Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Inabidi watuambie maana kwa mimi mtanganyika sioni umuhimu kwakuwa mm nikitaka kuishi zanzbar siruhusiwi kununua eneo wakati yeye anaruhusiwa kununua eneo lolote huku bara why ?alaf cha ajabu sasa kila wakikaa kikao kuhusu changamoto za muungano wanajadil zile ambazo zinaonekana tatzo kwa Zanzibar inaonyesha upande wa bara kama vile wanalazimisha muungano labda kwa kuna sababu ambazo sisi wananch hatujui,na kusema et jina ndio mojawapo ya faida haina faida sana kwa sababu bila neno tanganyika kuwepo ata ile neno tanzania lisingekuwepo so labda tusingeungana lingebak tanganyika au lingetoa jina lingne na jina halina athari kiuchum au kimaendeleo
Iko hivi,ukiona upande fulani unataka kujitoa kwenye muungano kisha upande mwingine unang'ang'ania muungano uendelee,basis elewa kuwa ANAYETAKA KUJITOA ANAFANYA HIVYO KWAKUWA AMESHAONA MUUNGANO UNAMNYONYA ila YULE ANAYEUNG'ANG'ANIA ANAFANYA HIVYO KWAKUWA YEYE NDO ANAFAIDIKA HASWA NA HUO MUUNGANO.Iyo sio kwa zanzabar tu ni ngumu sana ktu kikiwa pamoja au kikiungana kutaka kujitenga si kaz ndogo ,mfano angalia tigray au catalunya na kwingneko
Jina la baba yangu linahuzunisha??Mkuu Zanzibar inachangia Jina maana hebu piga picha tu Tungeendelea kuitwa "Tanganyika" jina lenyewe linahuzunisha kabisa
Akishakupata jibu hapo ameshapata majibu ya maswali yakejiulize
unahisi kwa nini bara ndio wanautaka muungano kuliko wa zenji!!?
Labda hujaelewa, msaada wowote wanaoomba Zanzibar, hauendi Zanzibar moja kwa moja kama walivyoomba ni lazima upitie kwenye Jamhuri ndipo Zanzibar wapatiwe kistahiki kulingana na mgawanyo! Sasa kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe msaada wanaoomba Zanzibar usiende Zanzibar kwa walengwa moja kwa moja.Kumbuka sisi ni Tanganyika wala si Tanzania. Katika Tanzania, na Zanzibar wamo.
Sasa kama msaada waja kwanza Tanzania halafu tena sehemu yaenda Zanzibar, huoni kuwa Zanzibar wao wanapata mara mbili hali sisi hamna kabisa.
Kinachokwenda Tanganyika kipo wapi?
Au nasema uongo ndugu zangu?
"Na huu ndio ukweri wenyewe"Kumbuka sisi ni Tanganyika wala si Tanzania. Katika Tanzania, na Zanzibar wamo.
Sasa kama msaada waja kwanza Tanzania halafu tena sehemu yaenda Zanzibar, huoni kuwa Zanzibar wao wanapata mara mbili hali sisi hamna kabisa.
Kinachokwenda Tanganyika kipo wapi?
Au nasema uongo ndugu zangu?
Jumlisha hiyo misada iliyopatikana kisha Toa gharama wanazotumia wazenj kuanzia utosini hadi ncha ya kidole cha kushoto kama kwenye bando kuna salio inua Kidole[emoji56]Zanzibar wanapoomba msaada kutoka nje ya nchi lazima msaada ule upite tanganyika kwanza uvhukuliwe nusu na robo thn znz ndio wanapata kilichobaki, TRA kukusanya mapato ikiwemo sector ya utalii znz
Sent from my SHARK MBU-H0 using JamiiForums mobile app
Labda hujaelewa, msaada wowote wanaoomba Zanzibar, hauendi Zanzibar moja kwa moja kama walivyoomba ni lazima upitie kwenye Jamhuri ndipo Zanzibar wapatiwe kistahiki kulingana na mgawanyo! Sasa kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe msaada wanaoomba Zanzibar usiende Zanzibar kwa walengwa moja kwa moja.
Mambo ya Muungano yalikuwa 11, hadi sasa yamefika 24.
Zanziba kimsingi inapaswa iwe mkoa moja au miwili. Kiuchumi haina tija ila kisiasa. Ukiangalia ni wazanzibari wangapi wanaishi bara utakuta ni hasara tu. Hawana tofauti na magabacholi wengine. Nyerere alipenda sana kuunganisha Afrika akashindwa na kuunganisha nchi yake na kiraka cha matatizo. Hata hivyo, ukiwaacha waondoke kwenye muungano ima watarejea kwenye utumwa wa waarabu au watamalizana kwa kuchinjana baina ya wazanzibara na wazanzirabu aka wapemba.Moderators. Sioni sababu ya kuufuta Uzi huu au kuulazimisha kuunga sehemu nyingine.haujakosea kitu.
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Zanzibar kuna ofisi za TRA wanawakusanya kodi halafu zinaenda kutumika kwa maendeleo ya Tanganyika.,Moderators. Sioni sababu ya kuufuta Uzi huu au kuulazimisha kuunga sehemu nyingine.haujakosea kitu.
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Mama anatakiwa aongoze nchi kwa haki. Hizo hela zingerud zilikotoka. Kama kuna sehemu ilitokea Zanzibar basi irudi hivyo hivyo. Juzi kwenye Hotuba yake alisikika akisema kua Bandari inaweza ikajengwa popote, na akataja eneo mojawapo pia la Zanzibar sikumbuki wapi. Lakini tujiulize je hilo eneo liko kwenye bajeti au mafikirio ya kujenga Bandari?Moderators. Sioni sababu ya kuufuta Uzi huu au kuulazimisha kuunga sehemu nyingine.haujakosea kitu.
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Yule mfu wenu mbona alikuwa anapendelea kwao, na hamkusemahuyu mama nchi itamshinda mapema kama ataendelea na huu ujinga aloanza nao
Tokea mapinduzi wazanzibar wamekuwa wakikusanya kodi kupitia TRA halafu zinaenda kutumika kule Tanganyika unyamwezini, zanzibar haifaidiki na kodi hii ata shilingi 1., lakini pia kumbuka BOT msingi wake Zanzibar ndio walitoa fedha zao nyingi kuanzishwa kwake laki leo BOT inafanywa kuwa ni zao la Tanganyika tu.,Zanziba kimsingi inapaswa iwe mkoa moja au miwili. Kiuchumi haina tija ila kisiasa. Ukiangalia ni wazanzibari wangapi wanaishi bara utakuta ni hasara tu. Hawana tofauti na magabacholi wengine. Nyerere alipenda sana kuunganisha Afrika akashindwa na kuunganisha nchi yake na kiraka cha matatizo. Hata hivyo, ukiwaacha waondoke kwenye muungano ima watarejea kwenye utumwa wa waarabu au watamalizana kwa kuchinjana baina ya wazanzibara na wazanzirabu aka wapemba.
Muungano hauna faida Kwa watanganyika. Faida ipo Kwa wazanzibar tuuNatalie faida ata mbili tu ambazo mimi mkazi wa Rorya huku Mara nazipata kwa sababu ya huu unaoitwa muungano