Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

Basi wewe ni Soud[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umeandika kama ulikuwepo
 
mhmh Tz ¿¿¿¿ najuta kuzaliwa carne hizi,,,,,
 
Kamuue sasa mmetuchosha na kutisha kwenu
 
Acha kutisha watu. Hakuna anayeishi milele. Nchi hii inahitaji viongozi wenye maono ili tuweze kutoka hapa tulipokwama, sio viongozi wa kukimbizana na watu wasiowashangilia huko mitaan na mitandaon.

DAB anatisha sana na kwa sasa yuko juu, lakin baada ya miaka 10 tu, atakuwa kama watu wengine tulio chini huku.
 
ni afadhali ukutane na dubu mwenyehasira kuliko mp*m#af$ katika up*m#af$ wake..
 
Acha kutishia watu kwenye mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…