Zanzibar imetoa wapi mahela yote yale mpaka bajeti imeongezwa mara 2: Samia ametuuza

Zanzibar imetoa wapi mahela yote yale mpaka bajeti imeongezwa mara 2: Samia ametuuza

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Baada ya kifo cha Magufuli Zanzibar imekuwa na mabadiliko makubwa kiuchumi, barabara zumepigwa lami nyingi sana. Hawajaanza kuchimba mafuta, zile pesa wamezitoa wapi? Ji ukweli Samia kuna namna amefanya, pesa zetu inajenga Zanzibar ndio maana wanataka kumwongezea Mwinyi muda wa uongozi.
Ni wazi wazanzibari wakipata maendeleo hakuna muungano.
Huu muungano km wazanzibari hawataki serikali moja uvunjwe, hatuwezi kuogopa maskini wasio na faida na sisi. Sijawahi ona tajiri akimwogopa maskini
 
Type hizo figure za mwanzo na zilizoongezeka ili Uzi unoge zaidi
 
Kwani hawakuwa na hayo mahela mwanzoni? Unajua huko hazinani Kizimkazi ina akiba ya shi'ngapi?

Au unamzungumzia yule Sam Mahela?

Kwa kukukumbusha tu, kuandaa bajeti na kutekeleza mikakati ya bajeti ni vitu viwili tofauti.

Ndiyo maana party watu wanapanga iwe ya 10M lakini output utakuta ni nakisi ya laki au hata elfu 20.

Labda cha kuwashauri tu taifa letu pacha na pendwa la Zanzibari, hebu wema wao usizidi uwezo walio nao.
 
Kazi kweli kweli! Kwa hiyo Muungano upo kwa sababu Zanzibar haina maendeleo?
Kama ni hivyo tupambane tupate Tanganyika yetu.
 
Wewe ndiyo unagundua leo! Mbona kitambo sana mlishauzwa!!
 
Na tukiacha muungano tutaanza we wa kigoma,huyu wa songea,mimi wa dar
tutapata laana ya milele sie wa temeke nyie wa kinondoni
sisi wa mbagala nyie wa buza
laana itakula mpaka vizazi visivyo hatia
muungano haunisaidii chochote pia haujawahi kunipa hasara
so binafsi naona umoja ni kitu nuhimu bila kuanza kubaguana kwa origin
 
Mkopo wa COVID-19 na ule wa athari za mazingira sehemu ilienda Zanzibar,ila sidhani kama watalipa itakuwa kama deni la Tanesco (serikali ya Tanganyika iliwalipia)
 
Back
Top Bottom