Zambia yabadilisha uniform za jeshi la Polisi

Zambia yabadilisha uniform za jeshi la Polisi

Naomba niweke Akiba ya Maneno.
Akiba ya nini,funguka kama hamna kesho,maisha ni leo,kesho sii yako,huamini,ni kukumbusha tu,fikiria juu ya ile kesi mchongo ya ugaidi,zuio haramu la kufanya kazi halali kwa vyama,fikiria manyanyaso ya wa ya kubrushi, na faini zile za mil.25,na mazuio ya magazeti mieli mitatu na wengine daima,vifungo na kesi hewa🤔.
 
😂😂😂😂 bora ata wangeniambia niwasaidie kuchagua kitambaa.
 
Mtoa mada are you sure with what you trying to convince the panel? Zambia kuna police wa magereza na hiyo unayosema ni mpya ndio uniform wanayotumika sasa Napatwa mshangao?
 
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.

Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.

Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.

View attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽

View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
😅😅😅😅😅 Share za ovyo hizi
 
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.

Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.

Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.

View attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽

View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
Hao chini ni wafungwa gerezani?
 
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.

Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.

Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.

View attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽

View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
wanaonekana kama migambo, hata haipendezi. sijajua kilichokuwa kinamkera kwenye uniforms za zamani ni nini? Polisi ni coercive authority, hawatakiwi kuonekana kama warembo.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na hawa wetu inabidi wabadilishiwe.
 
Mtoa mada are you sure with what you trying to convince the panel? Zambia kuna police wa magereza na hiyo unayosema ni mpya ndio uniform wanayotumika sasa Napatwa mshangao?
Hiyo ni uniform mpya ya Zambia Revenue Authority (ZRA) customs officers.

Na sio hawa askari wa kawaida kama watu wengi walivyokubali kuingizwa mkenge.
 
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.

Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.

Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.

View attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini[emoji1427][emoji1427]

View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameona waende na pundamilia
Sijui chuichui
 
Back
Top Bottom