Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Na wanabebeka vizuri na hao waarabuHiyo ni siasa ambayo sultan aliyokuwa anatumia kuwaplease wazenj baada ya kutimuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanabebeka vizuri na hao waarabuHiyo ni siasa ambayo sultan aliyokuwa anatumia kuwaplease wazenj baada ya kutimuliwa
Afe? Bila ya kukagua himaya yake aliyoapa lazima atarudi, acha utani. Alikuwa anasubiri tu wakati muafaka. Subiri siku mfalme anakanyaga ardhi yake, utawaona watwana wake watakavyohangaika na kupoteleana!Huyu si alifia uingereza au kafufuka tena.?
😆😆😆😆😆😆😆Kwenye mapokezi Sultan Mbowe, Sultan Lipumba na Sultan Cheyo wawepo 😂
😂Sir Richard Turnbull !
Heh, wewe nawe umetokea wapi. HIvi hujui wakati akimkimbia Field Marshall kuokoa maisha yake alipitia Dar es Salaam na Baba wa Taifa akamuombea hifadhi kwa malkia!Sultan hakuondolewa kwenye madaraka kwenye mapinduzi ya Zanzibar ya 1964, Rudi shuleni
Dah. Hatimaye watu wazima wamepata ujasiri wa kukabiliana na nuru (light) baada ya kujificha gizani miaka 60.View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Awekwe kuwa kivutio cha utalii pia ikiwapendezaapewe pia hadhi ya Rais mstaafu ikiwemo gari nyumba na ulinzi, pia arudishiwe mali zake
Hawakawii kusema wakoloni walikuwa wazungu sio waarabu😂😂😂🤣🤣 maana hao wazenji wametekwa na waarabu hao,mpaka sasa huwa wanasema waarabu ni ndugu zao🤣🤣🤣Sasa mapinduzi yatakaaje waungwana, je atatmbulishwa kama Sultani Jamshid au kama Bw. Jamshid?
Wataalamu muongozo wenu muhimu hapa.
Kwa hiyo huyu Sultan Freeman ni sultan uchwara!sultan sio mwanasiasa ujio wake hauna uhusiano na mambo yenu ya kisiasa akifika ataenda msikitini kuswali badae anaenda nyumbani kwake
Waingereza siyo wajinga wa muhifadhi huyu ndugu miaka yote hiyo bure! Tena nchini mwao. Kikubwa tujue Waingereza wametuandalia nini ili tuwe tayari kulipokea hicho kilichoandalawi!Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Umeliweka vizuri Mwalimuwatwana
taarifa hii ya kurejea Sultan isije kuwa ni fake story,kwasababu nime cross check na Msemaji wa SMZ, Charles Hillary, wao hawana taarifa za ugeni huu, labda kama anakuja Zanzibar on a private visit kama mtalii tuu, then hahitaji kutoa taarifa popote bali kugongewa tuu visa na kuingia Zanzibar。View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Unaweza mtoa nyani porini lakini huwezi litoa pori kwenye kichwa Cha nyaniYaani ulivyandika kwa Shauku na kujikweza😀😀😀😀
Hakika MTUMWA NI MTUMWA tu, babu zako wamatumbi na wamwera huko waliko wanakunja mafuvu yao na kujipigiza kwenye kuta za makaburi kwa gadhabu baada ya kuona huu uzi wako.
Hivi wazanzibari wnajua historia yao vizuri yaani wanajisahaulisha wao ni kizazi cha kitumwa tena watumwa sio kutoka OMAN ila kutoka Tanganyika ila wanaona Waoman waliotesa babu zao ni watu wa maana sana na wao wanajiona waomani🤣🤣🤣🤣
Ukienda Uarabuni mwafrica ni katika kiumbe daraja la chini sana tena ambaye unaruhusiwa kumiliki kama mali. Lakini waarabu hawa wa kubabatiza huku africa wanavyowahusudu waarabu orijinal sasa🤗🤗🤗
Anyway, kupanga ni kuchagua!!!
Nilitarajia utawauliza CCM enzi za Maalim Seif CUF, hoja yao kubwa ya kampeni ilikuwa kudai hatari ya hao Hizbu (CUF) kurejesha utawala wa sultani na waarabu Zanzibar.Tunamtaka Richard Turnbull Tanganyika ili tusameheane naye pia😒
Leta source ya story yako kati ya Iddi Amin na OkelloHii mifumo ya kimaisha na shule zenu inalemaza sana watu akili.
Just imagine, Okello ametoka huko Kijijini kwao, tena miaka hiyo, akaenda Kampala, akajifunza mambo kadhaa, akaamua kwenda Zanzibar akiwa na miaka 22 akaenda kuwasaidia kupambana na Sultan hadi kumuondoa. Akakabidhi madaraka kwa raia wa pale, then akafukuzwa.
Leo kijana gani katika umri huo anaweza akafanya hayo.
Ila Iddi Amin alikuwa mtu mzuri sema makosa yake yalikuwa ni 'deadly/grave'. Okello alitengwa na akateseka sana nchini Uganda kiasi cha kukosa hata hela ya kula, akalazimika kurudi kijijini. Iddi Amin alipoingia alimfuata Okello na kumuahidi uwaziri ili waiongoze Uganda, lakini Okello akachomoa, Iddi Amin hakukata tamaa, akamuahidi umakamo wa rais, lakini Okelleo akachomoa, akabembelezwa sana, akakubali kwa masharti apewe urais, Iddi Ammin ndiye awe Makamo...hapo ndiyo story ilipoanzia na kuishia