Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

sultan ana kosa gani? je alishawahi kupigwa marufuku kukanyaga zanziber? ana jinai aliyoikimbia kwamba akifika atatiwa korokoroni? amekuwa akiishi nje ya nchi kama mkimbizi na uraia wake wa zanziber bado anao, ni sawa na lisu lema wenje walivyokuwa wakiishi uhamishoni walivyokumbuka nyumbani walirudi kama raia wa kawaida na viongozi wa taasisi zao

kwanza, we hanithi kweli kwahiyo utamfanya nini mama? uliambiwa ni sheha wa mtaa? tena ukome
Natamani kujua kiwnago chako cha elimu na status yako kiuchumi maana siyo kwa upuuzi huu wa kujivua nguo unaoandika hapa. Akili yako imekaa kitumwa na kamwe hutaweza kujisimamia.
 
Natamani kujua kiwnago chako cha elimu na status yako kiuchumi maana siyo kwa upuuzi huu wa kujivua nguo unaoandika hapa. Akili yako imekaa kitumwa na kamwe hutaweza kujisimamia.
badala ya kufanya personal attack, ungefafanua na kukanusha niliyoandika, nachojua sultani aliondoka mwenyewe kutokana na machafuko yaliyotokana na uchaguzi, hakupinduliwa.

sultani alipitia dar na badae kwenda UK akiwa huru, nachojua hakuna mahakama iliyomtia hatiani na hakuna mtu wala taasisi liyomfikisha mahakamani

alishapewa presidential amnesty wakati wa utawala wa salmin na hiyo amnesty haijawahi futwa. sasa gama unazo hoja ziweke tu sio kutukanana na kuvunjiana heshima.
 
The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.

To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.

Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity.
P.
Katika bold italics, ndio ujue upumbavu wa waarabu.
Babu zao waliteka na kuwauza babu zetu.
Hawaliongelei hilo, sasa kibao kiliwageukia tarehe 12/1/1964, ndiyo unaona wanafikiria crimes against humanity.
Utafikiri slave trade waliyoendesha babu zao haikuwa crimes against humanity.
Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.

HYPOCRISY OF THE HIGHEST ORDER.
 
sultan ana kosa gani? je alishawahi kupigwa marufuku kukanyaga zanziber? ana jinai aliyoikimbia kwamba akifika atatiwa korokoroni? amekuwa akiishi nje ya nchi kama mkimbizi na uraia wake wa zanziber bado anao, ni sawa na lisu lema wenje walivyokuwa wakiishi uhamishoni walivyokumbuka nyumbani walirudi kama raia wa kawaida na viongozi wa taasisi zao

kwanza, we hanithi kweli kwahiyo utamfanya nini mama? uliambiwa ni sheha wa mtaa? tena ukome
SAWA mwambie MAMA yako amruhusu akanyage.
 
Familia za Masultani Zanzibar zimesafirisha Waafrika zaidi ya milioni 20 kwenda Utumwani Uarabuni Persia na India, halafu ukijiuliza mbona leo Uarabuni waafrika sio wengi kama Amerika na Brazil kumbe walikuwa wakipondwa Korodani zao ili wasizae ili wafanye kazi tu.

Huyu Sultani akitia mguu akamatwe angalao afie Gerezani.
 
Familia za Masultani Zanzibar zimesafirisha Waafrika zaidi ya milioni 20 kwenda Utumwani Uarabuni Persia na India, halafu ukijiuliza mbona leo Uarabuni waafrika sio wengi kama Amerika na Brazil kumbe walikuwa wakipondwa Korodani zao ili wasizae ili wafanye kazi tu.

Hiyu Sultani akitia mguu akamatwe angalao afie Gerezani.
Akaribishwe noah na mvinyo kwenye hoteli ya kitalii
 
Familia za Masultani Zanzibar zimesafirisha Waafrika zaidi ya milioni 20 kwenda Utumwani Uarabuni Persia na India, halafu ukijiuliza mbona leo Uarabuni waafrika sio wengi kama Amerika na Brazil kumbe walikuwa wakipondwa Korodani zao ili wasizae ili wafanye kazi tu.

Huyu Sultani akitia mguu akamatwe angalao afie Gerezani.
saudia ni jangwa walienda kufanyakazi gani? dont paint a white cat black na kumwita kimburu, watumwa hawakwenda uajemi, walipelekwa kwenye mashamba trinidad haiti tuvalu na florida,
 
Familia za Masultani Zanzibar zimesafirisha Waafrika zaidi ya milioni 20 kwenda Utumwani Uarabuni Persia na India, halafu ukijiuliza mbona leo Uarabuni waafrika sio wengi kama Amerika na Brazil kumbe walikuwa wakipondwa Korodani zao ili wasizae ili wafanye kazi tu.

Huyu Sultani akitia mguu akamatwe angalao afie Gerezani.
utawala wa sultan ndio uliokomesha utumwa ukishirikiana na serikali ya uiengereza, historia haionyeshi kuwa watumwa walipelekwa oman
 
utawala wa sultan ndio uliokomesha utumwa ukishirikiana na serikali ya uiengereza, historia haionyeshi kuwa watumwa walipelekwa oman
Mwingereza ndiye aliyekomesha Utumwa bila Mwingereza Mwarabu angeendelea na biashara hiyo mpaka kesho kiama.
 
utawala wa sultan ndio uliokomesha utumwa ukishirikiana na serikali ya uiengereza, historia haionyeshi kuwa watumwa walipelekwa oman
Baada ya kuvumbua mashine,na kuona sasa watumwa sio dili,,, hawakufanya hivyo sababu waliwahurumia sana watumwa ila ni maslahi,,,,,,na mwarabu angeendelea vipi na biashara ya utumwa wakati wanunuzi walishapata mbadala,,,,....
 
Mwarabu hajavumbua machine yeyote Mzungu ndiye aliyemuuzia.
Nilimaanisha baada ya,wazungu kuingia kwenye mapinduzi ya viwanda walivyovumbua mashine ndo wakaanza kupiga kelele za kusitisha utumwa, na mwarabu alikua dalali kwahio biashara ikafa, wakaanza sasa kutengeneza soko la bidhaa zao zinazotengenezwa na hizo mashine,,,,,kwahio jamaa anavyosema walisitisha biashara ya utumwa, hawakufanya hivyo sababu waliwahurumia watumwa bali ni maslahi tu
 
I hope akija atakamatwa na kuwekwa zoo ili watu wamuone
RIP Sultan Jamshid. Hizi siku 2 zimekuwa ngumu kwako. Umekufa kwa maneno ya watu:-
IMG-20241231-WA0047.jpg
 
Back
Top Bottom