Zanzibar kuna fursa nyingi ila umaskini umetamalaki

Zanzibar hujafika utayajua wapi,
Nendeni Nungwi mkajionee hao ndugu zenu wa Kimasai na Kiarusha wanavyoinamishwa na Wazungu tena wanagombea kabisa [emoji119],

Poleni sana kwa maumivu ila huo ndio ukweli mchungu, tamaa za kwenda Ulaya zinawaponza hadi wanauza Urijali wao
 
HV una akili timamu wew mbuzi unawauzisha vijana wa Arusha. Na wamasai na upuuzi wa kufirana
Hapo Arusha tu wanageuzwa kila kukicha kwa matumaini ya kwenda Ulaya, Znz ndio usiseme hadi shanga kiunoni wanavaa [emoji23][emoji23]

Ongeeni na ndugu zenu sio kuleta makasiriko kwa watoa taarifa.
 
Umesema kweli Queen. waambie waje waone
Sisi tunawashtua waje wawanusuru ndugu zao wao wanatuona haters,
Wamasai wamelegezwa viuno wanatembea upande upande bado kupigania mishedede ya Waitaliano na Ulaya hawaendi, wanaishia kuwekwa kwenye mabangalow kodi ikiisha wakadange tena mitaani.
 
Duuhhh! Aisee.
 
Zenj sio Dubai au South Afrika, hakuna hizo fulsa,fulsa ni chache,wanaohitaji ni wengi, sekta ya hotel, imeajiri vijana wengi, ila wengi ni kazi za ulinzi, kupika, drivers, kufundisha watalii kuogelea, kuna ajira ya ngono pia,mishangszi ya kizungu inakuja kuolewa na ma beach Boys, ni ajira anbazo vijana wanafanya kwa sababu hakuna namna nyingine ya kuendesha maisha, ni ajira duni,mapato yake haysfiki hata 12M kwa mwaka, huwezi kujenga, kumiriki gari(sio ist au vitz).
Kama mshahara ni chini ya 1M kwa mwezi, hayo ni maisha ya kubangaiza tu,
Nimefika uroa pongwe,paje nk, watu ni maskini Sana,
Hata kuwe na ma hotel lakimoja, kama hauna cha supply hapo hotelini, ukaishia kuomba kazi ya ulinzi, huwezi toka,
Kingine, mabinti wa zenj, kutokana na Dini, hawafanyi kazi bar, kwenye ma hotel nk, kazi zinafanywa na vijana kutoka Bara,
Kampuni Nyingi zinawekeza zenj, zinaenda na wafanyskazi kutoka Bara,
Wenyeji wanaishia kuwa vibarua,
N ilikuwa na kampuni ya kufunga internet maofisini, wale wazungu, technical staff wote walitoka Bara, Kenya na South Afrika, tulichowekeza zenj, ni kukodi ofisi, floor kadhaa michenzani mall,
Mishahara yetu inalipwa benki za Bara, vijana wa kule wakaishia kuwa vibarua tu wakuchimba mashimo, Sera za serikali hazipo vzr
 
Aisee nawaza minunguniko ya mmasai na vijana wa arusha dudu linapopenya haaa haa aiii yesu na Maria tamu yesu na Maria baba yoyo yesu na Maria haaa haaa
 
Aisee nawaza minunguniko ya mmasai na vijana wa arusha dudu linapopenya haaa haa aiii yesu na Maria tamu yesu na Maria baba yoyo yesu na Maria haaa haaa
Hahahahahahaha nasikia wanayaweza mambo haoooooo Wamakonde wakasome, shanga za kiuno wanavaaaaa, ni hatariiiiiiiii,

Tembelea Nungwi haya sio ya kutunga wapo wazi wazi beach na mabwana zao wanapakana mafuta ya sunscreen
 
Pointless 🚮🚮🚮
 
Niliwahi kusema hili watu walinipopoa mawe nikaamuwa kuchill ila ukweli Nikabaki nao tu.Vijana wa Arusha wamezidi kuwa machoko sana ila mitandaoni wanakaza.Nenda Nungwi paje ama kiwengwa ndo utajionea maajabu ya Masai na vijana wa Arusha wanavoilamba Koni.
 
Nakwambiaje wala tusichoke kusema wengi wanaowatetea hiyo Unguja hawajafika ndio maana, hapo bado kwenye full moon party Wamasai wanajipanga barabarani utahisi ni walinzi kumbe wanajiuza kama mafungu ya nyanya.... inasikitisha Masai wa kiume anajua kuuchezea ukuni wa Mzungu balaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pointless [emoji706][emoji706][emoji706]
Imechoma kama pasiiiiiiiii, [emoji23]
Tafuta siku nikupeleke Nungwi na Paje ukajionee mwenyewe ndugu zako wanavyowakatikia Wazungu huko,
Nitakulipia nauli, chakula na malazi.
 
Boss wao alikuwa Ujerumani akajipambanua kuwa Zbr ya sasa siyo ile, huku nyuma member akapost picha za ofisi za umma zikiwa choka mbaya hazitamaniki
 
Kwani kuuza urijali nayo si ni fursa kama fursa zingine mkuu?
 
Zanzibar walitakiwa wawe na visa fee ya kwao...manake mtu anafikia Dar analipishwa visa ..halafu anapanda boti elfu 20 kwenda zenji
Wakati kuja Dar kalipa visa dollars 250
 
Kumbe ili jambo linaukweli
 
Ma mwinyi hao labda uwawekee hela mifukoni hawataki kazi hao bwa shee
 
Hahahahahahaha nasikia wanayaweza mambo haoooooo Wamakonde wakasome, shanga za kiuno wanavaaaaa, ni hatariiiiiiiii,

Tembelea Nungwi haya sio ya kutunga wapo wazi wazi beach na mabwana zao wanapakana mafuta ya sunscreen
Astakafurulahi
 
Zanzibar au pemba sijaona mtu anatembea na nguo zimepigwa viraka au watoto wako uchi. Nimeona haya sehemu nying bara hii ni ishara kubwa ya unafuu wa umasikini huko visiwani kulinganisha na bara
 
Tatizo la Zenji bado akili zao zina fikra za kitumwa wanaamini chanzo cha umaskini ni mabwana zao wa kiarabu kuzuiwa kuja kuwekeza kwa uhuru visiwani kutokana na sheria zisizo rafiki ambazo wanaamini zinasababishwa na wa-bara

Sasa kwa kubweteka kama kule wataweza kweli kutoboa, mtu utamkuta ana minazi yake mitatu ama kadhaa aliyoachiwa na babu yake akipangisha na kachumba kamoja hapo kwake basi kamaliza
 
kama serekali inaita wachina waje wavue samaki, inaleta waarabu waje wajenge vibanda vya utalii kwa sera hizo usishangae wanaume kugeuzwa wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…