Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Ila wewe usikariri...Tena mwanamke akizaa kawaida na kushonwa vizuri anakua tighter than before...Mwingine anaweza akawa hajazaa na akawa na bwawa vile vile...

Acha kukariri labda unakutana na mabwawa au wewe ndo una maumbile kidogo
Huenda ikawa kweli
 
zama anajua kula na kipofu alikua single maza wa ruge akapata bwana na akamuoa acha ampembejee sio rahisi uyo jamaa jasiri sana, ma single maza wanajua mziki wake.
 
Narcissistic, childish shit. The money would have been better spent elsewhere.
 
Zawadi zenu ni zile zile, Saa, Boxer na Vest hembu badilikeni jamani! Walau zawadi za million kadhaa na sie tujiskie. Mwenzenu kaweka 6M kumfurahisha bebi wake.

Sasa we vest za 12,000 na saa ya 35,000 boxer za 10,000 umemaliza😂😂😂
Mimi nikifika kuweka kiasi hiko naomba mniwahishe mirembe itakuwa siko sawa 😂😂😂 hapo napata viwanja 3 kisemvule huko
 
Sista hebu mwambie shem huko M-pesa yangu inapokea, me sielewi wikendi hii bhana
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Kafanye kazi kaka [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom