Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

sawa quinine
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji6] [emoji6]
 
Kwenye maelezo nimeona ETI ZAMARADI hakuwahi fanya chochote na bwana MESHION TOWN...huo ni uongo mkubwa..labda ZAMARADI alitaka kulinda status yake asionekane ALIKUWA MSALITI...maisha ya siku hizi hata huyo MWANAMKE hakubali NDOA mpaka UMGEGEDE kwanza,,,ajiridhishe na UANAUME WAKO KWNZ,,,hakuna ndoa bila kuonjana kwanza.. Kuna wengi waliolewa bila kuonjwa mwisho wa siku kelele na malalamiko yanaanza mara MUME KIBAMIA,,mara mume kumbe hawezi kazi, ,mume ni shoga...mwishowe lawama zinaangukia kwa mke....kwann uolewe na mwanaume humjuwi?Na hilo ndy swali la msingi analoulizwa mwanamke na wazee wake,,,baada ya kupokea posa.. JE HUYU MWANAUME UNAMJUWA? ukijibu ndyo maana yake washajuwa hawa ni wapenzi na wanajuana....na akisema SIMJUWI..ndy hapo watakapotaka kujiridhisha kwnza ni mwanaume wa aina gn? So mm napinga kwmba zamaradi hakuwahi kugegedwa na huyo JAMAA kabla ya ndoa....ajitetee vingine na sio kutudanganya MIDUME NA MIDEVU YETU..kwenye usaliti hili HAKWEPI.....alikuwa msaliti
 
Huu ni uwongo hata kama mnanchukia Makonda hawezi kufanya huu ujinga , eti akupe Milion Mia bila kuifanyia kazi??? Kisa kumkomoa mtu??? Hii ni most Expensive tea wengi sana utawanywesha japo ni ghali na wengi watainunua
 
Sidhani hata kama anaweza kukanyaga pale kwa hali ilivyo.Kwanza mlinzi gani atamfungulia geti huyo mlinzi hajipendi??
Ruge ni mtu anaetumia akili na kulinda biashara zake siziingie doa, hapo clouds hatamfukufa labla atamhamisha kwenye studio nyingine akakae na kina Idris.... Ila siyo kumfukuza kazi

Akimfukuza kazi itakuwa katumia mamlaka yake vibaya na atajishushia heshima na pengine makampuni ya udhamini yakajitoa kufanya kazi ya clouds.....

Ruge hapo lazma acheze kama Pele...
 
Mjini kutamu sana mara paap miaka 90 hiyo bado unafatilia umbea
Haaa haaa....binafsi kuanzia Leo najiondoa mitandaoni...

Mara paap 60 hiyo inagonga niko Insta[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamani naomba kuuliza, umalaya huu wa Ruge ulianza baada yakuwa na Zamaradi au na Zamaradi ni miongoni mwa hao wateja wa umalaya wa Ruge??
Zama ni miongoni
 
Haaa haaa....binafsi kuanzia Leo najiondoa mitandaoni...

Mara paap 60 hiyo inagonga niko Insta[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umbea mtamuu usikuhusu Lkn
 
ais wa Jamhuri anasemaje kuhusu ili?
 
nimecheka..eti feza kesi alivalishwa pete mbele ya sanam st peters, fina mango alipelekwa hadi kwenye makaburi ya ukoo! haa haaa Mange sio mzima walahi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mange mjinga jamani, awe anafikiria damage za wengine hahah ye anatapika yote
 
It's true mwache ni binti wa watu aendelee na maisha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…