Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Mkuu suala la dini usiliunderlate ukweli utabaki kuwa wakiristo watazidi kuwaona wazungu kama ndugu zao kwa kuwaletea dini ya kikiristo bila wao leo hii tusingekuwa na akina john na peter hapa kwetu tzSuala si ninyi kuwa ndugu, bali ni inferiority complex yenu kwa waarabu.
Waarabu wamewadominate kwenye kila angle ya maisha.
Kiufupi, waarabu ni superior race kwa waislamu wote wa Zanzibar na Tanganyika, na ninyi wabantu mmesalia kwenye nafasi ya utumwa.
- Hapa mnatamani warudi kuwatawala hapo Zanzibar, lakini wao hawawezi kuwaruhusu mkawatawala na wanawabagua weusi wote, uwe muislamu au la.
- Mnaitwa majina yao, mnafuata imani na matendo yao, meanwhile, hamna chenu wanachofuata.
Vilevile waislam watazidi kuwaona waarabu ndugu zao na watu waliowaletea dini ya kiislaam bila wao tusingekuwa na akina Abdallah na Mohammed hapa kwetu tz
Huu ukweli huwezi kuukwepa balance tu minzani usijipe shida