Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Na mwandiko wake wa la pili “b” hehee wanazidi kujidhalilisha
IMG_3368.png
 
Watu wa Kigoma asili Yao ni roho mbaya(mnisamehe wenye mkoa wenu)wakatili,wanafiki na roho kubwa...!!!jinsi alivyodhalilisha ila Kwa hili la meggy wamejua uhalisia wake sisi wengine tunamjua kitambo ilikua ni suala la muda tu,enzi Yuko Clouds kile kipindi chake Cha kuhoji mastaa idea ilikua ya Irene Paul ye Kwa kua alikua chakula ya boss wakamkatia denge akakichukua yeye!!enzi zile Yuko close na WCB akaandaa nadhani arobaini ya mwanawe akampa oda Mobetostyle amshonee wamebuni mshono akapeleka kungine wamshonee dkk za mwishoni kabisaa,Halafu shilole akaulia Kwa nguvu"usiniambie kale katoto ndo kamekushonea hivi",Kila kizuri anataka awe nacho yeye,Idea ya kitabu ya mtoto wa Faiza ,masikini WA Watu kaenda kuongea nae akambidi Tena kaibeba kampa mwanawe..Leo anajitilisha huruma huruma tu Hayo tunayoyajua,tusojayajua ni mengi
Ila mmewe nimempenda na biti balaa la kiume Lile la kuheshimisha yaani[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]

Mjini kuna mambo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom