Zamaradi Mketema na Ruge Mutahaba waanika mahusiano yao ya kimahaba

Mhe. Jambazi ona na huyu halafu ujue nimetamka nini hapo juu
 
atakua mama kapewa ile kitu ya bukoba special aka kat...r...r...o!!!!
 
Ruge ni mkurugenzi wa vipindi.
Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji..... mwenye share nyingi ni JOH 65% dhidi ya 35% za RUGE...

Ila huyo Ruge huwa kuna tuhuma za chinichini kuwa ni mtu wa kitengo pale kwa Wang'oa kucha...

Otherwise ni mfanyabiashara mjanjamjanja kwani ndo mtafta michongo yote ya kampuni huku Joh akisubiri mgao wake huko DUBAI.
 

Nilishalisema Hili Humu Humu JF Na Rekodi au Ushahidi KUNTU Kabisa Upo Lakini Nilipokea MATUSI Na KASHFA Za Kila Aina Sasa Baada Ya Kuthibitishiwa Hivi NAWAOMBENI WALE WOTE MLIONITUKANA NA KUNIKASHIFU MNIOMBE MSAMAHA a.k.a RADHI Vinginevyo NAMUACHIA Mwenyezi Mungu AWAHUKUMU Mmoja Mmoja. Na Hili Liwe FUNDISHO au FUNZO Kwenu Kuwa Nikija Na UZI NYETI HUMU Mjue Kuwa 99.999% Nina UHAKIKA Nao Na SIJAKURUPUKA. Nasubiri Kwa Hamu SAMAHANI Zenu.
 
Hivi CEO wa clouds media ni RUGE ama KUSAGA?msaada tafadhali maana kuuliza si ujinga.
CEO ni Joseph Kusaga (Joe) na Ruge Mtahaba ni Program Manager (PM) kwa upande wa Clouds FM,
sijui kama anakitengo kingine maana Clouds Media ni kubwa.
 
Mkuu GENTAMYCINE ulisemaga nini ati, hebu weka udhibitisho wa post yako hapa ili wakuelewe vizuri.
 
Uyo ruge si niliskia chakula yaan analiwa na wenzie so inamaana huyo dracula hajui???
 
Mke wake vip? Amemwacha? Hawa mabint sikuhiz kuzaa na waume za watu wanaona kawaida sana
Men ukiwa na pesa tu baaaas
 
In his boyhood he did something terrible to a respected family at the "hill" by impregnating a primary school going daughter of his then foster family. Still a terrible person even in adulthood!!!
Now thats sadder... I assure you the lightning that will strike him is still in the gym making push-ups...Karma, they say.
 
Ubaya uko wapi...ikiwa siri shida...ikiwa wazi shida...
Kwani asojua kuwa hawa ni wapenzi nani?
Kikubwa ni kuwaombea waweze kuhalalisha mapenzi yao ...

Kuwa boss siyo issue kwani kuna family businesses kibao
 
Unaweza ukawa umekremisha...
Watu ukua...inawezekana Ruge unayemjua wewe si huyu wa sasa...
Ni jambo zuri kama ameamua kutulizana na Zamaradi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…