tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Mkristo wa wapi wewe? Kwa hiyo kama wewe umezaliwa mkristo, ukaenda kwenye uislam inabidi uhamie msikitini?Mm Ni mkiristo sioni sababu huyo mtumishi kwenda kufanya ujenzi ktk maeneo ya wanao ishi waislmu yaani unakwenda uarabuni kufungua kanisa hapan aise. usijaribu Imani za watu haondoke Hapo kbsa Tena ashukuru ajapigwa kipigo kikali mnk hvyo yey ndie mchokozi ..watu wasitafute usaw wa kidini hapa
Kenya umewahi sikia muslami kaw rais au hata kiongoz mkuu hkn hvyo vitu sas na huku iwe Hvyo uwez kwenda kufanya ibada Zanzibar Tena siku hz wamestarabika zamani waliwamwagia tindikali .....
Marko 6:3 “HUYU SI YULE SEREMALA, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na maumbu yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake”.Aliyekuambia Yesu Kristo alikuwa fundi ujenzi nani?
Kwann ampendi kuruhusu imani zingine maeneo yenu.Mbona ulaya uislamu ni ruksa, uarabuni Ukristo ni haramuumeongea uongo mzeee
Hawaiamini dini yao...Kwann ampendi kuruhusu imani zingine maeneo yenu.Mbona ulaya uislamu ni ruksa, uarabuni Ukristo ni haramu
Mbona waislamu wana misikiti ipo Ulaya na Marekani na maeneo yenye wakristo wengi na hakuna mtu anawabugudhiMm Ni mkiristo sioni sababu huyo mtumishi kwenda kufanya ujenzi ktk maeneo ya wanao ishi waislmu yaani unakwenda uarabuni kufungua kanisa hapan aise. usijaribu Imani za watu haondoke Hapo kbsa Tena ashukuru ajapigwa kipigo kikali mnk hvyo yey ndie mchokozi ..watu wasitafute usaw wa kidini hapa
Kenya umewahi sikia muslami kaw rais au hata kiongoz mkuu hkn hvyo vitu sas na huku iwe Hvyo uwez kwenda kufanya ibada Zanzibar Tena siku hz wamestarabika zamani waliwamwagia tindikali .....
Unafungwa kivipi, na kamba au jela?Pia miezi michache ijayo kipindi cha mfungo kikianza huwa ni marufuku kwa wakristo kula sehemu za wazi, ukikutwa unafungwa mpaka mfungo uishe, wengine huwa wanapigwa sana
kwa hiyo lina baraka za mamlaka.....Kwani ni jipya hili huko visiwani?
Kwakuwa umeuliza huku dhamira yako ikiwa tofauti moyoni mwako acha nikuelekeze kidogo.
Matayo 16:18-19
18 “Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Hili ni Agizo lake Yesu kwa Petro Na Sasa Jukumu la Petro juu ya mitume 12 linaonekana wazi mbeleni na hapo ndipo mwanzo wa kujengwa kwa Makanisa. Swali lingine...
Huwa ni kawaida mtu wao akiwa rais.Kanisa la t.a.g pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo wakishinikiza kuwa hawataki Kanisa katika eneo lao.
Hii ni kunyume kabisa na sheria za nchi zinazoruhusu Uhuru wa Kuabudu. Kama jambo halitafanyika basi ni wazi kuna kiongozi mbaguzi wa dini anaewalinda wabomoaji na pia hii itachochea sehemu nyingine makanisa na makazi ya wachungaji kubomolewa.
Pia miezi michache ijayo kipindi cha mfungo kikianza huwa ni marufuku kwa wakristo kula sehemu za wazi, ukikutwa unafungwa mpaka mfungo uishe, wengine huwa wanapigwa sana, sasa hapa ni kwamba mtu kama umeamua kufunga kwa imani yako iwaje hutaki kuona wenzako hawali, ni kwamba imani yako no nyepesi sana kuisimamia, kama ni hivyo kuna haja gani ya kufunga.
View attachment 2146530
View attachment 2146523
Kwakuwa umeuliza huku dhamira yako ikiwa tofauti moyoni mwako acha nikuelekeze kidogo.
Matayo 16:18-19
18 “Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Hili ni Agizo lake Yesu kwa Petro Na Sasa Jukumu la Petro juu ya mitume 12 linaonekana wazi mbeleni na hapo ndipo mwanzo wa kujengwa kwa Makanisa. Swali lingine...
Kipindi kikikaribia cha mwezi wa Ramadhani na wakati wa mfungo wa Ramadhani huwa kuna harakati na Visa Visa vya chokochoko za kidini ZanzibarKwani ni jipya hili huko visiwani?
Sasa si uhamie huku uwe unakula mchana liveKanisa la t.a.g pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo wakishinikiza kuwa hawataki Kanisa katika eneo lao.
Hii ni kunyume kabisa na sheria za nchi zinazoruhusu Uhuru wa Kuabudu. Kama jambo halitafanyika basi ni wazi kuna kiongozi mbaguzi wa dini anaewalinda wabomoaji na pia hii itachochea sehemu nyingine makanisa na makazi ya wachungaji kubomolewa.
Pia miezi michache ijayo kipindi cha mfungo kikianza huwa ni marufuku kwa wakristo kula sehemu za wazi, ukikutwa unafungwa mpaka mfungo uishe, wengine huwa wanapigwa sana, sasa hapa ni kwamba mtu kama umeamua kufunga kwa imani yako iwaje hutaki kuona wenzako hawali, ni kwamba imani yako no nyepesi sana kuisimamia, kama ni hivyo kuna haja gani ya kufunga.
View attachment 2146530
View attachment 2146523
Kwakuwa umeuliza huku dhamira yako ikiwa tofauti moyoni mwako acha nikuelekeze kidogo.
Matayo 16:18-19
18 “Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Hili ni Agizo lake Yesu kwa Petro Na Sasa Jukumu la Petro juu ya mitume 12 linaonekana wazi mbeleni na hapo ndipo mwanzo wa kujengwa kwa Makanisa. Swali lingine...
Umejuaje kama ni UAMSHO? Huwa mnaanzisha chokochokoUamsho wameanza tena eeeh? Wasije kuanza kulialia tena wakikamatwa
Una tatizo.Mimi nataka unitajie kanisa lilijengwa na yesu wewe unaleta maagizo ambayo kama yalifanyika yesu mwenyewe hakuwepo?
Kanisa ni nini?Je, una kithibitisho kuwa yesu aliingia kanisani?
Wewe wasema.kwa hiyo lina baraka za mamlaka.....