Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa influence aliye nayo Zamaradi na mjomba wa majaliwa unategemea unaweza simamisha kesi dhidi yao na ukashinda ikiwa Waziri atapiga simu moja hapo Oysterbay?Huwa nasema ukiwa na madai achana na habari za kulalamika kwenye medias bali nenda Mahakamani ukiona maiza uza na huko ndio uende kwenye media sasa.
Yaani media ni maeneo ya mwishoni kabisa kwenye kudai haki yako, mara nyingine watu wa kukusaidia wanaweza wakaona.labda ni fitna za kibiashara au mjini wakakupuuzia, ila ukienda kwenye media ukaonesha umepita Mahakamani napo unaona maiza uza ndio unalalamika kidooogo utaeleweka japo sio sawa napi
Mauza uza yapo ila yana ukomo wake kuna ngazi hauwezi ukayakuta kabisa ni wewe tu uwe na focus na jambo lako.
Haya kaenda ku attack watu kwenye media wao waende kumshtaki kw kuwachafua then washinde aseme aliajiriwa ikutwe aliajiriwa na kampuni aambiwe akashtaki sehemu sahihi aende ashinde mara waliochafuliwa wakakaze hukumu yao, wachukue decree aliyopewa yeye kama mali ya mdaiwa, pengine isitoshe arudi pale pale. Ni ngumu kuelewa ila ni jambo linawezekana sana.
Tuwe makini kwenye kudai haki zetu tusivunje haki za wengine. Zaidi zaidi tutafute wataalamu wa sheria, tuache mazoea.
Kaangalie kweny viwanda vya wahindi na kampuni watu wanavyoteseka huo usomi weka pembeni.
Ukweli ukikosa mkataba unaweza kufukuzwa na kunyanyasika mda wowote na bado muajiri akawa na kinga ya sheria .
Wewe mhutu punguza chuki Kwa ndugu zako..😅Wapo ndiyo haujui?Hata huko kwao Rwanda huwa anakwenda.
Nani alikuambia mhutu na mtusi ni ndugu ?Kwa taarifa yako Mtusi na Mhutu ni Chui na Paka. Hivyo mimi mhutu (Kama unavyodai)Kumchukia Mtusi ni kawaida kabisa.Wewe mhutu punguza chuki Kwa ndugu zako..😅
Hauna mkataba mzee labda kama ushahidi wa maandishi pembeni.
- Kinga gani ya kisheria? Yaani asikulipe mshahara halafu awe na Kinga ya kisheria?
- akikufukuza kazi kinyume cha utaratibu nenda CMA (Mahakama ya kazi )
Hata Dina Marios aliwahi kumlalamikia, kipindi ameenda likizo ya kujifungua akamfanyia figusu kurudi anakuta kipindi kapokonywa, anaambiwa unaenda kwa TV, akasubiri weeh hicho kipindi cha tv apewe wapi! Akaamua kujiongeza na kwenda EFM.Watu wa Kigoma asili Yao ni roho mbaya(mnisamehe wenye mkoa wenu)wakatili,wanafiki na roho kubwa...!!!jinsi alivyodhalilisha ila Kwa hili la meggy wamejua uhalisia wake sisi wengine tunamjua kitambo ilikua ni suala la muda tu,enzi Yuko Clouds kile kipindi chake Cha kuhoji mastaa idea ilikua ya Irene Paul ye Kwa kua alikua chakula ya boss wakamkatia denge akakichukua yeye!!enzi zile Yuko close na WCB akaandaa nadhani arobaini ya mwanawe akampa oda Mobetostyle amshonee wamebuni mshono akapeleka kungine wamshonee dkk za mwishoni kabisaa,Halafu shilole akaulia Kwa nguvu"usiniambie kale katoto ndo kamekushonea hivi",Kila kizuri anataka awe nacho yeye,Idea ya kitabu ya mtoto wa Faiza ,masikini WA Watu kaenda kuongea nae akambidi Tena kaibeba kampa mwanawe..Leo anajitilisha huruma huruma tu Hayo tunayoyajua,tusojayajua ni mengi
Ila mmewe nimempenda na biti balaa la kiume Lile la kuheshimisha yaani☺️☺️☺️☺️☺️
Halafu kuna watu rôlemodel wao.Yaani mtu kafika hapo alipo kwa kumseduise Ruge,akampa K mpaka akabeba mimba,akazaa .Ruge akampa maisha .Ndo leo eti anaonekana mchakarikaji.Hata Dina Marios aliwahi kumlalamikia, kipindi ameenda likizo ya kujifungua akamfanyia figusu kurudi anakuta kipindi kapokonywa, anaambiwa unaenda kwa TV, akasubiri weeh hicho kipindi cha tv apewe wapi! Akaamua kujiongeza na kwenda EFM.
Kipindi hicho yeye ndio mama boss Ruge.
- inaonekana hujui sheria za kazi, kwenye sheria ya Labour institutions Act kuna vigezo vimewekwa ambavyo vikitimia tu huyo ni mwajiriwa hata kama hamjaandikiana, mfano mtu akiwa anafanya kazi kwa mtu mwingine kwa maelekezo ya huyo mtu including muda wa kuingia kazini, masaa ya kazi, kingine mtu huyo akiwa anapewa vifaa vya kazi, akiwa amefanya kazi kwa masaa si chini ya saa45 kwa kipindi cha miezi mitatu nkHauna mkataba mzee labda kama ushahidi wa maandishi pembeni.
Hivi viwanda visingetesa watu kiasi hiki.
" Is deemed to be an employee by the Minister under Section 98(3)", Unaelewa Nini hayo maneno ambayo nimeyatoa kwenye sheria ya ajira na mahusiano kazini.Hauna mkataba mzee labda kama ushahidi wa maandishi pembeni.
Hivi viwanda visingetesa watu kiasi hiki.
Haki zipo kisheria ila sio kiutendaji naongelea uhalisia sio sheria iliyopo kwenu makaratasi ambayo hata wafanyakazi hawaijui...- inaonekana hujui sheria za kazi, kwenye sheria ya Labour institutions Act kuna vigezo vimewekwa ambavyo vikitimia tu huyo ni mwajiriwa hata kama hamjaandikiana, mfano mtu akiwa anafanya kazi kwa mtu mwingine kwa maelekezo ya huyo mtu including muda wa kuingia kazini, masaa ya kazi, kingine mtu huyo akiwa anapewa vifaa vya kazi, akiwa amefanya kazi kwa masaa si chini ya saa45 kwa kipindi cha miezi mitatu nk
-Kasome Kesi ya Director of usafirishaji africa vs Hamis Mwakabala na wenzake.
Mimi naongelea uhalisia sio sheria ambazo zipo zipo tu na hazifanyi kazi ,kaangalie watu wanaofanya kazi viwandani ,watu wanaofanya kazi mshamba hata madereza..." Is deemed to be an employee by the Minister under Section 98(3)", Unaelewa Nini hayo maneno ambayo nimeyatoa kwenye sheria ya ajira na mahusiano kazini.
Ata wewe kujua hii Habari ni tabia ya kike hizo.Mwanaume unapenda kujua mambo ya watu had unamfollow mangekimambi? kama hukutaka kuzaliwa mwanaume si ungesema wahuni tukukaze
Unatuletea habari za kike hapa, huna kazi za kufanya mwanaume unakuaje mmbea? Kama hukutaka kuzaliwa mwanaume si useme wahuni tukukamieAta wewe kujua hii Habari ni tabia ya kike hizo.
Nawasiwasi na marinda unaweza ukawa huna.
Leo anadhalilika mbaya nimeanza kumuonea huruma halafu☺️☺️☺️☺️maana mange kakichafua Tena instaaHata Dina Marios aliwahi kumlalamikia, kipindi ameenda likizo ya kujifungua akamfanyia figusu kurudi anakuta kipindi kapokonywa, anaambiwa unaenda kwa TV, akasubiri weeh hicho kipindi cha tv apewe wapi! Akaamua kujiongeza na kwenda EFM.
Kipindi hicho yeye ndio mama boss Ruge.
Ila Vicky 🙌🙌🙌🙌☺️☺️role model wa watu bwana!!!smart woman,akaja kuvujisha VN za ruge anaomba Msamaha!!!Halafu kuna watu rôlemodel wao.Yaani mtu kafika hapo alipo kwa kumseduise Ruge,akampa K mpaka akabeba mimba,akazaa .Ruge akampa maisha .Ndo leo eti anaonekana mchakarikaji.
Mange Hana urafiki, Kama sio yeye aliyemtetea kipindi kile anatangazwa kaolewa na mission townLeo anadhalilika mbaya nimeanza kumuonea huruma halafu☺️☺️☺️☺️maana mange kakichafua Tena instaa
Nimegundua ubaya una tabia ya kurudi mara 100000 asee...!!!hivi vitu kumbe vipo kweli jamani
Zama WA kudhalilika hivi
Mweee