back
Top Bottom