Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

We ng'ombe soma hiyo appendix 1 uone ni maeneo gani anaenda kupewa malaya wewe View attachment 2680147
We pimbi ni wale wale sawa na maboya wenzako. Unachagua vifungu kutokana na eneo unaloona linakufaa.

Upotoshaji huanzia kwenye tabia kama hizi. Wanasheria wameulezea mkataba huo zaidi ya mara elfu moja kuanzia kifungu cha kwanza mpaka cha mwisho.
 
Umeama tena kwenye hoja world Bank kuungana na wanaokosoa ili tenda wapate western and USA.
USA ndio hao hao World Bank. Wanajua afrika nzima ikisimama na nchi hizi zikaanza kutumia fursa za humu ndani wao wamarekani na waingereza ndio utakuwa mwisho wao.

Hivyo ni lazima wawatumie waafrika wenzetu katika kutumaliza sisi wenyewe kama walivyofanya enzi za mababu zetu.
 
Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!

Kwa comments Hii mjadala umefungwa rasmi
 
Ndo shida ya Kuwa na kiongozi asiye na maarifa.
SIKU zote mwanamke abaki Kuwa chombo Cha Starehe tu siyo Kuwa kichwa[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom