Kwenye maelezo nimeona ETI ZAMARADI hakuwahi fanya chochote na bwana MESHION TOWN...huo ni uongo mkubwa..labda ZAMARADI alitaka kulinda status yake asionekane ALIKUWA MSALITI...maisha ya siku hizi hata huyo MWANAMKE hakubali NDOA mpaka UMGEGEDE kwanza,,,ajiridhishe na UANAUME WAKO KWNZ,,,hakuna ndoa bila kuonjana kwanza.. Kuna wengi waliolewa bila kuonjwa mwisho wa siku kelele na malalamiko yanaanza mara MUME KIBAMIA,,mara mume kumbe hawezi kazi, ,mume ni shoga...mwishowe lawama zinaangukia kwa mke....kwann uolewe na mwanaume humjuwi?Na hilo ndy swali la msingi analoulizwa mwanamke na wazee wake,,,baada ya kupokea posa.. JE HUYU MWANAUME UNAMJUWA? ukijibu ndyo maana yake washajuwa hawa ni wapenzi na wanajuana....na akisema SIMJUWI..ndy hapo watakapotaka kujiridhisha kwnza ni mwanaume wa aina gn? So mm napinga kwmba zamaradi hakuwahi kugegedwa na huyo JAMAA kabla ya ndoa....ajitetee vingine na sio kutudanganya MIDUME NA MIDEVU YETU..kwenye usaliti hili HAKWEPI.....alikuwa msaliti