Zamaradi Mketema: Watanzania tulirogwa na nani?

Umeongea ujinga mwingi, huyo Asake unaemponda, ndo huyo msanii wako diamond anaiga swaga zake kila leo anapambana afanane nae kuanzia mavazi mpaka muonekano..

Msanii kupiga kura hazuiwi ni haki yake, ila kusimama na jamaii pale anapohitajika ni lazima na sikua upande wa wakandamizaji wa wananchi,.
 
Wewe ni mjinga Asake ana nn cha maana ? Kuiga kwani ni tatizo !?
Tunzo za Grammy juzi kachukua ngapi? Bado hujui hata anachoimba basi anaimba ujinga tupu kama Diamond tu .

Anachoimba ni utopolo wote ni wale walw tu hamna ,jipya tafuta pesa uache kuchukia watu bila ya sababu
.
 
Endeleeni kukata mauno mkisubiri kupewa sifa.

Ukishinda tuzo ni yako wewe binafsi ukifeli pia ni wewe umefeli.

Usitake shida zako tukubebee sisi.
Uchawa wa siasa acha dogo utakuwa upinde.🤣
 
Karma is a bitch
 
Huwezi kufananisha wasanii wa Nigeria na haya mabumunda ya Tanzania,wakati manyanyaso ya polisi yalipozidi Nigeria kina Davido walikuwa kwenye maandamano na vispika wakiwa na wananchi...hao wasanii wa Tanzania ni ishu gani wamesimama na wananchi zaidi ya uchawa kwa ccm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…