Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hongera zake kwa KUOA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mange kashaamka huko......kasema anaingia chimbo akitoka ubuyu wote utakuwa mubashara kabisaunawashwa wewe
Aingie chimbo au Ndo alulize wasaliti wenzake.mange kashaamka huko......kasema anaingia chimbo akitoka ubuyu wote utakuwa mubashara kabisa
Mission Town akaambiwa na Bashite, Haya sasa Sema nini unataka? Jamaa akamjibu akamwambia tumepanga kufunga ndoa mwisho wa mwezi wa kumi na moja 2017 na budget nayotakiwa kuitoa ni milioni 65, binafsi Sina hata theluthiiiii, Bashite akacheka ho ho ho ho pesa ndogo sana hyo, mm nitatoa hata milioni 100, Mission Town akapigwa na Bumbuwazi la furahaaa, sasa wakati anachekelea Bashite akasema "Nitatoa hiyo hela kwa Sharti Moja tu" ehe "Nataka Sherehe ziwe mbili, hyo ya mwezi wa kumi na moja ifanyike, Ila Ndoa nataka ifungwe wiki hii Ijumaa siku ambayo Ruge Anafanya Fiesta yake Tabora kwanza itavuruga promo ya fiesta na tutengeneze propaganda Kama Ruge kachezea shilingi chooni, na tutatumia Baadhi ya Page za watu wetu mtandaoni kusambaza Taarifa Hizi, Safari Hii hata Yule Dada wa Marekani atam'bamiza Ruge shabashhhh" Mission Town akashtuka moyoni Waaaaaaaaat? Bashite akaanza kutumia kofia yake ya Ufalume na Amri zake utasema yupo kwenye Semina za udhalilishaji za "Mji Mpya" zile Mara anaamrisha mzee flani afungwe, Bashite akamwambia Bwana Mission Town, Nataka Ndoa ifanyike ijumaa Hii hapo hapo Bashite akashika simu na kumpigia simu Tajiri mmoja alete milioni 25, Baada ya Dakika kama 50 Naaaa Mzigo ukaletwa kwenye mifuko ya Rambo, Mission Town akaaambiwa Haya Chukua hii na Usimwambie mtu yeyote kama mm nipo nyuma ya tukio hili, na ukikamilisha Kazi Hii Nakupa Pesa nyingine kwa ajili ya Sherehe kubwa ya MWEZI wa 11 tumwaibishe Ruge
.
Basi Mission Town Vuup akatoka mkuku Hadi kwa Zamaradi na kujifanya Ana Kiu ya kuhalalisha mahusiano yao eti Wafunge Ndoa Fasta kwasababu ni jambo jema huku akinukuu Maneno ya vitabu vya Dini, Kwa kuwa Zama alikua na Kiu cha Kuolewa Mara Paaaap Wakapita huku wakapita kulee Mpaka kwa Kaka wa Zamaradi Mara Paaap
ahahaaa aiseemange kashaamka huko......kasema anaingia chimbo akitoka ubuyu wote utakuwa mubashara kabisa
Na mimi leo nimekuwa mbea ati![emoji28][emoji28][emoji28]ahahaaa aisee
hahahaha cdhani kama ni kwel,million 65 itoke kwa ajili ya kumkomesha Fulani??!! teh teh teh huu ubuyu sudi auongezee sukari kidogo aseee bado haujaniingia akilin,au hawakupnd zama kuolew na mtu mwngn!!dooh kumbe mtonyo wooote wa ndoa katoa bashite? dunia ina mambo hii!!
mwenzangu isijekuwa wanataka kumkomoa zama tu na hiyo ndoa yenyewe aione chunguhahahaha cdhani kama ni kwel,million 65 itoke kwa ajili ya kumkomesha Fulani??!! teh teh teh huu ubuyu sudi auongezee sukari kidogo aseee bado haujaniingia akilin,au hawakupnd zama kuolew na mtu mwngn!!
wamuache dada wa watu ndoa ynyw haina hata wiki ishaanz kutiwa nuksi..!!
nadhani ndo lengo lao,maana hata hiyo picha aliyopost zama inaonyesha wanapenda na ci kama sudi anavyosema kwamba kaka wa zama ndo kalazimisha ndoa ifungwemwenzangu isijekuwa wanataka kumkomoa zama tu na hiyo ndoa yenyewe aione chungu
Awamu iliyopita kila kitu ilikuwa riz awamu hii makonda nadhani awamu ijayo kila kitu watasema ni kidagandaUONGO MBAYA KILA KITU MNAMSINGIZIA MAKONDA KHEEEE SAKATA LA LISSU MAKONDA ANATAJWA,KUOLEWA KWA ZAMARADI MAKONDA YUPO. MAKONDA KAGEUKA SUPERMAGIC KWA KILA KITOKEACHO MJINI AISEEEE
Unajua miss Natafuta baadhi yetu tumeweka mbele kuolewa haijalishi unaolewa na nani ndoa si kitu cha kujaribu unatakiwa uwe umeamua kabisa kwamba now Niko tayari kuishi maisha ya ndoa na usiolewa kisa unamkomoa your X utaumia ww na si X wakoMission Town akaambiwa na Bashite, Haya sasa Sema nini unataka? Jamaa akamjibu akamwambia tumepanga kufunga ndoa mwisho wa mwezi wa kumi na moja 2017 na budget nayotakiwa kuitoa ni milioni 65, binafsi Sina hata theluthiiiii, Bashite akacheka ho ho ho ho pesa ndogo sana hyo, mm nitatoa hata milioni 100, Mission Town akapigwa na Bumbuwazi la furahaaa, sasa wakati anachekelea Bashite akasema "Nitatoa hiyo hela kwa Sharti Moja tu" ehe "Nataka Sherehe ziwe mbili, hyo ya mwezi wa kumi na moja ifanyike, Ila Ndoa nataka ifungwe wiki hii Ijumaa siku ambayo Ruge Anafanya Fiesta yake Tabora kwanza itavuruga promo ya fiesta na tutengeneze propaganda Kama Ruge kachezea shilingi chooni, na tutatumia Baadhi ya Page za watu wetu mtandaoni kusambaza Taarifa Hizi, Safari Hii hata Yule Dada wa Marekani atam'bamiza Ruge shabashhhh" Mission Town akashtuka moyoni Waaaaaaaaat? Bashite akaanza kutumia kofia yake ya Ufalume na Amri zake utasema yupo kwenye Semina za udhalilishaji za "Mji Mpya" zile Mara anaamrisha mzee flani afungwe, Bashite akamwambia Bwana Mission Town, Nataka Ndoa ifanyike ijumaa Hii hapo hapo Bashite akashika simu na kumpigia simu Tajiri mmoja alete milioni 25, Baada ya Dakika kama 50 Naaaa Mzigo ukaletwa kwenye mifuko ya Rambo, Mission Town akaaambiwa Haya Chukua hii na Usimwambie mtu yeyote kama mm nipo nyuma ya tukio hili, na ukikamilisha Kazi Hii Nakupa Pesa nyingine kwa ajili ya Sherehe kubwa ya MWEZI wa 11 tumwaibishe Ruge
.
Basi Mission Town Vuup akatoka mkuku Hadi kwa Zamaradi na kujifanya Ana Kiu ya kuhalalisha mahusiano yao eti Wafunge Ndoa Fasta kwasababu ni jambo jema huku akinukuu Maneno ya vitabu vya Dini, Kwa kuwa Zama alikua na Kiu cha Kuolewa Mara Paaaap Wakapita huku wakapita kulee Mpaka kwa Kaka wa Zamaradi Mara Paaap