Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Tanzania wapewe vitenge au bazeeRais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.
Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.
Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichaniView attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chiniππ½ππ½View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
Mkuu umetishaπ€£π€£Bora wamebadili maana walikuwa kwa mbali wanaonekana kama kikundi cha fisi.
Mimi nazipa alama 8/10 kwanini 1.zipo huruRais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.
Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.
Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichaniView attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chiniππ½ππ½View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327