Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Moronight walker

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2021
Posts
3,103
Reaction score
4,704
Kuna ishu nimeona kuhusu Zamaradi kuna mfanyakzi wake mmoja ambaye ni director wa vipindi mojawapo ni the gram.

Anaitwa Meggy analalamika hajalipwa pesa yake miezi 24 sasa sawa na million 19. Anayoidai Zamaradi TV.

Nimeona kwa Mange Kimambi amepost screen za chatting kati ya Meggy na Zamaradi.

Jamaa aliishiwa kabisa mpaka kuuza laptop ya office ili apate pesa ya kujikimu.

Lakini mwishowe Zamaradi na mume wake walimdai laptop ya ofisi angali wao wanadaiwa milioni 19.

Watu wengi walishangaa jamaa alipoomba Tsh 200k kwa Zamaradi na kumwambia sina.
Ni utani au.

Huyu dada namuona maeneo ya BOKO chama kwetu huku na Range rover vogue yake. Ni mtu wa maisha yake fresh.

Si vizuri kuacha kampuni kuwa na madeni hivi, sasa madeni yakiwa mengi kulipa inakuwa shida sana baadae.

20230907_112954.jpg
20230907_113016.jpg
20230907_113033.jpg
 
Kuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hiyo Biashara...

Kwahiyo labda tuulize vipi hiyo TV imezalisha kiasi gani? Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli? Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k
 
Kuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hio Biashara...

Kwahio labda tuulize vipi hio TV imezalisha kiasi gani ? ; Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli ?..., Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k
Kwa hiyo TV kwa muda wa 2 years haiingizi kitu???
 
Kwa hio TV kwa muda wa 2 years haingizi kitu???
Unajua matumizi yake na inapata ngapi na ikishalipia kila kitu inabakiza ngapi? Hivi unajua unaweza ukaanzisha Biashara ku-break even ikawa baada ya miaka ishirini au usi-break even kabisa na ukaishia kufilisika...

Ndio maana nikasema siongelei huyu per-se (naongelea kauli ya fulani anakosa 200K) cha labda ungesema TV inakosa 200K; na jibu la hilo ni ndio inawezekana usipate hata sumni na kila siku likawa linakufilisi
 
Ume kariri ujinga, kaweka evidence kuwa jamaa hadai hata 100.
👉Tafuta hella, uache kuforce Mambo ya ajabu.
View attachment 2741837
Wewe hio ishu Mr.
Huyo baada ya mkataba kuisha aliendelea kufanya kazi japo bila mkataba.
Inamaana unataka kusema ukifanya kazi bila mkataba haulipwi???????

Huyo jamaa still alikuwa anafanya kazi wewe angalia tarehe za chatting zao ni za mwezi uliopita so still alikuwa anafanyakazi japo bila mkataba.

Na ukiangalia vizuri inaonyesha zamaradi alikuwa anamkwepa huyo jamaa. Mara anamwambia nipo offisi sasa. Akimwambia nakuja ofisini anamwambia nipo mikocheni.

Huyo jamaa alikuwa anafanya kazi mpk mwezi uliopita.
 
Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zako hupenda Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
 
Kama biashara hailipi funga, kwahiyo na wewe unataka kutetea janja janja?.
Kuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hio Biashara...

Kwahio labda tuulize vipi hio TV imezalisha kiasi gani ? ; Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli ?..., Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Bro upo sahihi. Hi inshu Alisha sema Ni uongo tu.
 
Ume kariri ujinga, kaweka evidence kuwa jamaa hadai hata 100.
👉Tafuta hella, uache kuforce Mambo ya ajabu.
View attachment 2741837
Screenshot_20230907-115816_Chrome.jpg

Hio ni August 8 anamuuliza kama behind the gram imeditiwa .
Inaonyesha still alikuwa anafanya kazi pale.

Wewe ukifanya kazi kibarua hata cha kung'oa majani ndo usilipwe kisha hakuna mkataba?????
 
Kama biashara hailipi funga, kwahiyo na wewe unataka kutetea janja janja?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara inaweza isilipe leo, lakini ikawa na potential, na kama ni Kampuni au kitu kinachohotaji Promo huenda ni hao watendaji ndio inabidi wakaze buti.... All in all narudia tena inategemea contract inasemaje baina yenu na kama mlipatana mlipane basi mlipane na ni nani anakulipa (Owner; Kampuni au Business)
 
Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Sasa maadui kutoka wapi.
Jamaa anadai pesa ajaripwa.
 
Back
Top Bottom