Siku ikiingia serikali nyingine itabadirisha mfumo tena, yani hakuna mfumo rasmi wa elimu, kila ajaye anafanya anavyoona ni sawa kwake. Hakuna tafiti wala majaribio ya mifumo hii mipya inayopendekezwa.Sijakuelewa, funguka zaidi.
Watasema North Korea wanafanya hivyo, China,na Urusi wana fanya hivyo, basi nasi tunafanya hivyo. Nchi ngumu sana hii.
Nakumbuka huku Bara, mifumo imeshabadirishwa hata sijui huwa wana weka record au la, Profesor kapuya alikuja na yake, Mungai naye alikuja na yake, Dr. Shukuru Kawambwa alikuja na yake, Dk.Ndalichako alikuja na yake, sasa tunaye huyu mpya naye ana yake.
Sijui kwa huko Zanzaibar, lakini hili la kubadili mifumo ya elimu kila siku ni kuwasumbua watoto wetu bila sababu za msingi.