Gorgeous96
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 293
- 691
Na mwandiko wake wa la pili “b” hehee wanazidi kujidhalilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamaradi Tv ina muda gani tangu kuanzishwa?Mkuu alimuomba zamaradi na sio kampuni.
Mbona uzi umejieleza.
Kasema zamaradi ndo aliobwa.
Ila jamaa anaidai Zamaradi TV
Million 19.
Watu wa Kigoma asili Yao ni roho mbaya(mnisamehe wenye mkoa wenu)wakatili,wanafiki na roho kubwa...!!!jinsi alivyodhalilisha ila Kwa hili la meggy wamejua uhalisia wake sisi wengine tunamjua kitambo ilikua ni suala la muda tu,enzi Yuko Clouds kile kipindi chake Cha kuhoji mastaa idea ilikua ya Irene Paul ye Kwa kua alikua chakula ya boss wakamkatia denge akakichukua yeye!!enzi zile Yuko close na WCB akaandaa nadhani arobaini ya mwanawe akampa oda Mobetostyle amshonee wamebuni mshono akapeleka kungine wamshonee dkk za mwishoni kabisaa,Halafu shilole akaulia Kwa nguvu"usiniambie kale katoto ndo kamekushonea hivi",Kila kizuri anataka awe nacho yeye,Idea ya kitabu ya mtoto wa Faiza ,masikini WA Watu kaenda kuongea nae akambidi Tena kaibeba kampa mwanawe..Leo anajitilisha huruma huruma tu Hayo tunayoyajua,tusojayajua ni mengi
Ila mmewe nimempenda na biti balaa la kiume Lile la kuheshimisha yaani[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Na mwandiko wake wa la pili “b” hehee wanazidi kujidhalilishaView attachment 2745030
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee emu nitolee stress zako hapaa.We si umeshaleft grp unamsupport papai mwenzako?
Tawakata makofi sasahivi
Haswaaa dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mawe ya kwio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mange hanaga habari za uongo za umbea,
Mume wa zama huyooo, muandiko wa mkaka mwenye bango lake mjiniii.Kaandika mtoto???[emoji15][emoji15][emoji15]
Alimdhalilisha kipindi kile Cha sheria za mitandaoni ila hajawahi kutoa Siri za ndani hata siku Moja kama wengineIla kakake mwamy, January kamzalilisha Sana tu
Muachie"ulisi"wake bwanaNa mwandiko wake wa la pili “b” hehee wanazidi kujidhalilishaView attachment 2745030
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwandiko wa asosoma kabisaa yaaanii[emoji23][emoji23][emoji23]Mume wa zama huyooo, muandiko wa mkaka mwenye bango lake mjiniii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwandiko wa asosoma kabisaa yaaanii[emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza asila 🤣🤣Andika comment fupifupi hizi ndefu sisomi andikia wambea wenzako Shenzi type
Inawezekana kama itaonekana wao ndo walivujishaNajiuliza, ile nyaraka ya crdb juu ya mkopo wa zamaradi, ilimfikiaje Mange? Je kuvuja kwa nyaraka hiyo haitawaharibia crdb kibiashara hasa kwenye mikopo?
Hasira.Punguza asila 🤣🤣
😅😅😅😅 anaboa mwana kana umbea anakuja kufanya nini humu.Hasira.
Zinavuja document za Ikuluuu Hukoo za Sirii kabisaa ndo hizo za CRDB??? Helaa inanunua chochote nduguuuNajiuliza, ile nyaraka ya crdb juu ya mkopo wa zamaradi, ilimfikiaje Mange? Je kuvuja kwa nyaraka hiyo haitawaharibia crdb kibiashara hasa kwenye mikopo?
Na mwandiko wake wa la pili “b” hehee wanazidi kujidhalilishaView attachment 2745030