Zanzibar kuna fursa gani za manual labour?

Zanzibar kuna fursa gani za manual labour?

Nenda kizimkazi Yale Yale ya jiwe kupelek bank kubwa ya crdb kijini kwao chato ndio hayo hayo samia anafanya leo kapeleka nmba kwao huko mtaani


Kwa kifupi nenda kizimkazi Kuna kuanua matent kesho
 
Vibarua hasa kwenye ujenzi

Tanzania kuna sehemu mbili.ngumu sana kupata vibarua wa.kutosha kwenye maeneo ya ujenzi wenyeji hawataki hizo kazi za ukibarua hata wawe maskini vipi

Maeneo hayo ni sehemu mbili Zanzibar na Dodoma na Zanzibar, wazanzibari hawataki ukibarua na Dodoma wagogo hawataki

Shida mno kupata vibarua maeneo hayo

Ukitaka nenda jengo lolote ukiona linajengwa nenda asubuhi sana wakiingia omba kibarua utapata chap chap

Cha msingi chapa kazi na kesho urudi utafanya hadi uchoke

Dodoma ukipata vibarua wenyeji wagogo yaani waweza wapiga nondo kwa hasira wavivu hao na nadira kuwapata kibao..watashukuru wakipata asiye mgogo

Na Zanzibar watashukuru wakipata mtu wa bara kibarua wa ujenzi sio kibarua mzanzibari wamejaa u yakhe mwingi na hawataki in short kazi za ukibarua.
Mkuu yehodaya umeongea ukweli mtu

Mm Niko Hapa ddoma Ni mji unao jengwa Sana wageni na ndio vibarua na wegani ndio wanajenga mno

Sasa jusi Kati nilikuwa na shida ya vibarua wanne wasadie kumimina beem aloo tulizunguka mtaa mzima hakn anataka kazi hyo

Ndio nimegundua maendeleo ya wanyeji ni duni Sana na watabaki hvyo for the rest sijawai ona wapuuzi Kama wagogo Ni wavivu kupita maelezo
 
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Mkuu labda ungetupa mwanga ni kazi za aina gani na malipo yapoje maana nataka niende kesho asubuhi na mapema
 
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa

Asante sana mkuu, Mungu akuzidishie.

Naomba kuuliza maswali mawili kama hutojali;

1. Tukifika kwa Chief umesema tuombe kazi yoyote, sasa kwakua ni kiwandani, tubebe na nguo za kazi tofauti na mavazi smart tutakayoenda nayo?

2. Kama mtu una taaluma fulani (kwa hapa tuseme usimamizi), kuna haja ya kubeba copy za vyeti na cv?
 
Mkuu yehodaya umeongea ukweli mtu

Mm Niko Hapa ddoma Ni mji unao jengwa Sana wageni na ndio vibarua na wegani ndio wanajenga mno

Sasa jusi Kati nilikuwa na shida ya vibarua wanne wasadie kumimina beem aloo tulizunguka mtaa mzima hakn anataka kazi hyo

Ndio nimegundua maendeleo ya wanyeji ni duni Sana na watabaki hvyo for the rest sijawai ona wapuuzi Kama wagogo Ni wavivu kupita maelezo
Mkuu mimi nipo Iringa sio mbali na Dodoma kama kuna kazi inahitaji mtu naomba nizingatie. Ikiwepo sehemu ya kulala tu inatosha kabisa
 
Nenda kizimkazi Yale Yale ya jiwe kupelek bank kubwa ya crdb kijini kwao chato ndio hayo hayo samia anafanya leo kapeleka nmba kwao huko mtaani


Kwa kifupi nenda kizimkazi Kuna kuanua matent kesho

Asante mkuu japo najikusanya hapa ili tarehe 5 ndo nisafiri.
 
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa

Wakuu kuna alieenda leo?
 
Wakuu kuna alieenda leo?
Ni PM nikupe direction sehemu moja ya kazi ila sio connection moja kwa moja ina konakona unaweza pata 7000 per day na ukafanyiwa connection ya kupata position nzuri ila sio kazi rahisi
 
Ni PM nikupe direction sehemu moja ya kazi ila sio connection moja kwa moja ina konakona unaweza pata 7000 per day na ukafanyiwa connection ya kupata position nzuri ila sio kazi rahisi

Sawa mkuu.
 
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Jumatano nitaenda hapo japo hujatubia muda mkuu.
 
Jumatano nitaenda hapo japo hujatubia muda mkuu.

Mkuu najua binadamu tunatofautiana hali za maisha na mahitaji ila binafsi sikushauri uende huko maana hakuna future.

Malipo kwa siku ni 4,000/= tshs kwa mnaojifunza na ukiajiriwa unakua unalipwa 5,000/= kwa siku. On top of that, kupata nafasi sio guaranteed.

NI UTUMWA, TO SAY THE LEAST.
 
Mkuu najua binadamu tunatofautiana hali za maisha na mahitaji ila binafsi sikushauri uende huko maana hakuna future.

Malipo kwa siku ni 4,000/= tshs kwa mnaojifunza na ukiajiriwa unakua unalipwa 5,000/= kwa siku. On top of that, kupata nafasi sio guaranteed.

NI UTUMWA, TO SAY THE LEAST.
Duuh buku 4!! Mkuu vipi bakhressa ulienda au nako ni kama huku kwa buku 4.!!?

Na kwanini unataka kuibukua Zenji kwa kazi hizi hizi mkuu kwani dsm hazipo??
 
Duuh buku 4!! Mkuu vipi bakhressa ulienda au nako ni kama huku kwa buku 4.!!?

Na kwanini unataka kuibukua Zenji kwa kazi hizi hizi mkuu kwani dsm hazipo??

Bakhresa sikwenda chief ila alieenda alisema hapafai pia. Kazi ni ngumu mno, masaa ya kazi ni 12 per day, malipo ni 7,000/= ila yanaweza kuongezeka ama kupungua kutokana na wingi wa kazi kwa siku husika na ukifanya kazi leo, malipo unatumiwa Azam pesa kesho yake.
 
Duuh buku 4!! Mkuu vipi bakhressa ulienda au nako ni kama huku kwa buku 4.!!?

Na kwanini unataka kuibukua Zenji kwa kazi hizi hizi mkuu kwani dsm hazipo??

Nataka kwenda Zanzibar kwaajili ya malengo tu mkuu maana me nasaka vibarua ila nina elimu kidogo hivyo naangalia sehemu yenye uwezekano wa kupata nafasi ya kuongeza uzoefu wa kazi ili niajirike hapo mbeleni.
 
Back
Top Bottom