Zamaradi Mketema ndani ya Clouds360 on Clouds TV,February 21.

Zamaradi Mketema ndani ya Clouds360 on Clouds TV,February 21.

Nimemaliza kuangalia interview ya Zamaeadi..nimeamua kuconclude hivi..Zama aliolewa lakini moyo wake ulikuwa bado uko kwa Ruge
Ndugu yangu asikudanganye mtu. Maisha ya mahusiano ya kimapenzi ni muunganiko wa moyo na nafsi.

Sometimes huwa tunajipa viburi vya kumove on....but nafsi zetu huwa zinabakia kwa max wetu, na hii yote inatokana na memorable good things walivyofanya wakiwa kwenye good time yao.

Ndio maana unakuta mtu aliyebreak up mahusiano yake, mara nyingi anakuwa ni mtu wa kuangaika mara leo huyu, kesho yule n.k. maana kila anayekaa naye, bado anafeel kuna kitu anakosa. Na ndio maana sio ajabu now days, kumkuta mtu kaolewa/kuoa ila bado anapasha viporo na x wake.

HUO NDIO UKWELI...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika watu waliosababisha maradhi ya Ruge huyu Zamaradi pia ni mmoja wao,stress za mapenzi ni zaidi ya sumu zinaua fasta sana.

Kweli naamini ila jamaa alijenga desturi mbaya akijuwa huyu hana pakwenda kumbe dada kachoka kufumania kila siku na kurushwa vijembe anataka mume atulie awe na familia, familia kitu kizuri sana
 
kama nawaona vile wakimshawishi lady jay dee aende kutoa neno pamoja na diamond aisee. na hao watu hawajawahi hata kumpost ruge hata siku moja. Patamu hapo!!!

Kwani wakimpost ndo atapona!?
Visas havimfikishagi binadam popote
Fanya ambacho moyo wako utakua na amani
Ruge ana mabaya yake lakin kagusa maisha ya wengi
Alie mkamilif n Mungu tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kumrekodi akamrekodi Baba wa watu anambembeleza na kilio juu ili kumuaibisha. Leo amekuwa mshauri Insta. Sijui uwa anaandika nini na makala zake ndefu. Alinikwaza sana. Alishindwa kuwa na Busara akamove on kimya kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani clouds ndio walioamza kwa kumwita mmewe mara mission town etc..kina soudy hao na yeye akaachia audio..kosa liko wapi
 
Nadhani clouds ndio walioamza kwa kumwita mmewe mara mission town etc..kina soudy hao na yeye akaachia audio..kosa liko wapi
Ila Clouds siyo Ruge.... Ruge alikuwa na Maisha yake binafsi pia. Clouds kumwita Mmewe namna walivyomwita haikupa uhalali Zamaradi kuachia zile video. Kwani Ruge naye ana Msg au Video za Zama tena za aibu ila aliamua Kunyamaza. Na vipi naye angeamua kumwaga Mboga? Nadhani Ruge aliamua kutumia akili zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C
Ila Clouds siyo Ruge.... Ruge alikuwa na Maisha yake binafsi pia. Clouds kumwita Mmewe namna walivyomwita haikupa uhalali Zamaradi kuachia zile video. Kwani Ruge naye ana Msg au Video za Zama tena za aibu ila aliamua Kunyamaza. Na vipi naye angeamua kumwaga Mboga? Nadhani Ruge aliamua kutumia akili zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
shilawadu hawawezi kupost kitu bila idhini ya ruge..so Ruge aliwapa go ahead. Zama wa watu kamficha mumewe wao wakampost na maneno juu..wiki nzima wanamwandama
 
Na kumrekodi akamrekodi Baba wa watu anambembeleza na kilio juu ili kumuaibisha. Leo amekuwa mshauri Insta. Sijui uwa anaandika nini na makala zake ndefu. Alinikwaza sana. Alishindwa kuwa na Busara akamove on kimya kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa sio vizuri kumsema mgonjwa...lakini hata yeye alianza kumprovoke zama kwa kuwatumia kina soudy brown wamdhalilishe mitandaoni, zama alijitahidi Sana kumove on kimya kimya ...lkn Kama binadamu uvumilivu ulimshinda. ..Nani ataweza kinyamazia watu wanaopambana kukudhalilisha siku ya Kwanza tu kwenye ndoa.....
Tumsaidie Ruge lkn tusi justify makando kando yake.
 
Ingawa sio vizuri kumsema mgonjwa...lakini hata yeye alianza kumprovoke zama kwa kuwatumia kina soudy brown wamdhalilishe mitandaoni, zama alijitahidi Sana kumove on kimya kimya ...lkn Kama binadamu uvumilivu ulimshinda. ..Nani ataweza kinyamazia watu wanaopambana kukudhalilisha siku ya Kwanza tu kwenye ndoa.....
Tumsaidie lugha lkn tusi justify makando kando yake.
True. Zama alitaka zake kuolewa kimya kimya wakamwanza wenyewe. Na asingetoa ile audio wangeendelea kumbully
 
Uko sahihi
Ingawa sio vizuri kumsema mgonjwa...lakini hata yeye alianza kumprovoke zama kwa kuwatumia kina soudy brown wamdhalilishe mitandaoni, zama alijitahidi Sana kumove on kimya kimya ...lkn Kama binadamu uvumilivu ulimshinda. ..Nani ataweza kinyamazia watu wanaopambana kukudhalilisha siku ya Kwanza tu kwenye ndoa.....
Tumsaidie lugha lkn tusi justify makando kando yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli naamini ila jamaa alijenga desturi mbaya akijuwa huyu hana pakwenda kumbe dada kachoka kufumania kila siku na kurushwa vijembe anataka mume atulie awe na familia, familia kitu kizuri sana
Kwahiyo Zamarad alimkimbia Ruge sababu ya kupenda sana K za hapa na pale?
 
Jamaa wanapenda Kiki nasikia wanamshawishi na diamond!! Wakiwa wazima wanajiona Mungu watu!
Aisee Hapo basi patakuwa na mazingira ya kuwapiga Watanzania pesa tu na sio vinginevyo .... Ama kweli muosha huoshwa hatimae naye Ruge kageuzwa deal ...duh !!! Wahuni sio watu wazuri mjue !!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeshaambiwa ruge anaumwa figo.
sasa Maradhi ya figo na stress za mapenzi wapi na wapi?
acha kuhamisha magoli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unazijua vizuri stress au umejibu tu mkuu kishabiki " ...... stress huwa zina teteresha kinga za mwili na kuzifanya ziwe weak " kinga za mwili zinapo tetereka zinakuwa zimetoa fursa kwa magonjwa kuweza kuushambulia mwili yatakavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom