Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa hofu ya kuenea kwa COVID-19

Who will bleach...
Who will breach...

That letter is possibly fake just by that error of one letter.
 
Kuna nchi zitawataadharisha wananchi wao wasije Tanzania kutalii, apo ndo jiwe ataelewa Kuna watu wako serious
 
Ninavyomjua Jiwe atampigia simu Lungu kumsihi afungue mpaka na kuonesha mbele ya vyombo vya habari kuwa Zambia haina nia ya kufunga mpaka wake na Tanzanzania bali tangazo hilo lilitolewa na wahuni kwa nia ya kuharibu uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo.
 
Wabongo ni wavivu balaa, yaani mijamaa badala ya kupiga kazi inawaza ilale ndani..

nchi zote walio kaa ndani wataondoa hiyo lockdown yao tu hakuna namna, ujerumani wanaforce shule zifunguliwe mwezi huu kama siyo week hii
Kwani Nani alikuambia lockdown itakaa milele
 
Mbona hicho kinachotaka kufanywa na Zambia kinaelekeana na moja ya options anazozifikiria Museveni? Museveni amesema kuwa option mojawapo anayoifikiria ni madereva wa malori toka Tanzania waishie pale mpakani. Toka mpakani malori yaendeshwe na Waganda kuingia ndani ya Uganda. Hivyo wasafirishaji watatakiwa kuwa na madereva wawili, mmoja wa kuwepo Tanzania, na mwingine ndani ya Uganda.

Option ya pili wapimwe mpakani halafu waruhusiwe kuendelea ndani ya Uganda lakini wasichangamane na yeyote, waende mpka kituo kitakachokuwa kimepangwa, wasubirie majibu. Ukiwa positive, unaishia hapo hapo. Ukiwa negative, unaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hao kunguni watakuchosha tu bure hawana chochote wanachokijua
 

Acha watutenge hawa ila sisi tukiwatenga nao watalia na kusaga meno, ila sisi tutapona kabla yao maana maabukizi yanatoka kwao kuja kwetu kwa hiyo wakijitenga sisi tutabaki kutibu masalia tu.
 
Hii ngoma niyazungu,MUNGU ameamua kuonyesha utukufu wake,angalia wazungu wanavyo teseka,sisi hatuna uwezo wa kujikinga au kuwa makini Kama wazungu,lkn kitu bado kimekomaa nao tuu,eti nchi za kiafrica zinaweza kujilockdown!eti Kenya lockdown ni usiku tuu machana watu wanatembea,(maajabu) Italia waliamua ku unlockdown baada ya kuona uchumi unaelekea kukwama,MUNGU angetuletea kitu original Kama cha marekani mbona tungeisha wafrica wote..MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI ANDELEA KUTULINDA(AMINA)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo ni wavivu balaa, yaani mijamaa badala ya kupiga kazi inawaza ilale ndani..

nchi zote walio kaa ndani wataondoa hiyo lockdown yao tu hakuna namna, ujerumani wanaforce shule zifunguliwe mwezi huu kama siyo week hii
Plan ya kuondoa Lockdown ilikuwepo wakati wanaweka Lockdown, aim ilikuwa kuflatten curve ya maambukizi halafu wana ease Lockdown.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Out of order soma vizuri hiyo barua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata.

Wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
Wenzetu wakimaliza corona? Duuh! Hivi mkuu hukuwahi kujiuliza kwa nini nchi kubwa za dunia ya kwanza zilishindwa kuzuia ugonjwa huu usingie kwao then wakasubiri uingie ndio wafungie watu ndani?

Amini amini nakuambia kama corona itaisha Zambia, Kenya, Burundi, Rwanda nk na Tanzania pia itaisha. Kama ambavyo ilivyoanza China hakuna aliyeweza kuizuia isiingie nchini kwake vivyo hivyo hakuna atayeweza kuzuia corona ishishe Tanzania wakati dunia nzima imeisha.

Ni Mungu pekee ndio mwenye kujua corona itaisha lini duniani. Hata sasa njia tunazotumia kuudhibiti huu ugonjwa kisayansi tunaita trial and error, hakuna mwenye huwakika na njia yake, ndio maana kuna wengine hufanya total lockdown wengine partial lockdown, wengine wameanza kufuta lockdown na wengine hawakufanya lockdown kabisa. Wote hawa wanaweza kuwa sahihi kwa namna moja ama nyingine maana hakuna mwenye huwakika na njia yake.
 
Hata hili litapita kama Ebola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…