Yaan pamoja na mabilioni yote yanayotumwa huko kila mwezi bado watu ni maskini? nasikia wakikopa serikali ndiyo ulipia riba, mafuta ya petrol nk bei chini kama nchi za ghuba, sukari utafikiri uko cuba au Brazil, kama bado ni masikini sana basi hawa jamaa ni wavivu sana.
Hivi hizo stories za wanaume kufanywa ni kweli huko zanzibar?
Na ni wazanzibar au wakuja?
yani unaanze mwanaume kumvulia nguo mwanaume mwenzio?anakutongoza au unataka mwenyewe bado sielewi
Ili kuleta Ustawi wa jamii inahitajika sera murua za kuwainua watu kiuchumi na wao pia wawe tayari kukamatia fursa.Kwa masikitiko makubwa pamoja na fursa zilizopo Zanzibar hususani utalii wa fukwe na Mali kale. Umaskini umetamalaki. Wengi wa wananchi wanaishi katika Hali mbali kiuchumi.
Ukihesabu ndege zinazotua ABEID AMANI KARUME INTERNATIONAL AIRPORT na hotel za kitalii zilizopo Zanzibar. Usingetarajia watu wawe Maskini wa kuuza urijali wao Kwa wataliii wa kizungu Kwa ujira wa 50USD
Takwimu za watoto kuingiliwa kinyume na maumbile ziko juu sana Zanzibar, nao hufanyiwa na Watanganyika?Kuuza urijali wao sio umaskini ndio moja ya fursa hizo za utalii na kwa taarifa yako wanaoenda kufanya umalaya Zanzibar wala sio Wazanzibar ni Wabara na mataifa mengine ya Kiafrika..... Hakuna vijana wanaoongoza kwa kugeuzwa na hao Watalii kama Wamasai na Vijana wengine wa Arusha wanaojifanya mabeach boy, low season ndio utawaonea huruma.
Uzi unazungumzia Utalii, hayo ya watoto fungua uzi wakoTakwimu za watoto kuingiliwa kinyume na maumbile ziko juu sana Zanzibar, nao hufanyiwa na Watanganyika?
Yule polisi alielawitiwa Zanzibar na yeye na mtanganyika.Uzi unazungumzia Utalii, hayo ya watoto fungua uzi wako
Wewe acha wenge mada inazungumzia utalii na vijana kuuza urijali wao, kama umeshawahi kufika Znz hilo huwezi kupinga Wamasai na Vijana wa Arusha wanainamishwa sana na Wazungu.... high seasons Waafrika wanatoka sehemu mbali mbali kuja kujiuza,Yule polisi alielawitiwa Zanzibar na yeye na mtanganyika.
Zanzibar Kuna uchafu sana. Kuna vijana wa kizanzibar ninawajua wameolewa Italy.
Nakuomba ujisemee wewe usisemee wengine View attachment 2773238View attachment 2773240