MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Mmh, Ningekuelewa haraka kama ungeandika, Tanganyiko ndio haipo.Afikapo ajulishwe kuwa sasa Zanzibar sio nchi bali sehemu ndogo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh, Ningekuelewa haraka kama ungeandika, Tanganyiko ndio haipo.Afikapo ajulishwe kuwa sasa Zanzibar sio nchi bali sehemu ndogo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Haraka ya nini... unaenda wapi!Mmh, Ningekuelewa haraka kama ungeandika, Tanganyiko ndio haipo.
Kwa hii makala, umejishusha hadhi. Kumbe wabaya wa JPM mnaumbuka taratibuView attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Okello karusha komboraRIP Sultan Jamshid. Hizi siku 2 zimekuwa ngumu kwako. Umekufa kwa maneno ya watu:-
View attachment 3189121
Mada imekuja tarehe 28/12/2024, na Jamshid amekufa tarehe 30/ 12/ 2024.Aisee hii nchi ina laana, vijana wamekua watu wa hovyo kabisa, mtu analeta mada humu na watu wanachangia tu, bila hata kucheck google kuhusu anae jadiliwa. Sasa sijui ni upumbavu au ni ujinga,, mie nawaachia muamue wenyewe
Jamshid Died: December 30, 2024 (age 95 years)
Chizi hilo mkuu ,mwambie aende kwenye uzi wa TANZIAMada imekuja tarehe 28/12/2024, na Jamshid amekufa tarehe 30/ 12/ 2024.
Bado unajiona una akili kwa ukichoandika?
alivamiwa kijambazi na haramia okello wakisaidiwa na makuli wa bandarini
Mada imekuja tarehe 28/12/2024, na Jamshid amekufa tarehe 30/ 12/ 2024.
Bado unajiona una akili kwa ukichoandika?
Na hapo mburukenge wavaa makubazi, wakishampokea, hujiona kama Eron musk, na kuona wamefanikiwa Sana kama vile kwenda kwenye sayari za mbari!View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Nimeamini ndoto zangu ni za kweli....kuna wajerumani wanakujaga kinyemela kuzuru Tanganyika ipo siku watapata ukaribisho.....View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Tanganyika watamkaribisha mjerumani.....hata yeye alijenga jenga....Atafika lini Yakhe? Tanzania ina wenyewe....sisi wengine wapita njia.
Mwenye masikio na asikie.....
Bahati mbaya amefariki siku ya Jana 40Dec 2024View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Kwa nn wapange ziara ya kuja alaf ghafla kafariki, au walijua hawezi kutoboa mpaka hiyo tarehe 09????Bahati mbaya amefariki siku ya Jana 40Dec 2024
Wanasema hawakuwa mpango huo.....ilikuwa ni story kufikirika tuuuuKwa nn wapange ziara ya kuja alaf ghafla kafariki, au walijua hawezi kutoboa mpaka hiyo tarehe 09????
Wewe ni FaizaFoxyWalijitahidi sn kuwaua lkn kuna ambao Mungu Aliwabakisha, na wapo mpk Leo. Walitamani wauondoe uarabu huku Zanzibar lkn uarabu upo na utaendelea kuwepo.
Na ajabu hao waarabu ndio wanaowapenda kuoa ili wapate watt wazuri machotara.
Eeh waarabu wazuri wee asikwambi mtu
Makubwaaa, madogo yana nafuuWewe ni FaizaFoxy