cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaza kama mimi zamaradi ni suspect namba moja ndo kasababisha jamaa aumweKatika watu waliosababisha maradhi ya Ruge huyu Zamaradi pia ni mmoja wao,stress za mapenzi ni zaidi ya sumu zinaua fasta sana.
Mshamba huyo hajui stress ni mzizi wa magonjwa mengi sana yanayoanzia kwenye ubongo. Ubongo ni control box ya viungo vyote, ikiathiriwa itafanya mwili u release toxins zinazoua ufanisi wa viungo vingine.Hivi unazijua vizuri stress au umejibu tu mkuu kishabiki " ...... stress huwa zina teteresha kinga za mwili na kuzifanya ziwe weak " kinga za mwili zinapo tetereka zinakuwa zimetoa fursa kwa magonjwa kuweza kuushambulia mwili yatakavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli zama alimpenda na kumvumilia sana ,alifanyiwa mambo mangapi na bwana yule na alikuwa hataki ata kuweka wazi mahusiano yao,mi naona bora zama alivyoamua ku move on na ndo bwana alipo ona umuhimu wa zama,ifike kipindi tujue thamani zetu tuache kuendekeza mapenzi yasiyokuwa na tijaNa kumrekodi akamrekodi Baba wa watu anambembeleza na kilio juu ili kumuaibisha. Leo amekuwa mshauri Insta. Sijui uwa anaandika nini na makala zake ndefu. Alinikwaza sana. Alishindwa kuwa na Busara akamove on kimya kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly.Mshamba huyo hajui stress ni mzizi wa magonjwa mengi sana yanayoanzia kwenye ubongo. Ubongo ni control box ya viungo vyote, ikiathiriwa itafanya mwili u release toxins zinazoua ufanisi wa viungo vingine.
Ni kama Shigongo na migazeti yake.Kweli kabisa ...ukiona Hadi wanapost kitu ujue wana baraka zote kutoka kwa boss wao...rejea ile clip ya yule dada aliyejifanya kuzaa na gwajima ..walimrekodi lakini hawakuirusha kwa sababu walipoifikisha kwa boss akawakataza
Wanajuana hao kama Waarabu wa Pemba, wewe usiyejua gemu linavyochezwa ndo utadhani ni great enemies....Jamaa wanapenda Kiki nasikia wanamshawishi na diamond!! Wakiwa wazima wanajiona Mungu watu!
Cha muhimu mgomjwa wetu hapone
kuna mahali nimesema asiponeSijaelewa sentensi yako mkuu, hutaki apone ama unataka apone?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Watoto wawili ni wengi na wanatoshaNimemaliza kuangalia interview ya Zamaeadi..nimeamua kuconclude hivi..Zama aliolewa lakini moyo wake ulikuwa bado uko kwa Ruge
Kwani Ruge ndio alimwita mumewe hayo majina?kosa lake ni kuvujisha ile sauti coz hakuna ambacho Ruge alikuwa kamfanyia yy angeuchuna tuNadhani clouds ndio walioamza kwa kumwita mmewe mara mission town etc..kina soudy hao na yeye akaachia audio..kosa liko wapi
Ndio madhara ya kuoa single mother wew siku anaongea unazani jamaa yake atakua anajisikiajeNimemaliza kuangalia interview ya Zamaeadi..nimeamua kuconclude hivi..Zama aliolewa lakini moyo wake ulikuwa bado uko kwa Ruge
Mkuu , stress ni chanzo cha magonjwa hatari ambayo huwezi kufikiri , Stress inapelekea tatizo la high blood pressure (presha ya juu ya kupanda) , high blood pressure inapelekea kidney failure (figo kufeli) , Figo kufeli kufanya kazi inapelekea heart failure( moyo kufeli)umeshaambiwa ruge anaumwa figo.
sasa Maradhi ya figo na stress za mapenzi wapi na wapi?
acha kuhamisha magoli
Sent using Jamii Forums mobile app
@mjingamimi unaweza kuuliza swali lolote kuhusiana Na maelezo hapo juu, Kwa nyongeza pia ieleweke stress inaweza kupelekea magonjwa ya akili (psychiatric disorders)Mkuu , stress ni chanzo cha magonjwa hatari ambayo huwezi kufikiri , Stress inapelekea tatizo la high blood pressure (presha ya juu ya kupanda) , high blood pressure inapelekea kidney failure (figo kufeli) , Figo kufeli kufanya kazi inapelekea heart failure( moyo kufeli)
NB :
Stress ni moja ya matatizo yasiyopewa kipaumbele lakini yanagharimu maisha ya watu wengi katika Zama hizi
Sent from my Iphone using Tapatalk
C
shilawadu hawawezi kupost kitu bila idhini ya ruge..so Ruge aliwapa go ahead. Zama wa watu kamficha mumewe wao wakampost na maneno juu..wiki nzima wanamwandama
Hapone.....Cha muhimu mgomjwa wetu hapone
tofauti ya hapone na asipone ni nini?
Yametimia leo[emoji122][emoji122][emoji122]Mkuu clouds hakuna wanachoshindwa huyo diamond ataenda mwenyewe !
Anajua ruge aliko mtoa.
ila mada haikuwa inazungumzia chibu kwenda msibani bali kwenda clouds media kuhamasisha mchango na kuongelea mazuri ya Ruge..kama alivyofanya ZAMARADI NA MAJaY n etc