reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Mahakama zipi???!!!hizi za vimemoSiku hizi watu wakiwa wanataka haki ya madai wanaenda kupeleka malalamiko kwa Mange badala ya mahakamani? [emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama zipi???!!!hizi za vimemoSiku hizi watu wakiwa wanataka haki ya madai wanaenda kupeleka malalamiko kwa Mange badala ya mahakamani? [emoji15]
Mahakama zipi???!!!hizi za vimemoSiku hizi watu wakiwa wanataka haki ya madai wanaenda kupeleka malalamiko kwa Mange badala ya mahakamani? [emoji15]
Mahakama zipi???!!!hizi za vimemoSiku hizi watu wakiwa wanataka haki ya madai wanaenda kupeleka malalamiko kwa Mange badala ya mahakamani? [emoji15]
People do preach what actually they don't practiceBillionea wa magazeti na essay za ki motivation speaker labda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijaelewa...Ni Voice notes JASIRI alikua analia
Wabongo bhana mnapenda maneno ya kuambiwa bila evidence 😀😀acheni kuangaika na vitu visivyo na faida ,je kama jamaa alikuwa anajitumia meseji na kujijibu ,Kuna ishu nimeona kuhusu zamaradi kuna mfanyakzi wake mmoja ambaye ni director wa vipindi mojawapo ni the gram.
Anaitwa meggy analalamika ajalipwa pesa yake miezi 24 sasa sawa na million 19. Anayoidai Zamaradi TV.
Nimeona kwa Mange kimambi amepost screen za chatting kati ya meggy na zamaradi.
Jamaa aliishiwa kabisa mpk kuuza laptop ya office ili apate pesa ya kujikimu.
Lkn mwishowe zamaradi na mume wake walimdai laptop ya ofisi angali wao wanadaiwa million 19.
Watu wengi walishangaa jamaa alipoomba Tsh 200k kwa zamaradi na kumwambia sina.
Ni utani au.
Huyu dada namuona maeneo ya BOKO chama kwetu huku na Range rover vogue yake. Ni mtu wa maisha yake fresh.
Si vizuri kuacha kampuni kuwa na madeni ivi sasa madeni yakiwa mengi kulipa inakuwa shida sana baadae.
View attachment 2741827View attachment 2741828View attachment 2741829
Kiongozi mm pia nimeshangaa kweli kuhusu jambo hili. Pia kwa kijana ambae bado anataka kuajiliwa kumtangazia hv mwajili wake katengeneza changamoto kwenye hajira zake z baadae.Siku hizi watu wakiwa wanataka haki ya madai wanaenda kupeleka malalamiko kwa Mange badala ya mahakamani? [emoji15]
RUGE alimpigia simu zamaradi akiwa anambembeleza asimuache,anampenda, Zama kipindi anaolewa na SHABANI,kumbe alikua anamrekodi bwana ,baadae zile VN zikatumwa kwa Mange kimambi the way JASIRI alivokua analilia penzi la Zama mpk RUGE alimuita mission town SHABANI ...zilitrend ila sio vilee kw KUA JASIRI alikua mtu wa watu sana...mpk BABA JONII akamponda sana ZamaSijaelewa...
Weka maelezo yakutosha bana
Duh!Asante kwa taarifa.RUGE alimpigia simu zamaradi akiwa anambembeleza asimuache,anampenda, Zama kipindi anaolewa na SHABANI,kumbe alikua anamrekodi bwana ,baadae zile VN zikatumwa kwa Mange kimambi the way JASIRI alivokua analilia penzi la Zama mpk RUGE alimuita mission town SHABANI ...zilitrend ila sio vilee kw KUA JASIRI alikua mtu wa watu sana...mpk BABA JONII akamponda sana Zama
Nimeona clip jamaa anaonywa na police daaaAnajua kuandaa waraka wa amani haswa
Nimeamini kweli akili hana maana wamesababisha mpaka watu huko instagram wanamtukana mh.waziri wakihisi kuwa ndo anawapa kiburi cha kutia watu ndani baada ya kumsweka rumande yule director wake!
Nikikumbuka diva alivyokuwa anafake mapenzi na mganga wake na kilichokuja kujiri baadae Sina hamu na macelebriti wa bongoWaje tutaenda nao sambamba tu waache unaafiki
Zamaradi huyu alifanya tuone mabebi zote msingi kende tu Kwa kumuweka Kwa mabango mmewe na Bado haitoshi,kadanganya kannuliwa range na mmewe kumbe bwana kauza nyumba..nyie nyie☺️☺️🙌🙌🙌maisha ya 🙌 mtandaoni mabaya sana...!!!mpk kampuni anamsifu mmewe this mmewe that tukitongozwa tunataka waume kama waroli modo wetu au tunawaona waume zetu kama nguruwee vile...chaaa...kumbe mikopo ya mabenki hukoo,wanauza majumba kufurahisha walimwengu..hii Dunia hii acha kabisaaaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]Nikikumbuka diva alivyokuwa anafake mapenzi na mganga wake na kilichokuja kujiri baadae Sina hamu na macelebriti wa bongo
Ila Zama sijui yukoje, mbna ana roho mbaya hivyo khaaaahKaumbuka mnooo...tulikua tunamuona Faiza chizi leo kaumbuka
Kawatia wenziwe mateso sana
Hivi ujue Ile idea ya kitabu ya juhjuh ilikua ya Sasha....!!!Zama akambidi mwenziwe
Toka afake kupitia kununuliwa Gari, kumbe wameuza nyumba, ndo hata sitaki kumfatilia tenaaa.Mnoooo....na sas hv wengi mastaaa washashtuka wanaishi nae kimachale
Exactly!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]People do preach what actually they don't practice
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikikumbuka diva alivyokuwa anafake mapenzi na mganga wake na kilichokuja kujiri baadae Sina hamu na macelebriti wa bongo