Zambia yabadilisha uniform za jeshi la Polisi

Zambia yabadilisha uniform za jeshi la Polisi

Screenshot_20230401_155057.jpg
 
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.

Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.

Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.

View attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽

View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
Hii sare itakuwa ni ya kipekee duniani kote.
 
Hii topic usije kuta leo ni April mosi kwamba all members in this topic they're fool isipokuwa mimi!.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umejua kunichekesha Walahi na swaumu hii

Nilifikiri bonge la uniform niliposhuka chini daah!

Nikajisemea hawa ni wafungwa ama.

Hapo wafungwa wanatoroka kirahisi sana maana watafanana
Dah! Utafikiri mamba wamepakwa rangi,
 
Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema hatimaye amefanikiwa kubadilisha uniform za jeshi la polisi la nchi hiyo.

Hiyo ni moja kati ya sera yake ya kulibadilisha jeshi la polisi la nchi hiyo katika ufanyaji wake kazi.

Zamani askari walikuwa wakivaa kaki kama inavyoonekana pichani.

View attachment 2572325
Na sasa askaro polisi wa nchi hiyo wanavaa sare kama zinavyoonekana hapo chini👇🏽👇🏽

View attachment 2572326Unazipa alama ngapi chini ya 10 sare mpya za jeshi la polisi Zambia?View attachment 2572327
Teh 😂😂😂 Africa bhana....
 
Siasa nyingi Santa mpk wanaharibu KAZI,anyway hiyo ndo Zambia ya vituko simu zote
 
Kuna nguo moja alishaivaaga fally ipupa sijui ndo kaiga hyo
 
Hata hazipendezi sare gani kama wacheza show wa muziki wa rhumba!
 
Back
Top Bottom