RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Safi sana wametutangaza utalii utakua mwaka huuWashaipata
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana wametutangaza utalii utakua mwaka huuWashaipata
Ova
Yaani wewe ulichoweza ni kumbandika kwenye user name ya JF tu! Kweli life ain't fair[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilitakiwa atengeneze tangazo kama lile la chai jaba yaani bango lipeperushwe na helicopter far nzima waone 😆😆😆Kama alichumbiwa akiwa Singo Mother, anastahiki kuweka zawadi ya Bango. Maana ni wanaume wachache sana wanapenda kuoa na kuhudumia Mke na Mtoto aliezalishwa na mwanaume mwingine.
Kabisa[emoji1787]...hata ningekua me ndo zama ngefanya hvoSio jambo jepesi kuvumilia na kuoa singo maza yenye watoto zaidi ya mmoja.
Tena hilo bango mwezi mmoja bado halitoshi alipie mwaka mzima.
Tena ukikutana nae live ndo unaweza shtuka...hyo industry ni balaa..usiwaone kwenye tv na wasap..live wanatisha hao..huyo gigy..sjui amba lulu sjui nan. Tena lulu diva ndo naendaga had kwenye genge lake la kishua pale kwa mwamunyange namkuta mara nying sanaaa..hawapo kama unavyowaona kwenye tv ...huyo zuchu ukikaona ni kama katoto kabisa yan..huwez amin..maua sama ndo balaaa..ruby ndo usiseme..huyo linah kuna siku nkawa namwangalia lips zake nasema hiv hawa madem wana matatzo gan..lips zmekatika katika balaa...yaan acha tu hawa wasanii..industry imeoza...hao wote niliokutajia nshakutana nao had kuongea nao...na wengne nmewaacha nmewastiri hapaHata sasa ukimuangalia zama unaona yupo kama mgonjwa tu,ni bahati mbaya tu hutokea kwenye maisha
Yuko hapa tunamalizia viporo vya ValentineNa kwako pia mwenza.
Mume wetu yuko wapi?
Mngenisema na mimi nimeliweka kwa sababu single maza ilimradi tu yani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Hilo bango ungewekwa wewe hapo kwa jinsi ulivyo na mguu huoo dah [emoji23][emoji23]
Ova
Huwez kuja kuwaelewa wanawake mkuu...Vijana hakikisheni mnatafuta pesa na pia mnasimamia ukucha katika kuwakojoza hawa viumbe....mwanamke kama humkojozi hawezi kupagawa na wewe kiasi hicho.
na ku trend kunakuja na financial benefitsNa kutafuta kutrend
Ewaaaa! Umenipa jibu. Nilikuwa najiuliza kwa nini kujitaabisha kote huko? Daaah, huruma!Sio jambo jepesi kuvumilia na kuoa singo maza yenye watoto zaidi ya mmoja.
Tena hilo bango mwezi mmoja bado halitoshi alipie mwaka mzima.
Hana mahusiano mazuri na familia ya mume kabisaaaaa.Zamaradi ana pesa gani? Kwa mishe gani unayoijua?
Huyo Shabanii unamfahamu?
Kwa ufupi sana: Shabanii ni kijana wa familia ya Kasimu (Prime Minister), na ana mke mwingine.
Hilo tu litoshe kukuamsha kuwa Zamaradi yuko pale kimchongo tu, na anatumia nguvu nyingi mno kujishikiza…. pia kujitekenya na stress alizopigwa na Nandy kwa Ruge.
Sasa nyie mnaomwona Shabanii wa kawaida sijui mnazingatia sura au umaarufu, mwenzenu anapigania royal fame ya familia.
The less you know the better.
Wachache wenye ujasiri wa kukiri kama wako hongera sanaMwaka wa pili sasa.
Whatsapp profile nimeweka ya Mr.
Nadhani hata watu watakuwa wanajichanganya wanajua mwenye no ni Mr.
Ila Zamaradi kanipiku.
Kanifanya nionekane boyaaaaaaa....
Jamani mwenzenu kaonyesha njia fuateni huwa najiuliza ile ladies first huwa penye kutoa au kupokea!We mbona hujamfungulia[emoji1787][emoji1787]
Kupokeaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani mwenzenu kaonyesha njia fuateni huwa najiuliza ile ladies first huwa penye kutoa au kupokea!
Angalau nimeonyesha efforts jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani wewe ulichoweza ni kumbandika kwenye user name ya JF tu! Kweli life ain't fair
Eeeeh!Kupokeaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]