Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zake hupendi Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.


Eti classmate . Ushawahi Sikia wapi mtu ana mu address classmate wake kwa jina la " dada fulani"?
Sema tu ukweli mkuu ulisoma Butimba TTC sio SAUT.

Endelea kuchafua chuo cha watu hivyo hivyo utakuja kushitakiwa wewe!!!
 
Mungu kauli zake hazipindishi alishasema ukimdhalilisha mtu nawe utadhalilishwa TU Leo Zama anadhalilika kama alivyomdhalilisha Ruge Kwa mange yule yule Tena yeye pakubwa Sana,zile VN za Ruge alivujisha kumkomoa Leo Kiko wapi!na yeye za mmewe zimevujishwa wakimpiga mtu biti,haitoshi tumejua maisha fake ya mtandaoni wanayoishi Hawa marole modo wa watu humu
Arv za Ruge hakuvujisha yeye bhn
 
Zama atakua na roho mbaya kweli mana hata tuliwahi kusoma humu jf alihusika na kufukuzwa kazi dina marios,
Anajificha kwenye kivuli cha mtu mstaarab na yale magazeti yake anayoandika instagram ilhali ndani hafai!
Zama ni mnafikii na mjivunii, ila akiandikaga yale magazeti na essay zake bas ndo watu wana muona wa maana sanaa.

Sijui yukoje huyu Dada.
 
Kutokumpa mtu mkataba ni kutaka kumnyima haki zake kisheria ,wengi wanatumia huu mfumo kwa kinga za kisheria maana kama mkataba haupo akienda polisi hautomfunga kwa namna yeyote kama wahindi wanavyonyasa wafanyakazi kwa mtindo huu.

Jamaa sio kwamba hana akili mpaka akaexpose hizo chatting ,kuna mengi na haki ya mtu kudhulumiwa mpaka roho inauma yaani hauna jinsi ukiangalia labda mwanamke (boss wake) ana pesa na kinga za kisheria bora kumuharibia watu wajue madhambi yake.


Ubaya ubaya maboss wengi ni kichefuchefu ,hata sasa tunaoa washkaji wanapiga mishe kwa watu binafsi ikifika mwisho wa mwezi msharaha inakuwa kama wanaomba , sometimes wanapewa pesa pungufu kwa vile hawana mikataba....Usishangae mtu anafanya kazi ila anaomba pesa ni kwamba malipo hapati katk muda husika.
Ndiyooo na ndo ukweli wenyewee
 
Mungu kauli zake hazipindishi alishasema ukimdhalilisha mtu nawe utadhalilishwa TU Leo Zama anadhalilika kama alivyomdhalilisha Ruge Kwa mange yule yule Tena yeye pakubwa Sana,zile VN za Ruge alivujisha kumkomoa Leo Kiko wapi!na yeye za mmewe zimevujishwa wakimpiga mtu biti,haitoshi tumejua maisha fake ya mtandaoni wanayoishi Hawa marole modo wa watu humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaumbukaaa kweupeee Da Zama
 
Zama ni mnafikii na mjivunii, ila akiandikaga yale magazeti na essay zake bas ndo watu wana muona wa maana sanaa.

Sijui yukoje huyu Dada.
Anajua kuandaa waraka wa amani haswa
Nimeamini kweli akili hana maana wamesababisha mpaka watu huko instagram wanamtukana mh.waziri wakihisi kuwa ndo anawapa kiburi cha kutia watu ndani baada ya kumsweka rumande yule director wake!
 
Waje tutaenda nao sambamba tu waache unaafiki
Zamaradi huyu alifanya tuone mabebi zote msingi kende tu Kwa kumuweka Kwa mabango mmewe na Bado haitoshi,kadanganya kannuliwa range na mmewe kumbe bwana kauza nyumba..nyie nyie[emoji3526][emoji3526][emoji119][emoji119][emoji119]maisha ya [emoji119] mtandaoni mabaya sana...!!!mpk kampuni anamsifu mmewe this mmewe that tukitongozwa tunataka waume kama waroli modo wetu au tunawaona waume zetu kama nguruwee vile...chaaa...kumbe mikopo ya mabenki hukoo,wanauza majumba kufurahisha walimwengu..hii Dunia hii acha kabisaaaa
Nilitaka nikuitee mlongo, ubuyu umetufikia walajiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anajua kuandaa waraka wa amani haswa
Nimeamini kweli akili hana maana wamesababisha mpaka watu huko instagram wanamtukana mh.waziri wakihisi kuwa ndo anawapa kiburi cha kutia watu ndani baada ya kumsweka rumande yule director wake!
N/waziri lazima atukanwee, maana yeye ni msanii na anajua kila kitu ktk tasnia kwann asisimaie haki? Anakaa kutazama tyuuh.

Zama akili aliyonayo kushusha magazeti na kujifanya mjuajii, mfyuuuuh.

Alipe deni LA watu, khaaaah
 
Back
Top Bottom