mwarabu ana tatizo gani?Mkuu wazanzibari huwa ni watu wepesi wa kusahau.
Huyo jamaa wanaye mualika kama ngamia, ataingiza kichwa , halafu baadaye watashitukia hela ya mwarabu inawatoa madarakani waafrika,
Believe you me.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwarabu ana tatizo gani?Mkuu wazanzibari huwa ni watu wepesi wa kusahau.
Huyo jamaa wanaye mualika kama ngamia, ataingiza kichwa , halafu baadaye watashitukia hela ya mwarabu inawatoa madarakani waafrika,
Believe you me.
aliyeondolewa madarakani ni waziri mkuu Shamte, na wala nafasi ya sultan hakuna ilipofutwa na hata wakati wa mkoloni hakuwa na mamlaka ya kidola alisafiri tu kama watu wengine wanavyosafiri, na haji kutawala anakuja kuwa ceremonial leader kama chifu wa wahehe au kabaka mutesa wa uganda
we hujui?Niambie , kuna sultani Zanzibar?
Ndo maana nimewauliza waliposema sijui anakuja kuleta upatanishi upatanishi wa nani na nani na yeye anakuja kwa mwamvuli upi maana hana status yoyote kwenye duniaMtu amesha ondolewa madarakani, asiendekezwe, ama sivyo aliyemleta litamtokea puani.
Huyu Jamshe si sultani tena na hana madaraka yoyote kiutawala.
Kuendekeza kumrudisha ktaamsha hasira zilizolala za tarehe 12/1/1964 na maumivu ya utumwa, ubaguzi na maonevu yote.
Kwanini usiwalaumu Machifu wa Kitanganyika waliouza mateka wao kwa waarabu? Kama akina Milambo na Abushiri wasingeuza watumwa ina maana waarabu wasingekuwa na mtu wa kumuuza.Huyo jamaa Jamshed aanze kwa kuomba radhi kwa babu zake kuuza watanganyika kama watumwa.
Na kwa vile usultani alisha vuliwa akaribishwe kama raia wa kawaida.
Sasa unadhani anaweza kuwa Sultan kwa Katiba ipi? Kwanza ZNZ siyo sovereign state, ni sehemu ya muungano wa Tanzania.Majumba yake ya zamani tena? Na nimesoma kuwa anarudi kwenye pwani zake?
Kwa hiyo sultan bado anatambulika kama mtawala au? Na hayo majumba yake bado yanatambulika kama
Mali zake.. basi msiishie kwenye majumba tu mrudishien na milki yake
Huo upatanisho unaosema hiyo ziara itasaidia kurejeshwa ni upatanisho upi yaani mnataka kusema mapinduzi yalikosewa hakutendewa haki.. ikiwa hata huko alikokimbilia (oman) he was nobody kiasi kwamba alifukuzwa huko na akapigwa ban asirudi akakimbilia UK wakamsitiri akawa anaishi portsmouth na familia yake kama mtu wa kawaida hadi mwaka 2020 ambapo ombi lake la kurudi nchini mwake Oman lilikubaliwa kwa shart kuwa hatambuliki kama Sultan bali raia wa kawaida sasa huku mnakomleta kama sultani mnataka mfikishe ujumbe upi.. kwa wanzanzibar na watu wa Oman kuwa je nyie bado mnamtambua kuwa ni Sultan wa Zanzibar au?
Kwa hiyo unaungana na slave traders waarabu?Kwanini usiwalaumu Machifu wa Kitanganyika waliouza mateka wao kwa waarabu? Kama akina Milambo na Abushiri wasingeuza watumwa ina maana waarabu wasingekuwa na mtu wa kumuuza.
Waarabu weusi sio.Ndio view ya Wazanzibari hio? Ama nyie wa Bara? Wazanzibari wengi ukiwaambia wachague utawala wa Sultan na huu wa sasa hawataki wa sasa, uchaguzi kila mwaka unaonesha.
Pia masultan wa Znz wengi wa miaka 100 iliopita ni weusi kushinda hata wewe.
Kwa hiyo una support slave trade, kuonewa kwa waafrika, na mapinduzi ya 1964 ya waafrika kujikomboa, kwako ni upuuzi tu?Kama muuza bidhaa (machifu wenu) anayo bidhaa (watumwa) kwa nini mnunuzi alaumiwe kuinunua na kuiuza?
kwanza ufahamu ukanda wa pwani wote huu ndio ulijulikana kama Zanzibar na sio vile visiwa kuanzia pwani ya kenya hadi msumbiji.So Zanzibar ya leo wakazi wa mwanzo kabisa walikuwa ni waoman au kuna namna walifanya wakaonekana wao zaidi wakahodhi madaraka?
Yaani aliondoshwa kwenye utaeala miaka 60 iliyopita mpaka Leo yupo hai?View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Huyo mfalme sio kaja kutembea tu,huwezi jua yaliyo nyuma ya pazia.😀
Watarudisha utawala wake kimtindo
boss slave trade ni mbaya ila hakuna ambaye hajafanya, tena afadhali hao waarabu walikua na ustaarabu kidogo soma slave trade ya machief ni mbaya kupita maelezo, chief anakufa watumwa kadhaa watoto wa kike vigoli wanazikwa nae, mfalme anatoka tu na farasi wake anaenda vijijini anakamata watumwa etc.Kwa hiyo una support slave trade, kuonewa kwa waafrika, na mapinduzi ya 1964 ya waafrika kujikomboa, kwako ni upuuzi tu?
watu wengi wa pwani hii ya Africa ni waarabu, wairan na damu nyengine toka India, China etc. tunatofautiana tu muonekano,Waarabu weusi sio.
We Jamaa Unazingua
www.futurity.org
kama unachosema ni kweli basi wa znz wangeipenda kweli serikali yao na CUF/ACT zingekua vyama kama UDP ila tunajua kitu gani kinaendelea ZNZ, inatumika nguvu nyingi toka bara kuwaweka madarakani, wa ZNZ wenyewe hawaitaki. ikiwa ZNZ wenyewe hawataki mapinduzi wewe nani bara kuwasemea?Mimi ni mkristo siwezi tetea maovu ya wazungu kwa sababu tu walileta ukristo wazungu pamoja na warabu walifanya biashara ya utumwa hata utumie lugha ipi huwezi badilisha huu ukweli
Njoo kwa waislamu wanatetea kile alichofanya mwarabu hata kama ni kibaya vipi sababu tu aliwaletea dini waislamu akili zenu zimefungwa
Utawala wa sultan umetesa wafrika sana yaani huyo sultan kwa nchi wanaojielewa anatakiwa akitua tu uwanjani aelekee ukonga familia yake imetesa watu sana
Zanzibar haikuwa trading port bali sehemu ya mateso kwa waafrika ashukuriwe sana john okelo kwa kazi nzuri aliyofanya
Basically unajidhalilisha kwa kuunga mkono arab slave trade.boss slave trade ni mbaya ila hakuna ambaye hajafanya, tena afadhali hao waarabu walikua na ustaarabu kidogo soma slave trade ya machief ni mbaya kupita maelezo, chief anakufa watumwa kadhaa watoto wa kike vigoli wanazikwa nae, mfalme anatoka tu na farasi wake anaenda vijijini anakamata watumwa etc.
waarabu mtumwa aliweza kujinunua mfano wewe umeuzwa utumwani kwa laki 5, ukaenda znz mashamba ya karafuu, kule unalipwa 20,000 kwa mwezi, ukisave hela zako zikatimia laki 5 unanunua uhuru wako na kuondoka. na hao walikua ni watu wa bara. watu wa pwani walikua hawauzwi kabisa utumwani, mfano wazaramo tabia yao walikua wanajiuza wenyewe kwenye utumwa znz, ndugu anachukua hela akifika kule anapanda kidau anarudi zake huku, wakapiga marufuku kununua mzaramo utumwani.
Tanganyika hiyooo inarudi taratibuView attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Karume aliwasaliti wakina okelo na wenzake walioshiriki mapinduz tukufukama unachosema ni kweli basi wa znz wangeipenda kweli serikali yao na CUF/ACT zingekua vyama kama UDP ila tunajua kitu gani kinaendelea ZNZ, inatumika nguvu nyingi toka bara kuwaweka madarakani, wa ZNZ wenyewe hawaitaki. ikiwa ZNZ wenyewe hawataki mapinduzi wewe nani bara kuwasemea?
nikikuuliza sasa hivi mwanamuziki wa miaka 100 iliopita bara ama Africa humjui hata mmoja ila znz wapo na mpaka leo wanafanyiwa remake ya nyimbo zao, marekani Bahari yake anapakana na West Africa ila alikua anaacha NCHI zote Anakuja ZNZ, umeme, barabara za kisasa, mpaka nyumba zenye lift zilikuwepo way before.
viongozi wao walikuwa smart wamesoma, we mpaka mtu mweusi upo huku mwisho wa dunia unakuwa coronated kama Sir sio jambo la kitoto, kaangalie serikali ya 1963 iliopinduliwa speech yao UN then compare na hawa wa leo.