Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

Hilo Jamaa hata si mkristo bali ni Shetwani aliyejivisha ukristo ilimradi tu aupambanie udini wake.

Mkristo gani anasikitika Makanisa kuwa mengi?
 
Kanisa lilizaliwa pale Yesu aliposulibiwa, ndiyo maana katika kitabu cha Matendo imeandikwa wakakusanyika na kanisa, na kanisa ni kusanyiko takatifu
 
Unasema kabla ya Yesu walikuwa na dini gani? Walikuwa wanamwabudu Mungu aliye hai pia wapo waliokuwa wanaabudu miungu
Mungu yupi sasa na Yesu ndy Mungu?
Au hapakuwa na Mungu?

Lazima ieleweke kwamba dini ilikuwapo kabla ya Yesu kuja.

Je ilikuwa dini gn?
Hilo lifanyiwe kazi.
 
Hilo Jamaa hata si mkristo bali ni Shetwani aliyejivisha ukristo ilimradi tu aupambanie udini wake.

Mkristo gani anasikitika Makanisa kuwa mengi?
Injili itahubiliwa tu mpaka upenuni mwa nyumba, na kila goti litapigwa na ulimi utakiri kuwa KRISTO ni BWANA na mwokozi. Hakuna wakuzuia maji kwa mikono.
 
Aliposema hakuja kutengua torati maana yake hakuja kutengua Yale yaliyokuwapo kabla yake.

Je hao akina Moses(mussa) walikuwa dini gn?

Hyo ndy dini ya kweli..
 
Mungu yupi sasa na Yesu ndy Mungu?
Au hapakuwa na Mungu?

Lazima ieleweke kwamba dini ilikuwapo kabla ya Yesu kuja.

Je ilikuwa dini gn?
Hilo lifanyiwe kazi.
Kaanze kusoma kitabu cha mwanzo angalau anzia Mwanzo 12: utaona Mungu alivyokuwa anasema na watu,
 
Aliposema hakuja kutengua torati maana yake hakuja kutengua Yale yaliyokuwapo kabla yake.

Je hao akina Moses(mussa) walikuwa dini gn?

Hyo ndy dini ya kweli..
Halafu nawewe wapi Agano la kale wameandika dini? Wale walikuwa wanapewa maagizo moja kwa moja ukikosea Mungu anakulamba kichwa sahizi fanya dhambi Mungu anakusubilia tu.
 
Halafu nawewe wapi Agano la kale wameandika dini? Wale walikuwa wanapewa maagizo moja kwa moja ukikosea Mungu anakulamba kichwa sahizi fanya dhambi Mungu anakusubilia tu.
Kwahyo hawakuwa na dini?
 
Ila nyie huku bara mnajenga kila sehemu na asubuh mnatupigia kelele zenu na kutukera lakini tunavumila tu. Wakristo mfike mahala mbomoe hizo nyumba za hao wanaoamini kwenye majini wazuri na wabaya.
 
Mpumbavu wewe nyie mnavotupigishia kelele na ving'ora vyenu asubuhi mnahubiria mtaa mzima
Watu wengine hovyo kweli. Na usikute eneo hilo hilo watu wanafungulia mziki mkubwa mpaka kero, unakuta eneo hilo hilo kuna disco na maclub ya ujinga. TAG ni kanisa la kiroho sio manabii matapeli
 
Hapo hapo mtu akiweka kiringe chake utasikia tunaenda kwa mtaalamu ambaye hata kusoma hajui, ila kanisa kelele, ila wakipiga muziki mtu anakoroma mpaka mwisho ila injili kelele duu
 
Kaanze kusoma kitabu cha mwanzo angalau anzia Mwanzo 12: utaona Mungu alivyokuwa anasema na watu,
Nataka ufahamu kwamba dini ya Mungu ilikuwapo kabla ya Yesu.

Je walikuwa wanaabudu Mungu kwa dini ipi?
 
TAG taifa tunategemea askofu atoe tamko la kulaani hata la mdomo tu. pamoja na kwamba, hadi hapo wameshapata ujumbe, kungúteni tu mavumbi ya viatu vyenu mkajenge sehemu nyingine. siku hizi injili inafikiwa kwa nman ambalimbali hadi china wanapata kwa mtandao, hivyo wasifikiri watakwepa kumsikia Yesu Mtenda miujiza. watamsikia sana na siku ya mwisho hawatakuwa na cha kujitetea. hayo magreda yalivyovunja jengo yatawashuhudia.
 
Ni mpaka miaka mitatu iliyopita, Prince Mohamad Bin Salman alipojiamulia kuwe na kanisa lijengwe huko Saudi, uhuru uko wapu hapa mpaka huyo prince aamue.
 
Saudia Arabia wakristo wapo.
Ila ni ngumu kuwakuta miji hii mikubwa MAKA NA MADINA
 
Yule padri mliemmwagia tindikali alikua mpentekoste?
Mbona unahalalisha haramu Kua halali?
 
Unatushauri na Sisi tuanze kuchoma misikiti iliyopo kwenye makazi Yetu?
 
Minaamin Zanzibar iwe nchi ni mzigo kwa Tanganyika sijui kwanin inanganganiwa iwe nchi wapemba wote wa kariakoo warudishwe kwa lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…