Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

Zamaradi: Niacheni na mishentown wangu

Kwenye maelezo nimeona ETI ZAMARADI hakuwahi fanya chochote na bwana MESHION TOWN...huo ni uongo mkubwa..labda ZAMARADI alitaka kulinda status yake asionekane ALIKUWA MSALITI...maisha ya siku hizi hata huyo MWANAMKE hakubali NDOA mpaka UMGEGEDE kwanza,,,ajiridhishe na UANAUME WAKO KWNZ,,,hakuna ndoa bila kuonjana kwanza.. Kuna wengi waliolewa bila kuonjwa mwisho wa siku kelele na malalamiko yanaanza mara MUME KIBAMIA,,mara mume kumbe hawezi kazi, ,mume ni shoga...mwishowe lawama zinaangukia kwa mke....kwann uolewe na mwanaume humjuwi?Na hilo ndy swali la msingi analoulizwa mwanamke na wazee wake,,,baada ya kupokea posa.. JE HUYU MWANAUME UNAMJUWA? ukijibu ndyo maana yake washajuwa hawa ni wapenzi na wanajuana....na akisema SIMJUWI..ndy hapo watakapotaka kujiridhisha kwnza ni mwanaume wa aina gn? So mm napinga kwmba zamaradi hakuwahi kugegedwa na huyo JAMAA kabla ya ndoa....ajitetee vingine na sio kutudanganya MIDUME NA MIDEVU YETU..kwenye usaliti hili HAKWEPI.....alikuwa msaliti
Hahah hii comment imenikumbusha mbali sana
 
Story ndefu mkuu, ila wazazi wanaona mbali sana
Ni kwl...ndy maana unaulizwa hyu mchumba mnajuwana?ukisema namjuwa basi hapo umewarahisishia kazi.maana wanaogopa kumpeleka mtoto wao shimoni...maana anaweza akaja mtu so smart kumbe maisha yake hayaeleweki....kuna mwanamke alishawahi kuolewa na jamaa wakakaa miezi sita DUME halitaki liguswe na mkewe..na siku mke atakayomvua suruali..mke anapigwa vibao..kesi ikafika kwa wazazi....jamaa akaombwa talaka anasema yeye anajuwa kuoa tu..kuandika talaka hajuwi..sasa usumbufu wote wa nn huo?ndy maana watu wanaonjana kwanza..isije ukaolewa na MWANAMKE MWENZIO...au ukaolewa na DUME lenye KIBAMIA,,au ukaolewa na mtu ana MGUU wa mtoto mdogo kiunoni....hatari sana mkuu...kuonja ni lazima haina jinsi
 
Ikifungwa na stress hizi za baba jesca tutaishije 😀😀😀😀
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] yani kabla ya kumshukuru Mungu nimeamka salama, nimeanza kwanza insta kwa mange, hapo ndio nikaamini mitandao inaniharibu
Yani tunapunguzia machungu huko lol
 
Ni kwl...ndy maana unaulizwa hyu mchumba mnajuwana?ukisema namjuwa basi hapo umewarahisishia kazi.maana wanaogopa kumpeleka mtoto wao shimoni...maana anaweza akaja mtu so smart kumbe maisha yake hayaeleweki....kuna mwanamke alishawahi kuolewa na jamaa wakakaa miezi sita DUME halitaki liguswe na mkewe..na siku mke atakayomvua suruali..mke anapigwa vibao..kesi ikafika kwa wazazi....jamaa akaombwa talaka anasema yeye anajuwa kuoa tu..kuandika talaka hajuwi..sasa usumbufu wote wa nn huo?ndy maana watu wanaonjana kwanza..isije ukaolewa na MWANAMKE MWENZIO...au ukaolewa na DUME lenye KIBAMIA,,au ukaolewa na mtu ana MGUU wa mtoto mdogo kiunoni....hatari sana mkuu...kuonja ni lazima haina jinsi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] eti sijui kuacha dah...
Basi mimi nilijibu hatujuani, yule jamaa alitimuliwa kipindi kile sikuwaelewa, ila jamaa alikuwa yahaya ningekuwa nimechakaa tu huko
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] eti sijui kuacha dah...
Basi mimi nilijibu hatujuani, yule jamaa alitimuliwa kipindi kile sikuwaelewa, ila jamaa alikuwa yahaya ningekuwa nimechakaa tu huko
Duu..alitakiwa aonje mkuu...asingefukuzwa
 
Kumbe huwa unanifuatilia ee nice my silent follower,Sijuagi kuact mkuu.
Izo presumptions tu, you can't relate to people that way, ur not too special iyo inaitwa self centeredness,... Kuna dunia kubwa haikuzunguki wewe, kwa iyo kaa na watu ule vya watu,
 
Baba ushauri sihitaji huduma yako ee.
Izo presumptions tu, you can't relate to people that way, ur not too special iyo inaitwa self centeredness,... Kuna dunia kubwa haikuzunguki wewe, kwa iyo kaa na watu ule vya watu,
 
WAKUU, DADA ZETU WANATAMANI SANA KUOLEWA LAKIN HAWAOLEWI. MSIMSHANGAE ZAMARADI, UMRI UMEKWENDA, KILA KITU ANAONA ANACHO ILA KWA IMAN YAKE YA DIN ANAONA AMEKOSA KITU MUHMU, YANI NDOA.. HAPO HATA MUUZA MKAA ANGEAHD NDOA ANGEMPATA ZAMARADI.

HALAFU HLI LA KUMSINGZIA BASHITE SIDHAN KAMA NI KWELI.
 
Back
Top Bottom