Zamaradi Mketema na Ruge Mutahaba waanika mahusiano yao ya kimahaba

Zamaradi Mketema na Ruge Mutahaba waanika mahusiano yao ya kimahaba

Ameharibu Biashara ya Clouds TV,
That is not Management,
Hivyo wanavyofanya haisound.
Bora ingebaki Tetesi.
 
Ruge ana akili sana ya biashara.. ila tatizo lake hawezi tofautisha mapenzi na kazi...

hakuna kampuni yoyote inayojielewa inayoweza kuruhusu mtu na bosi wake walio na mahusiano wawe kazini.. hapo zamaradi inabidi asepe maana kuna conflict of interest.

ruge ataweza kumfokea au kumfukuza kazi zamaradi akikosea kazini? na je wafanyakazi wengine wanajisikiaje kuona mwenzao anapendelewa na bosi
 
mapenzi engi, mahusino mengi ya kudumu uanzia ofisini mlitaka dada yetu hasipendwe? cha kuomba hapo ni kuwa ruge hasiwatimue kzi maasimu wa mke wake kisa, kiunom nop! Clouds ni chombo kikubwa
 
mapenzi engi, mahusino mengi ya kudumu uanzia ofisini mlitaka dada yetu hasipendwe? cha kuomba hapo ni kuwa ruge hasiwatimue kzi maasimu wa mke wake kisa, kiunom nop! Clouds ni chombo kikubwa
Alianza Dinna Marios uzuri Dinna sasa hivi akamatiki tena
 
Ni kosa la jinai kujinafasi na subordinate wako (period) na ikiwa hivyo lazima utamke wazi ili mtenganishwe, huo ndio utawala bora. Kilichopo ni aidha bibie amwage manyanga au Ruge auze share aanze upya
Ushauri wa kijinga sana! sijui wakati unaandika ulikuwa unawaza kama unaandika huu ujinga
 
O
Povu la nini?
Rekodi nyingi sio zote zinaonyesha kuwa mahusiano ya bossi na mfanyakazi wake mambo baadae huenda mrama upande wa kazini, Labda wao ni sehemu ya hao wachache watakao fanikiwa.
Sikuelewi umekuja resi na mihasira yako ya nini.
ofcoz siyo povu ishu kama hii inatakiwa mkaidiscuss Facebook siyo huku watu makini hawadiscuss personal issues
 
Back
Top Bottom