Safi sana, mwendo utakuwa hivi hivi CCM watakapojaribu kutupora ushindi wetu. Utawala wa DHULMA NA KIFEDHULI Sasa basi.Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Inawezkana Hana taarifa hiyoMKUU, HAO WANAJESHI WENGI TU TUNAWASILIANA NAO WAMECHOSHWA NA HII HALI , SUBIRI KIDOGO UTAKUJA KUNIAMBIA . WENGI HAWATAKI KUWAUMIZA NDUGU ZAO NA WAZEE WAO.
WANATAKA IFUATWE HAKI NA WAKO UPANDE WA WANAOONEWA
Hii video ya zamani angalia zile posters za Wagombea!Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
KMKM wakalinde magendo wawaaache Wananchi watoe kipigo kwa CCM kwenye sanduku la Kura
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]serikali kupambana na raia wake badala ya kusikiliza matakwa yao....Sawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age.
Leo na kesho, Askari wa usalama wakianza kutumia chuma, serikali inaanza kuonekana ina matatizo na wananchi wake.
Wananchi Msijaribu kucheza na vyombo vya usalama na askari wake pasipo na sababu ya msingi.Tutawaumiza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]serikali kupambana na raia wake badala ya kusikiliza matakwa yao....
Wewe mburula la mwisho aiseee sijapata kuona
Hata kama hakuna serikali imewahi shindana na raia wake ikashinda. Hakuna msilolijua zaidi ya kujitoa ufahamu.Endapo matakwa yenu yataletwa kwa njia ya amani na haki (Lawful means) hakuna mtu atakayepambana nawe kutumia nguvu.
Tatizo linakuja pale tu unapotumia unlawful means kama vile kuleta fujo na kutumia mawe hapo haki na matakwa gani unayatafuta kama siyo shari tu. Lazima tupambane nao kisawa sawa!
Nchi hii sasa imefika mahali pabaya sana. Huu mchezo wa serikali ya CCM kutumia poliCCM kuzua fujo mitaani ipo siku uvumilivu utafika mwisho na kusababisha mauaji makubwa sana. Inasikitisha CCM bado hawajasoma alama za nyakati na kugundua jinsi chuki kati ya raia na polisi inavyoshika kasi kila kukicha. Wakati huohuo, zingatia kuwa polisi tunakaa nao uraiani na tunafahamu wanapokaa. Itafika wakati hawa watu watashindwa kuishi mitaani. Labda hapo ndipo watakapojua kuwa upumbavu wanaofanya hauwezi kuwaacha salama.Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Kumbe vifaru ni vya CCMPambavu wahedi kweli wewe uende kukalisha makalio yako huko London uwadanganye ndugu zoka wapambane na kifaru cha jeshi kwa mawe.
Kumbe vifaru ni vya CCM
Kwa hiyo unataka wakishambuliwa watoe zawadi ya keki?Tunakoelekea sio kuzuri hata kidogo, na ole wao sasa wavuruge uchaguzi kwani hii ni dalili ya watu kuishiwa uvumilivu.
CC:Jiwe
Wewe si upo bara mbona hujaonyesha huo ushujaa wako😃,nyie wapeni vichwa tu vijana wa watu,hiki si kipindi kizuri hata kidogo,ukifuata mkumbo kipindi hiki utajutia sababu hata vyombo vya ulinzi vipo kwa ajili ya kuwalinda wapenda amani,nyie wachache hamuwezi kuhatalisha usalama wa wengine.Wazanzibari - kofia kwenu. Shikilia hapo hapo. Bado kitambo tu, kutapambazuka. Mbarikiwe sana kwa ujasiri wenu. Na hawa waoga wa Bara watajifunza kitu toka kwenu.
Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185