GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
ajaripwa ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki?Sasa maadui kutoka wapi.
Jamaa anadai pesa ajaripwa.
Hovyo kabisa.....!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ajaripwa ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki?Sasa maadui kutoka wapi.
Jamaa anadai pesa ajaripwa.
Mleta mda na hata jamaa yule kasema Zamaradi tv na sio zamaradi.Biashara inaweza isilipe leo, lakini ikawa na potential, na kama ni Kampuni au kitu kinachohotaji Promo huenda ni hao watendaji ndio inabidi wakaze buti.... All in all narudia tena inategemea contract inasemaje baina yenu na kama mlipatana mlipane basi mlipane na ni nani anakulipa (Owner; Kampuni au Business)
Au ndo mume wake niniajaripwa ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki?
Hovyo kabisa.....!!
Hii apa anaidai zamaradi TV, na sio zamaradi.Anaitwa meggy analalamika ajalipwa pesa yake miezi 24 sasa sawa na million 19. Anayoidai Zamaradi TV.
Kuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hio Biashara...
Kwahio labda tuulize vipi hio TV imezalisha kiasi gani ? ; Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli ?..., Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k
Mkuu alimuomba zamaradi na sio kampuni.Duuuh! mkuu,laki mbili itoke ofisini na kwa utaratibu.
Kuna tatizo Kwako ikiwa ndiyo hivyo?Au ndo mume wake nini
Umesoma heading ?!!Mleta mda na hata jamaa yule kasema Zamaradi tv na sio zamaradi.
Unabeba liability,kwa kutoa ya kwako unaiandikia ukipata faida unarudisha kwakoKuna Jambo moja watu hawaelewi.., Biashara / Kampuni ni "an entity; sio necessarily yule CEO" Yaani mimi naweza nikawa na pesa lakini kama Biashara haizalishi sio Hekima mimi kutoa Pesa pengine ili mradi tu kuendeleza hio Biashara...
Kwahio labda tuulize vipi hio TV imezalisha kiasi gani ? ; Sio kwamba natetea kutokulipana (sababu inategemea contract) na kama contract inasema unilipe haijalishi unazalisha au hauzalishi..., Nachoongelea ni statement ya mleta uzi kwamba fulani anakosa laki mbili kweli ?..., Sababu ukiwa mtu wa kutoa hizo 200k kila zinapotakiwa mwisho wa siku na wewe utajiunga na wale wanaotafuta / wanaokosa hizo 200k
Yani mkuu rushwa inatembea sana hii nchi yani mtu anakuandalia vipindi vizuri kwenye TV yako ile mpk watu wanaangalia afu unamzalau namna hii. Ndio mkataba ulishaisha ila aliendelea kufanya kazi pale inaonyesha maana vipindi vikubwa yeye ndo alikuwa director.Nasikia zama.na mumewe wamemtia ndani jamaa?
Inasikitisha sana kama ni kweli
Labda error ila ukisoma uzi wenyewe ndicho alichomaanisha.Umesoma heading ?!!
zamaradi-mketema-wakukosa-tsh-200-000-kweli-malipo-kwa-wafanyakazi
zamaradi-mketema-wakukosa-tsh-200-000-kweli-malipo-kwa-wafanyakazi.Hii apa anaidai zamaradi TV, na sio zamaradi.
Na mleta mada kasema kwamba meggy alimuomba zamaradi 200k akamwambia sina nitakutafutia .
Sijui mumemuelewa.
zamaradi-mketema-wakukosa-tsh-200-000-kweli-malipo-kwa-wafanyakazi.
Point zangu zote zinajibu hilo hapo sio ajabu hata kwa Dangote kukosa 200k at any given time kwa ajili ya matumizi fulani fulani - ama sivyo unaweza ukajikuta ufanya kazi ya kuwatafutia watu hizo 200k
Kaka yangu.Kama jamaa,kawekwa ndani,happy sawa,ili aweke mambo sawa.Itajulikana kama Zamaradi ndiye mwenye makosa au laa!
Shida mna penda umbea na kufatilia maisha ya watu.
[emoji117]Hi inshu Mbona amesha I address, na kaweka ushahidi kuwa dogo Ali achishwa kazi.
Madam Kuna vyanzo vingi vya taarifa, and beside vipi Kama namjua mtu wake wa karibu???Wewe umejuaje kama hii issue amesha i “address “ kama na wewe haupendi umbea na kufuatilia maisha ya watu?