Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Kwa hio TV kwa muda wa 2 years haingizi kitu???
Inawezekana Ndg, sio tu miaka miwili hata miaka mitano. Kwenye biashara kuna kuanza, kukua, kukomaa na kuanguka. Miaka miwili inawezekana wako kwenye kipindi cha kukua ambapo wanatumia fedha nyingi kuliko zinazoingia.

Na approach aliyotumia huyo kijana ya kumtangaza Boss wake hadharani kwa kuweka msg sio ya kiungwana kabisa. Kama amedhulumiwa kuna njia za kupita za kiungwana au za kisheria. Kumtangaza kwenye mitandao kwa waajiri wengine anajizibia
 
Kutokumpa mtu mkataba ni kutaka kumnyima haki zake kisheria ,wengi wanatumia huu mfumo kwa kinga za kisheria maana kama mkataba haupo akienda polisi hautomfunga kwa namna yeyote kama wahindi wanavyonyasa wafanyakazi kwa mtindo huu.

Jamaa sio kwamba hana akili mpaka akaexpose hizo chatting ,kuna mengi na haki ya mtu kudhulumiwa mpaka roho inauma yaani hauna jinsi ukiangalia labda mwanamke (boss wake) ana pesa na kinga za kisheria bora kumuharibia watu wajue madhambi yake.


Ubaya ubaya maboss wengi ni kichefuchefu ,hata sasa tunaoa washkaji wanapiga mishe kwa watu binafsi ikifika mwisho wa mwezi msharaha inakuwa kama wanaomba , sometimes wanapewa pesa pungufu kwa vile hawana mikataba....Usishangae mtu anafanya kazi ila anaomba pesa ni kwamba malipo hapati katk muda husika.
 
Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Ampe hiyo 200k tuache mboyoyo za kijinga
 
Kuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hio Biashara...

Kwahio labda tuulize vipi hio TV imezalisha kiasi gani ? ; Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli ?..., Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k
Nakuunga mkono hoja mwamba ulichoongea kina ukweli kwa asilimia Mia kabisa
 
Kuna chawa wa Zama wamevamia uzi qqmk.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hio ishu inawezekana ni kweli huyo jamaa anaakili timamu kabisa awezi amka asubui na kuanza kusema anadaiwa tuu.

Inaonyesha ni kweli.
Maana zama na mume wake wamekimbilia kituo cha police kawe na kumuweka ndani kijana.

Wapo wengi tuu wamezulumiwa haki zao.
Mungu kauli zake hazipindishi alishasema ukimdhalilisha mtu nawe utadhalilishwa TU Leo Zama anadhalilika kama alivyomdhalilisha Ruge Kwa mange yule yule Tena yeye pakubwa Sana,zile VN za Ruge alivujisha kumkomoa Leo Kiko wapi!na yeye za mmewe zimevujishwa wakimpiga mtu biti,haitoshi tumejua maisha fake ya mtandaoni wanayoishi Hawa marole modo wa watu humu
 
Kuna chawa wa Zama wamevamia uzi qqmk.
Waje tutaenda nao sambamba tu waache unaafiki
Zamaradi huyu alifanya tuone mabebi zote msingi kende tu Kwa kumuweka Kwa mabango mmewe na Bado haitoshi,kadanganya kannuliwa range na mmewe kumbe bwana kauza nyumba..nyie nyie☺️☺️🙌🙌🙌maisha ya 🙌 mtandaoni mabaya sana...!!!mpk kampuni anamsifu mmewe this mmewe that tukitongozwa tunataka waume kama waroli modo wetu au tunawaona waume zetu kama nguruwee vile...chaaa...kumbe mikopo ya mabenki hukoo,wanauza majumba kufurahisha walimwengu..hii Dunia hii acha kabisaaaa
 
Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Hadithi njoo uongo njoo tamu kolea

Hadithi njoo uongo
 
Back
Top Bottom