Zamaradi Mketema na Ruge Mutahaba waanika mahusiano yao ya kimahaba

hahaha mkuu kweli wengine bila mdundiko haoi,ndo mana katika dini ya kislaam kuna ndoa za mkeka, tena kwa ugumu wa wanaume kutopenda kuoa siku hizi binti anawataarifu wazazi wake ndo naenda nikifika ntawatumia sms haraka njoon mtufungishe ndoa ya mkeka,jaman maisha.
 
Duh!ndugu umetia huruma na pia umeonyesha kuwa muungwana ila katika hii post yako sizungumzii post nyingine yaani gentamycine kama sio weye!umetulia na kuandika kitu kilicho zama katika tafakuri nzito za kila aina ya uungwana na ustaarabu.Hongera kwa post yako hii yaani nakuwa kama siamini vile!
 
Duh!
Old-zama
Thunder-radi =oldthunder=zamaradi
Huu ubunifu wako nimeupenda.
 
Kwani KUSAGA anaishi Dubai?
 
mapenzi bhn ni ujinga sana wakimwagana zitaanza story nyingine
 
Umeona eeh? Aiseee kwa hili lazima Sudi anyweee. Watamchambaje akijidai kuja na personal data za wengine? Aje tu na style mpya...
 
Kisa cha kuweka wazi uhusiano kuna kabint Kanatishia kupindua Serikali ya Zama na kinanata na kujitapa na tetesi ikawa Zama amemwagwa nadhan anawaprove wrong wabaya wake
Maskini Zama, atashindana na wangapi sasa. Ruge mwenyewe nasikia ni donor, hana hiyana linapokuja swala la kuzalisha wanawake
 
Akikugegeda anaimba nyimbo zote anagusa kila mahali niliisikia hii kutoka kwa bint mmoja ivi alozaa nae
Watu wana moyo jamani?
Mie sijui nikoje?
Mimi mtu mwenye historia kama zake na fununu zile wallah hata iweje siwezi kubali........
In short wakaka wa mujini nawaogopa mnoooo!
Heri yao wenzetu.
 
Watu wana moyo jamani?
Mie sijui nikoje?
Mimi mtu mwenye historia kama zake na fununu zile wallah hata iweje siwezi kubali........
In short wakaka wa mujini nawaogopa mnoooo!
Heri yao wenzetu.

Inafikia mahali mtu unapiga tu moyo konde!
Ya walimwengu nayo ukiyatilia manaani sana yanapotosha coz mengi yanaongelewaga tu bila ushahidi.
 

Mkuu Kwa faida ya wengine ungetutajia Huyo mtangazaji Maana sie wengine hatumjui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…