Aliyeona kipindi atuambie zama kaongea nini, pia majizo nae alienda kwa aliyeona pia atuambie
Itakuwa wanatangaza kwenye maspika
Tambo hizi..Wamesema jamaa ni mtu mzuri ambae hawajawahi kuona mfano wake hapa duniani.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Itakuwa wanatangaza kwenye maspika
Dunia ikimgeuka ndo babake atamsaidia?asipomsaidia ndo itakuwa Mara ya kwanza?Diamond akimsaidia ruge na akashindwa kumsaidia baba yake...
Hatoamini siku dunia ikimgeuka...
Hata mi nimejaribu kuwaza au stress nowday zimehamiaga hukoumeshaambiwa ruge anaumwa figo.
sasa Maradhi ya figo na stress za mapenzi wapi na wapi?
acha kuhamisha magoli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila inasemekana jamaa alipewa sumu na kinachosemekana mpaji sumu ni .....mdomo shiiiiiiìiìiiiii mjini hapa kuna noah nyeusi.....sasa habari za stress za mapenzi sijui zimekujaje hapo
Kweli kabisa ...ukiona Hadi wanapost kitu ujue wana baraka zote kutoka kwa boss wao...rejea ile clip ya yule dada aliyejifanya kuzaa na gwajima ..walimrekodi lakini hawakuirusha kwa sababu walipoifikisha kwa boss akawakatazaC
shilawadu hawawezi kupost kitu bila idhini ya ruge..so Ruge aliwapa go ahead. Zama wa watu kamficha mumewe wao wakampost na maneno juu..wiki nzima wanamwandama
Sahihi kabisaUnaelewa Stress unaweza kupata magojwa zaidi ya kuumwa hiyo Figo? Stress za mapenzi ni Mbaya Mkuu... Mimi Jamaa yangu wa karibu aliwahi kupata Ugonjwa wa ajabu sababu ya Mapenzi.... Mapenzi Shikamoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza kuangalia interview ya Zamaeadi..nimeamua kuconclude hivi..Zama aliolewa lakini moyo wake ulikuwa bado uko kwa Ruge
Zama was right Ku move on Ruge was too much, hakujali wanawake wake aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila inasemekana jamaa alipewa sumu na kinachosemekana mpaji sumu ni .....mdomo shiiiiiiìiìiiiii mjini hapa kuna noah nyeusi.....sasa habari za stress za mapenzi sijui zimekujaje hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ugonjwa mbaya hapa duniani kama Stress...Ni hivyo tuHivi unazijua vizuri stress au umejibu tu mkuu kishabiki " ...... stress huwa zina teteresha kinga za mwili na kuzifanya ziwe weak " kinga za mwili zinapo tetereka zinakuwa zimetoa fursa kwa magonjwa kuweza kuushambulia mwili yatakavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sanaaaaHivi unazijua vizuri stress au umejibu tu mkuu kishabiki " ...... stress huwa zina teteresha kinga za mwili na kuzifanya ziwe weak " kinga za mwili zinapo tetereka zinakuwa zimetoa fursa kwa magonjwa kuweza kuushambulia mwili yatakavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee code uliyotumia nimetoka kapaSawa ila inasemekana jamaa alipewa sumu na kinachosemekana mpaji sumu ni .....mdomo shiiiiiiìiìiiiii mjini hapa kuna noah nyeusi.....sasa habari za stress za mapenzi sijui zimekujaje hapo
Sent using Jamii Forums mobile app