Nchiyanguu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2021
- 295
- 561
Ningekua upande huo ningefika hapo. Mimi nipo Iringa mkuu vipi kuna ambae unamjua ukanda huu anaweza kunipa kazi?
Hapana mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekua upande huo ningefika hapo. Mimi nipo Iringa mkuu vipi kuna ambae unamjua ukanda huu anaweza kunipa kazi?
Mkuu yehodaya umeongea ukweli mtuVibarua hasa kwenye ujenzi
Tanzania kuna sehemu mbili.ngumu sana kupata vibarua wa.kutosha kwenye maeneo ya ujenzi wenyeji hawataki hizo kazi za ukibarua hata wawe maskini vipi
Maeneo hayo ni sehemu mbili Zanzibar na Dodoma na Zanzibar, wazanzibari hawataki ukibarua na Dodoma wagogo hawataki
Shida mno kupata vibarua maeneo hayo
Ukitaka nenda jengo lolote ukiona linajengwa nenda asubuhi sana wakiingia omba kibarua utapata chap chap
Cha msingi chapa kazi na kesho urudi utafanya hadi uchoke
Dodoma ukipata vibarua wenyeji wagogo yaani waweza wapiga nondo kwa hasira wavivu hao na nadira kuwapata kibao..watashukuru wakipata asiye mgogo
Na Zanzibar watashukuru wakipata mtu wa bara kibarua wa ujenzi sio kibarua mzanzibari wamejaa u yakhe mwingi na hawataki in short kazi za ukibarua.
Mkuu labda ungetupa mwanga ni kazi za aina gani na malipo yapoje maana nataka niende kesho asubuhi na mapemaKuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali
Nna ujumbe wenu hapa
Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA
Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili
Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara
Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka
Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida
Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali
Nna ujumbe wenu hapa
Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA
Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili
Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara
Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka
Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida
Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Mkuu mimi nipo Iringa sio mbali na Dodoma kama kuna kazi inahitaji mtu naomba nizingatie. Ikiwepo sehemu ya kulala tu inatosha kabisaMkuu yehodaya umeongea ukweli mtu
Mm Niko Hapa ddoma Ni mji unao jengwa Sana wageni na ndio vibarua na wegani ndio wanajenga mno
Sasa jusi Kati nilikuwa na shida ya vibarua wanne wasadie kumimina beem aloo tulizunguka mtaa mzima hakn anataka kazi hyo
Ndio nimegundua maendeleo ya wanyeji ni duni Sana na watabaki hvyo for the rest sijawai ona wapuuzi Kama wagogo Ni wavivu kupita maelezo
Nenda kizimkazi Yale Yale ya jiwe kupelek bank kubwa ya crdb kijini kwao chato ndio hayo hayo samia anafanya leo kapeleka nmba kwao huko mtaani
Kwa kifupi nenda kizimkazi Kuna kuanua matent kesho
Shukrani mkuuHapana mkuu.
Akaribie tuMkuu mpokee ndugu yako
Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali
Nna ujumbe wenu hapa
Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA
Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili
Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara
Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka
Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida
Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Ni PM nikupe direction sehemu moja ya kazi ila sio connection moja kwa moja ina konakona unaweza pata 7000 per day na ukafanyiwa connection ya kupata position nzuri ila sio kazi rahisiWakuu kuna alieenda leo?
Vp nipe mchongoSawa mkuu.
Jumatano nitaenda hapo japo hujatubia muda mkuu.Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali
Nna ujumbe wenu hapa
Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA
Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili
Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara
Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka
Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida
Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Ukifika tupe taarifaJumatano nitaenda hapo japo hujatubia muda mkuu.
Jumatano nitaenda hapo japo hujatubia muda mkuu.
Duuh buku 4!! Mkuu vipi bakhressa ulienda au nako ni kama huku kwa buku 4.!!?Mkuu najua binadamu tunatofautiana hali za maisha na mahitaji ila binafsi sikushauri uende huko maana hakuna future.
Malipo kwa siku ni 4,000/= tshs kwa mnaojifunza na ukiajiriwa unakua unalipwa 5,000/= kwa siku. On top of that, kupata nafasi sio guaranteed.
NI UTUMWA, TO SAY THE LEAST.
Duuh buku 4!! Mkuu vipi bakhressa ulienda au nako ni kama huku kwa buku 4.!!?
Na kwanini unataka kuibukua Zenji kwa kazi hizi hizi mkuu kwani dsm hazipo??
Duuh buku 4!! Mkuu vipi bakhressa ulienda au nako ni kama huku kwa buku 4.!!?
Na kwanini unataka kuibukua Zenji kwa kazi hizi hizi mkuu kwani dsm hazipo??