Zanzibar kuna fursa gani za manual labour?

Zanzibar kuna fursa gani za manual labour?

Kuna wale rafiki zangu hawachagui Kazi hawana Mishe yoyote ukiwapa direction wapi Kazi ilipo wanakwenda kufanya mladi Tu iwe ya Halali

Nna ujumbe wenu hapa

Kama uko dar fika mpaka Gongo la mboto mwisho opposite na chuo cha Kampala ukifika hapo uliza mtu akuelekeze kilipo kiwanda kinaitwa NAMELA

Hiki ni kiwanda cha nguo ndio hatua ya Kwanza kabisa ya uandaaji nguo kama mashuka..khanga..vitenge maduvet n.k ufanyika na Kisha baada ya hapo mzigo upelekwa NIDA pale bara bara ya Mandera kwa ajili ya ukamilishaji kuwa nguo kamili

Kwaiyo kijana yoyoye aliepo around Gongo la mboto Majohe au maeneo anayoweza kufika hapo NAMELA naomba kuanzia kesho asubuhi avae vizuri kwa heshima aweke nywele zake smart ata ukisimama mbele za watu unaonekana mwenye tabia njema sio unaenda kuomba Kazi umevaa modo uko nusu uchi au umenyoa viduku na unanuka sigara

Ukifika getini muulizie mtu mmoja anaitwa chifu na umwambie umekuja kuomba Kazi yoyote atakae taja jina Hili pale getini huyu mtu atajua Moja kwa Moja umetoka Kwangu so utapewa maelekezo kwa haraka

Kumbuka kubeba kitambulisho cha kupigia Kura au namba ya Nida

Cha kuzingatia unadhifu wako maana mwingine akifika getini anaambiwa hakuna kazi kutokana na alivyokwenda kumbuka kupendeza unapokwenda kuomba Kazi maana wewe ni masikini tuu sio kichaa
Vipi mkuu fursa Bado ipo ninaweza kuja? Mimi ninaishi maeneo ya vingunguti.
 
Mbona unamkatisha tamaa mwenzio mkuu, malengo tumetofautiana.

Kuna mtu hata buku ya kula ni tabu, kama nafasi ipo mshauri jinsi ya kupata. Yeye mwenyewe ndio aahirishe.
 
Mbona unamkatisha tamaa mwenzio mkuu, malengo tumetofautiana.

Kuna mtu hata buku ya kula ni tabu, kama nafasi ipo mshauri jinsi ya kupata. Yeye mwenyewe ndio aahirishe.

Kama ni maelezo yote kuhusu hiyo kazi nilishayatoa A-Z. Yeye kuniuliza kama bado kuna nafasi na wakati nilishaeleza kila kitu hapo nyuma, kwangu nilichukulia kama naombwa ushauri na ushauri wangu ni ASIENDE.

Mimi mwenyewe hiyo buku ya kula sina ila ifike pahala tusiendeshwe sana na njaa. Kuliko kufanya kazi masaa zaidi ya 10 halafu ulipwe 4,000/= si bora ukaombe kusafisha migahawa ya watu usiku upewe chakula na malipo.
 
Kama ni maelezo yote kuhusu hiyo kazi nilishayatoa A-Z. Yeye kuniuliza kama bado kuna nafasi na wakati nilishaeleza kila kitu hapo nyuma, kwangu nilichukulia kama naombwa ushauri na ushauri wangu ni ASIENDE.

Mimi mwenyewe hiyo buku ya kula sina ila ifike pahala tusiendeshwe sana na njaa. Kuliko kufanya kazi masaa zaidi ya 10 halafu ulipwe 4,000/= si bora ukaombe kusafisha migahawa ya watu usiku upewe chakula na malipo.
Kua bora au kutokua bora yeye ndo achague mkuu. Hicho kiwanda hakina watu? Si wapo, kuliko ufe njaa ndani ni borq ukafanya hiyo ukiendelea kutafuta next move.
 
Kua bora au kutokua bora yeye ndo achague mkuu. Hicho kiwanda hakina watu? Si wapo, kuliko ufe njaa ndani ni borq ukafanya hiyo ukiendelea kutafuta next move.

Sawa mkuu, wacha tuone.
 
Kufundisha madem wa kizungu kuogelea kwenye fukwe za zenchi wanatoa hela nzuri tu
Mkuu nipo Zanzibar naomba kama utakua unajua namna ya kupata connection ya kuanza kuwafundisha maana ninao huo UJUZI Mkuu.

Lakini si mwenyeji hapa Mjini nipo chuo fulani hapa Unguja.

Imani yangu nitasaidiwa[emoji120]
 
Nchi yoyote inayo tawaliwa kislamu siyo nzuri kutafuta maisha
 
Mkuu nipo Zanzibar naomba kama utakua unajua namna ya kupata connection ya kuanza kuwafundisha maana ninao huo UJUZI Mkuu.

Lakini si mwenyeji hapa Mjini nipo chuo fulani hapa Unguja.

Imani yangu nitasaidiwa[emoji120]
😂hakuna kitu kama hicho mkuu, don't even sweat it.
 
Nchi yoyote inayo tawaliwa kislamu siyo nzuri kutafuta maisha
Sijafika middle east kwahiyo siwezi kutoa jibu jumuishi ila kwa Zanzibar sio kweli. Binasfi tofauti na upweke na kujihisi sipo nyumbani, sikukutana na changamoto nyingine yoyote Zanzibar.
 
Back
Top Bottom