Zanzibar inachangia nini kwenye Serikali ya Muungano? Isije ikawa wanatumia Kodi za Bara

Zanzibar inachangia nini kwenye Serikali ya Muungano? Isije ikawa wanatumia Kodi za Bara

Zanzibar ni Tanzania km ilivo chato. Kwani chato walikia wanachangia nn hasa taifa hili zaidi ya kutuletea dikteta na mharibifu wa uchumi wa nchi?

Km ww ni liccm kaa kwa kutulia tulii
 
Mama anatakiwa aongoze nchi kwa haki. Hizo hela zingerud zilikotoka. Kama kuna sehemu ilitokea Zanzibar basi irudi hivyo hivyo. Juzi kwenye Hotuba yake alisikika akisema kua Bandari inaweza ikajengwa popote, na akataja eneo mojawapo pia la Zanzibar sikumbuki wapi. Lakini tujiulize je hilo eneo liko kwenye bajeti au mafikirio ya kujenga Bandari?


Kizimkazi
 
Solu
Kwa logic hii, Kuwait wasiuze mafuta, haiwezekani nchi ndogo kama wilaya ya Tanzania iuze mafuta bei itapanda sana kwao.

Hakuna kitu kama hichi mkuu, zamani Zanzibar ilikuwa center ya biashara, walikuwa na vitu vingi sana na nchi nyingi walienda kufungaShia mzigo kule, ila sisi tumewaminya kwa kuweka sheria zetu za kikoloni, wanachozalisha wao ni Chao wauziane ila tunachozalisha sisi tunaruhusiwa kuwauzia wao, hii Sera imewaacha Hoi taabani viwanda na biashara zao.

Juzi kati nilikua Zanzibar biashara na maduka yamechoka, unakuta tu vikavakava vya simu kama Agre
Solution hapo, Muungano uvunjwe. Wazanzibar wabaki na nchi yao, watakua huru wakijiendesha wenyewe, na sapoti kubwa watapata kutoka mataifa ya nje. Naamini kabsa zanzibar itakua haraka na wazanzibar watafurahia mema ya nchi.
Muhimu mama samia akaenao, awasikilize hoja zao na matakwa yao, na kuwafanyia wanachokitaka.
 
Tanzania inai hold Zanzibar kwa sababu za kiusalama ila sio kwamba inafaidika kwa lolote! Hilo tu ndio hawa viongozi hawalisemi yani!
Acha upumbavu ww, kwamba Zanzibar kuna fujo au usalama wake mdogo? Ww unaongea ivyo but hao waliounganisha na wanaoshikilia muungano uwepo wanajua wanachofaidika,
Kumbe kiasi muibiwe mabilioni ya hela na kinakingwala coz hamujijui mupomupo tu kama mazombi na mtaendelea kuibiwa na CCM mpaka dunia itaisha
 
huyu mama nchi itamshinda mapema kama ataendelea na huu ujinga aloanza nao
Kumbuka sisi ni Tanganyika wala si Tanzania. Katika Tanzania, na Zanzibar wamo.

Sasa kama msaada waja kwanza Tanzania halafu tena sehemu yaenda Zanzibar, huoni kuwa Zanzibar wao wanapata mara mbili hali sisi hamna kabisa.

Kinachokwenda Tanganyika kipo wapi?

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwel kabsa mkuu ujakosea thn watu wenyewe wabaguzi kinoma kwa sisi uku wa bara unapoenda Kule wakt wao uku wako free 2 wanadunda binafs na chukua sana huu muungano haina cha maana kbsa
 
Acha upumbavu ww, kwamba Zanzibar kuna fujo au usalama wake mdogo? Ww unaongea ivyo but hao waliounganisha na wanaoshikilia muungano uwepo wanajua wanachofaidika,
Kumbe kiasi muibiwe mabilioni ya hela na kinakingwala coz hamujijui mupomupo tu kama mazombi na mtaendelea kuibiwa na CCM mpaka dunia itaisha
Sawa mnufaika, atleast nachoelewa ni hicho hayo tu!
 
Hapa ndipo Watanganyika wanapaswa kuelewa!

Pesa za muungano zinatoka hazina Dar ambazo ni kodi za Tanganyika. Hazitoki hazina Zanzibar

Leo Rais anasema zigawanywe pande mbili sawa sawa. Licha ya kwamba si za muungano lakini unagawaje pesa kwa watu 600,000 sawa na milioni 45-50? usawa unatoka wapi hapo? ni 600K kwasababu nusu ya Wazanzibar wanaishi bara, walioko kule ni nusu

Ukitaka kusikia Zanzibar ni pale penye mgao. Katika kuchangia hatuwasikia hata siku moja

Bila Tanganyika itakayoamua mambo yake nje ya muungano, itafika mahali wenzetu wanalala tu kwasababu pesa itatoka bara. Waulizeni , wanachangia nini katika muungano?

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Moderators. Sioni sababu ya kuufuta Uzi huu au kuulazimisha kuunga sehemu nyingine.haujakosea kitu.

Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.

Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.

Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.

Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.

Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?

But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.

Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.

Wanachangia kutoa Viongozi wa kutuongoza sisi WaTanganyika.
 
Moderators. Sioni sababu ya kuufuta Uzi huu au kuulazimisha kuunga sehemu nyingine.haujakosea kitu.

Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.

Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.

Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.

Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.

Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?

But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.

Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Mtikila kila alipowambia mulimuona kichaa, really miss him.
 
BOT msingi wake zanzibar ndio walitoa fedha nyingi za kigeni kuanzishwa kwake leo Tanganyika wanajifaragua na BOT wamesahau msingi wake, TRA inakusanya kodi kule zanzibar lakini zile kodi zinaenda kutumika kwa maendeleo ya Tanzania Bara, hizo fly over zote ni hela za karafuu
Acha kuleta habari zako leta documents hapa
 
Back
Top Bottom