Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

Sio nyumba ya ibada ni msikiti wa wayahudi.

Ndy maana vitabu vya dini vinatakiwa visifanyiwe editing.

Kuepuka binadamu kuandika kitu kwa utashi wake.
Acha uongo uyahudu umeanza miaka elfu 3000 kabla ya kristo kabla hata Muhammad hajazilwa mwaka 600 baada ya kristo acha porojo sinagogi ni sinagogi msikiti ni msikiti havina uhusiano wowote
 
Ila haya makanisa yana kelele jamani, hawana ustaarabu kabisaaa. Sauti zinasikika 3 kanisani ila hizo kelele itafikiri mungu wao ni kiziwi. Mchana kutwa na usiku kucha makelele tuuuuu.
Kuna jamaa angu nilimtembelea anakaa goba ikifika ijumaaa hulali Wana Kesha ni makelele usiku kucha nikawa najiuliza inamaa wakisali kwa sauti ndogo Mungu hasikii ni kero sana
 
Zanzibar siyo Tukuyu au Kyela..

Tujaribu kuwaheshimu majirani tunaopakana nao.
 
Kwann dini ya kiislamu huwa inaogopa Sana competition ya kiimani. Je ni dhaifu dhidi ya imani zingine?
Maana ni nature imani yeyeto dhaifu huwa inamezwa na imani imara.
Mfano dini za weupe zilikuwa na nguvu zaidi hadi zikazimeza dini za asili.
dini za magharibu ujanja janja mwingi ili kuteka soko la waumini, halafu ni dini nyepesi zimelegeza makatazo mengi, watu wengi wanapenda urahisi rahisi.
 
Uhuru wa kuabubu ni takwa la kikatiba hakuna ajuaye dhehebu lipi ni sahihi mbele za Mungu, na iman ni hakika ya mambo yatarajiwayo hivyo tusiwanyoshe vidole wenye imani tofauti na sisi kwa kuwaona kuwa wafanyacho wamepotoka.
 
Yapo hapa jirani kwangu ni kelele tu mita Kama 50 hivi kuna kanisa lingine katoliki Wala hakuna mayoe Kama hawa TAG
Kuna moja Hilo. Wanawasha mziki halafu wanaondoka watarudi jioni.
Halafu wachungaji wao wamesomea utapeli sio dini.
Wake za wachungaji nao Wana nafasi kubwa Sana kanisani yaani Kama Salma Fulani hivi.
 
dini za magharibu ujanja janja mwingi ili kuteka soko la waumini, halafu ni dini nyepesi zimelegeza makatazo mengi, watu wengi wanapenda urahisi rahisi.
Dunia sio ngumu,kuishi sio utumwa,Mungu sio dikteta.
 
Wao mbona misikiti inajengwa kila kona...tena kwenye makazi ya watu..lkn watu wala hawajali...
Zile kelele za vipaza sauti mbona tunskausha tu
 
Zanzibar kuna shida. Mwinyi anaanza kupwaya na uchumi wa buluu
 
Jamaa alitaka Yesu ashike chepe. Halafu kwake anajua maana ya kanisa ni nini?
Wakikaa pale Magomeni mwembachai wanadanganyana sana hawa.
 
Sorry mkubwa hivi unayafahamu makanisa ya TAG namna yanavyendesha ibada zao???
 
Ww jamaa unaka ufwala hivi !!!
 
Kuna moja Hilo. Wanawasha mziki halafu wanaondoka watarudi jioni.
Halafu wachungaji wao wamesomea utapeli sio dini.
Wake za wachungaji nao Wana nafasi kubwa Sana kanisani yaani Kama Salma Fulani hivi.
Utapeli upi?
 
ww ni fara sanaa - Who are you to judge people kwa dini zao you stupid piece of shit
 
Kabla ya kushabikia au kulaumu mleta habari ungepaswa kuelezea na kifafanua sababu za kuvunjwa kanisa hilo. Ulivyoandika ni kama uchochezi flani hivi. Any way ukweli utajulikana tu.
Hilo ni kanisa bubu
 
Matumizi ya ardhi yalikuwa ni yapi?
UAMSHO WAMEANZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…